Lema wewe ni mjinga tena sana na kamwe.
Zitto haja kulazimisha usichukue posho, kumpinga mtu kisa hachukui posho ni chuki binafsi.
Wewe ni nani kukaa na kuanza kusema wabunge wenzio kwenye mitandao?
Godbless J Lema wewe ni wa kupuuzwa umepitiliza sasa, umeshindwa kujenga hoja kwenye vikao una kuja kuchafua wenzio kwenye mitandao.
Dr slaa, mbowe, na wana chadema mkae mkijua huyu Lema ndio anachimba kaburi la CHADEMA.
Lema wewe ni mjinga sana.
Kwakweli nitashangaa huyu mtu kuachwa hivi hivi bila kushikishwa adabu huu ni ujinga kabisa.
Wewe Lema naona ndio umetumwa kuanzisha vurugu na huna busara kabisa huu ni ujinga.
Wanachadema lazima tuungane kupinga huu ujinga wa Lema.
Naomba mh
Zitto usipoteze muda kujibu huyu mjinga anakiangamiza chama huku anatuhumu wengine.
Kwakweli sitowaelewa CHADEMA wakimuacha Lema aendelee na huu ujinga wa kukivuruga chama.
Watu wanatakiwa kujua Lema ana nia nzuri na kama angekuwa nayo asingefanya haya.
Lema unajaribu kutuonesha kuwa uko parfect kumbe ni mjinga na huna tofauti namwigamba. Kweli nimeamini aliyesema ufungwe speed governor.
Lema acha kuact kama mtoto, huu umaarufu wako umeupatia kwetu sisi unaotuona wajinga na hutaki kutusikiliza.
Huu ujinga kabisa.
NI LAZIMA LEMA AFUNDISHWE ADABU NA AACHE KULETA MITAFARUKU KWENYE CHAMA NA NINA TEGEMEA TAMKO KUANZIA KESHO KUTOKA KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA.