Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
When it reaches a point you start thread or writing something about Zitto, unakuwa umejishusha zaidi na kudansi mziki wake

Lema unajisumbua na unatapatapa........andika uandikavyo ila utaaibika wewe

mpaka sasa jamii iko against you na posho, unaona mbaya wako ni zitto??? kweli??

Zitto hata kama ni mnafiki wa aina gani, wewe unatumikia wananchi, hautumikii wananchi kupitia zitto, zitto is not your role model..................

umeona tumeweka wazi kuwa ulikuwa unamsema zito ndio unakuja na titile eti ''unafiki wa zitto juu ya posho'' usahwahi kuvuta bangi?? chadema huyu kweli ni kiongozi wenu??

okey, ukiishaandika unafiki wa zitto utakuwa unapambana na zitto au CCM?????

JE utakuwa umekijenga chama

sijaona mbumbumbu wa saisa kama wewe, whata a joke....

okoeni hili kinyago jamani

hv umesoma mpaka la ngapi vile??

.....kunywa na omo!!!

..
 
bora yako wewe yule WANAWAKE LIVE atazunguka mtaani na mabango kukuulizia eti Umepotea ,,,, Lema hajapotea ameenda chaka simuoni wa kumtetea . kinachoniuma ni hapo wanafiki na wachumia tumbo mnapomuita mzalendo "mnafiki"


"team zitto"

Lema ni kati ya Wabunge ambao hawaudhurii vikao na vikao vya kamati mara nyingi yuko Jimboni na sisi tunaomjua wala hawezi kubabbishwa na posho ya 80000mkwani yuko vizuri kabla hata hajawa Mb
 
Nimefuatilia mjadala sana leo ukizingatia ilikuwa ni Jumamosi kwamba hatukuwa na kazi nyingi sana za Kibunge hasa baada ya kuanzisha mjadala unaosema " Usaliti na Unafiki unavyoliangamiza Taifa " na nimeona mjadala na nimejifunza mambo mengi sana sikumtaja Mtu ila Watu wengi wametaja majina ya Watu , sijui kwanini ? ila naendelea kutafakari , kesho nitaandika kuhusu mada inasema " UNAFIKI WA ZITTO KUHUSU POSHO " na mpaka saa nane mchana nitakuwa nimewasilisha na jambo hili halina mgogoro na kanuni za Chama kwani ni jambo liko wazi kwenye vyombo vya habari .

Asanteni

Zitto sio size yako we kilaza,mipango mikubwa ya kumwangamiza Zitto imeshindwa tena ikiratibiwa ns watu wenye akili zao.mfano ni siku mlipo mzushia kuwa amehongwa na mafisadi ili kukwamisha bajeti ya Nishati na madini, Mlimsema,mkamkejeli ,mkamsimanga kwa hoja za uongo na uzushi,kila aliesimama alidai anao ushahidi usio na shaka,lkn mwisho wa siku kila alieitwa kutoa ushahidi alikosa cha kusema na kudai eti alisoma gazeti,wengine mkasema mlinogewa na mjadala.hivyo mwisho wa siku Tanzania nzima ikajuwa kuwa zitto ni mwadilifu na ni mfano bora wa kuigwa kwa kila mwenye mapenzi mema na nchi.
Hamkuishia hapo mmekua mkifanya kila kinachowezekana kumchafua Zitto ikiwa no pamoja na kutumia magazeti yenu ya Mwanahalisi,mawio na Tanzania daima,lkn imeshindikana maana nyota yake inang`aa na hiziwiliki.sasa mawio wamekugeuka na wameanza kukuona mwengawazimu usiejua ulitendalo,toleo la juzi umeonywa lkn naona kichwa chako ni kama kofia tuu.
Sasa tazama singo uliyokuja nayo,yote hii lengo umprovoke zitto ili mpate pakuanzia.mbaya zaidi huna kikosi kazi chanye akili zaidi ya kushauriana na watu waliokata tamaa ya maisha kama aki na kilewo na saa nane.wakati Zitto akiwaza namna ya kuwakomboa watanzania ,ninyi mnawaza namna ya kukwamisha ili asipate umaarufu.
Slaa na Mbowe kukaa kwenu kimya juu ya haya yanayoendelea ni uthibitisho tosha kuwa ninyi ndio mnaoratibu mpango huu haramu,Tumewavumilia sasa tumechoka,chama si mali ya Mtei tena bali ni mali ya wanachadema ambao wengi hawatoki kilimanjaro na Arusha.kama yote haya lengo nikutaka mbaki ktk uongozi bila ridhaa ya wanachama waliowengi basi jueni kuwa mnakosea sana,mlichelewa sana kwa kuwa kufanya hivyo kutatufanya kila mtu kuondoka na fito yake.chama hakiwezi baki salama.
Zitto endelea kuwajibika kuwatumikia watanzania waliokutuma,Shughulika na mambo ya kitaifa,waache hawa wavuta bangi waimbe taarabu maana hawana kazi ya kufanya,maana tumeshaambiwa kuwa Elimu ya mjinga ni majungu.
Chapa kazi MANDELA wa Tanzania usiependa kuona wanafiki wakigomabania posho huku watanzania wakiwa hawana huduma za msingi.
 
Zitto sio size yako we kilaza,mipango mikubwa ya kumwangamiza Zitto imeshindwa tena ikiratibiwa ns watu wenye akili zao.mfano ni siku mlipo mzushia kuwa amehongwa na mafisadi ili kukwamisha bajeti ya Nishati na madini, Mlimsema,mkamkejeli ,mkamsimanga kwa hoja za uongo na uzushi,kila aliesimama alidai anao ushahidi usio na shaka,lkn mwisho wa siku kila alieitwa kutoa ushahidi alikosa cha kusema na kudai eti alisoma gazeti,wengine mkasema mlinogewa na mjadala.hivyo mwisho wa siku Tanzania nzima ikajuwa kuwa zitto ni mwadilifu na ni mfano bora wa kuigwa kwa kila mwenye mapenzi mema na nchi.
Hamkuishia hapo mmekua mkifanya kila kinachowezekana kumchafua Zitto ikiwa no pamoja na kutumia magazeti yenu ya Mwanahalisi,mawio na Tanzania daima,lkn imeshindikana maana nyota yake inang`aa na hiziwiliki.sasa mawio wamekugeuka na wameanza kukuona mwengawazimu usiejua ulitendalo,toleo la juzi umeonywa lkn naona kichwa chako ni kama kofia tuu.
Sasa tazama singo uliyokuja nayo,yote hii lengo umprovoke zitto ili mpate pakuanzia.mbaya zaidi huna kikosi kazi chanye akili zaidi ya kushauriana na watu waliokata tamaa ya maisha kama aki na kilewo na saa nane.wakati Zitto akiwaza namna ya kuwakomboa watanzania ,ninyi mnawaza namna ya kukwamisha ili asipate umaarufu.
Slaa na Mbowe kukaa kwenu kimya juu ya haya yanayoendelea ni uthibitisho tosha kuwa ninyi ndio mnaoratibu mpango huu haramu,Tumewavumilia sasa tumechoka,chama si mali ya Mtei tena bali ni mali ya wanachadema ambao wengi hawatoki kilimanjaro na Arusha.kama yote haya lengo nikutaka mbaki ktk uongozi bila ridhaa ya wanachama waliowengi basi jueni kuwa mnakosea sana,mlichelewa sana kwa kuwa kufanya hivyo kutatufanya kila mtu kuondoka na fito yake.chama hakiwezi baki salama.
Zitto endelea kuwajibika kuwatumikia watanzania waliokutuma,Shughulika na mambo ya kitaifa,waache hawa wavuta bangi waimbe taarabu maana hawana kazi ya kufanya,maana tumeshaambiwa kuwa Elimu ya mjinga ni majungu.
Chapa kazi MANDELA wa Tanzania usiependa kuona wanafiki wakigomabania posho huku watanzania wakiwa hawana huduma za msingi.
esho

subiri kesho utaambiwa unafiki wake
 
Nimefuatilia mjadala sana leo ukizingatia ilikuwa ni Jumamosi kwamba hatukuwa na kazi nyingi sana za Kibunge hasa baada ya kuanzisha mjadala unaosema " Usaliti na Unafiki unavyoliangamiza Taifa " na nimeona mjadala na nimejifunza mambo mengi sana sikumtaja Mtu ila Watu wengi wametaja majina ya Watu , sijui kwanini ? ila naendelea kutafakari , kesho nitaandika kuhusu mada inasema " UNAFIKI WA ZITTO KUHUSU POSHO " na mpaka saa nane mchana nitakuwa nimewasilisha na jambo hili halina mgogoro na kanuni za Chama kwani ni jambo liko wazi kwenye vyombo vya habari .

Asanteni

Zitto sio size yako we kilaza,mipango mikubwa ya kumwangamiza Zitto imeshindwa tena ikiratibiwa ns watu wenye akili zao.mfano ni siku mlipo mzushia kuwa amehongwa na mafisadi ili kukwamisha bajeti ya Nishati na madini, Mlimsema,mkamkejeli ,mkamsimanga kwa hoja za uongo na uzushi,kila aliesimama alidai anao ushahidi usio na shaka,lkn mwisho wa siku kila alieitwa kutoa ushahidi alikosa cha kusema na kudai eti alisoma gazeti,wengine mkasema mlinogewa na mjadala.hivyo mwisho wa siku Tanzania nzima ikajuwa kuwa zitto ni mwadilifu na ni mfano bora wa kuigwa kwa kila mwenye mapenzi mema na nchi.
Hamkuishia hapo mmekua mkifanya kila kinachowezekana kumchafua Zitto ikiwa no pamoja na kutumia magazeti yenu ya Mwanahalisi,mawio na Tanzania daima,lkn imeshindikana maana nyota yake inang`aa na hiziwiliki.sasa mawio wamekugeuka na wameanza kukuona mwengawazimu usiejua ulitendalo,toleo la juzi umeonywa lkn naona kichwa chako ni kama kofia tuu.
Sasa tazama singo uliyokuja nayo,yote hii lengo umprovoke zitto ili mpate pakuanzia.mbaya zaidi huna kikosi kazi chanye akili zaidi ya kushauriana na watu waliokata tamaa ya maisha kama aki na kilewo na saa nane.wakati Zitto akiwaza namna ya kuwakomboa watanzania ,ninyi mnawaza namna ya kukwamisha ili asipate umaarufu.
Slaa na Mbowe kukaa kwenu kimya juu ya haya yanayoendelea ni uthibitisho tosha kuwa ninyi ndio mnaoratibu mpango huu haramu,Tumewavumilia sasa tumechoka,chama si mali ya Mtei tena bali ni mali ya wanachadema ambao wengi hawatoki kilimanjaro na Arusha.kama yote haya lengo nikutaka mbaki ktk uongozi bila ridhaa ya wanachama waliowengi basi jueni kuwa mnakosea sana,mlichelewa sana kwa kuwa kufanya hivyo kutatufanya kila mtu kuondoka na fito yake.chama hakiwezi baki salama.
Zitto endelea kuwajibika kuwatumikia watanzania waliokutuma,Shughulika na mambo ya kitaifa,waache hawa wavuta bangi waimbe taarabu maana hawana kazi ya kufanya,maana tumeshaambiwa kuwa Elimu ya mjinga ni majungu.
Chapa kazi MANDELA wa Tanzania usiependa kuona wanafiki wakigomabania posho huku watanzania wakiwa hawana huduma za msingi.
 
Safari yetu ya kubadilisha utawala inaonekana kufika ukingoni na nifuraha ya kila Mtu mwenye hisia ya ukweli katika maisha na ninapotazama mbali sana ninaona jinsi ambavyo Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa ni bahati mbaya sana uwezi kuwaepuka katika harakati hizi lakini tukiwa makini tunaweza kuwathibiti .

Kama Chadema leo itashindwa kuwachukulia hatua wasaliti wa wazi wa kazi hii njema ni vipi Chadema itaweza kuitaka Serikali na Rais iwajibishe Viongozi wake katika ufisadi na wizi wa mamilioni ? Na Wananchi lazima wajue lengo kubwa na muhimu la Chadema kwanza liwe kubadilisha fikra na mitazamo na kuupa UMMA elimu na mamlaka na nguvu ya kusimamia Taifa lao katika kuhoji ,kudadisi na kukemea , kwani UMMA usipojua wajibu wake katika kusimamia rasilimali na Taifa lao , ukweli utabaki kuwa Nchi itabadilishwa na kufanikishwa na Jamii iliyoamua kuishi matendo dhahiri ya ukweli na haki na sio unafiki na usaliti .

Viongozi wote wa Siasa wanatokana na Jamii kwa hiyo jamii Thabiti inayo furahia UTU ni Nchi bora tutakayoijenga lakini Jamii yenye woga na hofu na Sifa itazaa Taifa lenye usaliti na Wanafiki . Usaliti na Unafiki unaliangamiza Taifa sana . Maombi na Dua za Watu wengi kuelekea 2015ni kutaka kuona Chadema inachukua Nchi , lakini Dua na Sala hizi zina Imani kubwa na Viongozi wa Chadema na sio rangi ya Chadema , hivyo ni muhimu Chadema kuchukua hatua sasa ya kusafisha Chama na kama hatua hiyo muhimu ya kuondoa Watu wenye rangi mbili italeta madhara katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwamba tunaweza tusishinde dola basi madhara hayo ni muhimu kwani lengo letu lisiwe tu kwenda Ikulu bali kubadilisha fikra ya utawala katika kutenda na kuamua .

" Ni bora Simba wakali mia moja walioko Nje kuliko nyoka mdogo mmoja aliye ndani " Chadema lazima ifanye maamuzi sasa ya kusafisha Nyumba yake la sivyo itakuja kujuta katika siku za mwisho , wasaliti wote waondolewe hasa yule Kiongozi wao kwani hakuna genge la usaliti lisilokuwa na Kiongozi , kuna Watu wengi Vijana wamekuwa wahanga na ndoto zao kupotea katika Siasa kwa sababu waliongozwa vibaya na Kiongozi mkubwa anayeratibu usaliti ndani ya Chama .

Mtu huyu wote tunamjua ni matumaini yangu Usaliti wake sasa utafika kikomo kama Chama kitaamua kuwa na busara za kutosha katika kujenga siku njema zinazokuja . Mtu huyu amefanya mambo mengi mabaya katika Chama yanayohusu usaliti na amewaponza Vijana wengi na kuangamiza ndoto zao kwa sababu ya mambo yake binafsi .

" To me, the thing that is worse than death is betrayal. You see, I could conceive death, but I could not conceive betrayal." Malcolm X



Lema Godbless - Mp

Hivi mkuu Chadema ikichukua nchi na wewe utapewa uwaziri? Bora tubaki na ccm tu maana andiko kama hili linatosha kukufanya uwe waziri kituko.
 
Zitto sio size yako we kilaza,mipango mikubwa ya kumwangamiza Zitto imeshindwa tena ikiratibiwa ns watu wenye akili zao.mfano ni siku mlipo mzushia kuwa amehongwa na mafisadi ili kukwamisha bajeti ya Nishati na madini, Mlimsema,mkamkejeli ,mkamsimanga kwa hoja za uongo na uzushi,kila aliesimama alidai anao ushahidi usio na shaka,lkn mwisho wa siku kila alieitwa kutoa ushahidi alikosa cha kusema na kudai eti alisoma gazeti,wengine mkasema mlinogewa na mjadala.hivyo mwisho wa siku Tanzania nzima ikajuwa kuwa zitto ni mwadilifu na ni mfano bora wa kuigwa kwa kila mwenye mapenzi mema na nchi.
Hamkuishia hapo mmekua mkifanya kila kinachowezekana kumchafua Zitto ikiwa no pamoja na kutumia magazeti yenu ya Mwanahalisi,mawio na Tanzania daima,lkn imeshindikana maana nyota yake inang`aa na hiziwiliki.sasa mawio wamekugeuka na wameanza kukuona mwengawazimu usiejua ulitendalo,toleo la juzi umeonywa lkn naona kichwa chako ni kama kofia tuu.
Sasa tazama singo uliyokuja nayo,yote hii lengo umprovoke zitto ili mpate pakuanzia.mbaya zaidi huna kikosi kazi chanye akili zaidi ya kushauriana na watu waliokata tamaa ya maisha kama aki na kilewo na saa nane.wakati Zitto akiwaza namna ya kuwakomboa watanzania ,ninyi mnawaza namna ya kukwamisha ili asipate umaarufu.
Slaa na Mbowe kukaa kwenu kimya juu ya haya yanayoendelea ni uthibitisho tosha kuwa ninyi ndio mnaoratibu mpango huu haramu,Tumewavumilia sasa tumechoka,chama si mali ya Mtei tena bali ni mali ya wanachadema ambao wengi hawatoki kilimanjaro na Arusha.kama yote haya lengo nikutaka mbaki ktk uongozi bila ridhaa ya wanachama waliowengi basi jueni kuwa mnakosea sana,mlichelewa sana kwa kuwa kufanya hivyo kutatufanya kila mtu kuondoka na fito yake.chama hakiwezi baki salama.
Zitto endelea kuwajibika kuwatumikia watanzania waliokutuma,Shughulika na mambo ya kitaifa,waache hawa wavuta bangi waimbe taarabu maana hawana kazi ya kufanya,maana tumeshaambiwa kuwa Elimu ya mjinga ni majungu.
Chapa kazi MANDELA wa Tanzania usiependa kuona wanafiki wakigomabania posho huku watanzania wakiwa hawana huduma za msingi.

leo mtatoka chimbo sana na unafiki wenu... na bado mpaka tumgoe huyo msaliti kipenzi cha wana ccm..
 
Lema wewe ndio msaliti mkubwa ndio mnaua chama kwa sababu ya uskazini wenu na mnageuza chama kama N'gos! Mkiambiwa ukweli mnaanza hoo kuna msaliti ndani ya chama, na umekosa hoja sasa unabaki kuropoka wewe lema hata hufanyi nini hamna ubavu wa kumfukuza chadema labda mfanye njama za kumuua kama mlivyofanya kwa chachawangwe, lakini zito tutamlinda kwa gharama yoyote mpaka tuhahakikishe anakuwa m/kiti wa Chadema. Huna jipya wewe unatafuta umaarufu kwa kutuaribia chama! Wewe ndio msaliti mkubwa posho zinakutoa povu!
 
Hivi mkuu Chadema ikichukua nchi na wewe utapewa uwaziri? Bora tubaki na ccm tu maana andiko kama hili linatosha kukufanya uwe waziri kituko.

kwa sisi tunaojua kiswahili tumeelewa maana ya uandishi huo wenye msisitizo
 
"Lema amekuwa akinitishia kuniua kwa kipindi kirefu, ambapo siku ya tukio alirudia kauli hiyo kabla hajaenda kuchukua kitofali na kujaribu kunipiga nacho ambapo nilikikwepa" - SAMSON MWIGAMBA 28.10.2013
 
Karibu sana Comrede.
kwanza nikupongeze kwa kutokuwa mnafiki wa kufanya mambo kwa kificho, ni lazima umma ujue unafiki wa watu wanaojiita wazalendo huku waki wazandiki na ambao wapo tayari kufanya jambo lolote lile ili majina yao yaendelee kubaki huku wakiangamiza taasisi

Hata mimi hivi karibuni nitakuja Naunafiki wa Zitto na uwepo wangu Magereza na kesi yangu ya ugaidi.

CHANAGA UNITED oyeeeeeeee
 
Zitto sio size yako we kilaza,mipango mikubwa ya kumwangamiza Zitto imeshindwa tena ikiratibiwa ns watu wenye akili zao.mfano ni siku mlipo mzushia kuwa amehongwa na mafisadi ili kukwamisha bajeti ya Nishati na madini, Mlimsema,mkamkejeli ,mkamsimanga kwa hoja za uongo na uzushi,kila aliesimama alidai anao ushahidi usio na shaka,lkn mwisho wa siku kila alieitwa kutoa ushahidi alikosa cha kusema na kudai eti alisoma gazeti,wengine mkasema mlinogewa na mjadala.hivyo mwisho wa siku Tanzania nzima ikajuwa kuwa zitto ni mwadilifu na ni mfano bora wa kuigwa kwa kila mwenye mapenzi mema na nchi.
Hamkuishia hapo mmekua mkifanya kila kinachowezekana kumchafua Zitto ikiwa no pamoja na kutumia magazeti yenu ya Mwanahalisi,mawio na Tanzania daima,lkn imeshindikana maana nyota yake inang`aa na hiziwiliki.sasa mawio wamekugeuka na wameanza kukuona mwengawazimu usiejua ulitendalo,toleo la juzi umeonywa lkn naona kichwa chako ni kama kofia tuu.
Sasa tazama singo uliyokuja nayo,yote hii lengo umprovoke zitto ili mpate pakuanzia.mbaya zaidi huna kikosi kazi chanye akili zaidi ya kushauriana na watu waliokata tamaa ya maisha kama aki na kilewo na saa nane.wakati Zitto akiwaza namna ya kuwakomboa watanzania ,ninyi mnawaza namna ya kukwamisha ili asipate umaarufu.
Slaa na Mbowe kukaa kwenu kimya juu ya haya yanayoendelea ni uthibitisho tosha kuwa ninyi ndio mnaoratibu mpango huu haramu,Tumewavumilia sasa tumechoka,chama si mali ya Mtei tena bali ni mali ya wanachadema ambao wengi hawatoki kilimanjaro na Arusha.kama yote haya lengo nikutaka mbaki ktk uongozi bila ridhaa ya wanachama waliowengi basi jueni kuwa mnakosea sana,mlichelewa sana kwa kuwa kufanya hivyo kutatufanya kila mtu kuondoka na fito yake.chama hakiwezi baki salama.
Zitto endelea kuwajibika kuwatumikia watanzania waliokutuma,Shughulika na mambo ya kitaifa,waache hawa wavuta bangi waimbe taarabu maana hawana kazi ya kufanya,maana tumeshaambiwa kuwa Elimu ya mjinga ni majungu.
Chapa kazi MANDELA wa Tanzania usiependa kuona wanafiki wakigomabania posho huku watanzania wakiwa hawana huduma za msingi.

Tanzanians like you are needed in this country......be blessed ndugu

Tunahitaji mabadiliko kumbe kuna wenzetu ndio wanarudisha nyuma haya mabadiliko


Zitto go go go watu wanakuona
 
Lema wewe ndio msaliti mkubwa ndio mnaua chama kwa sababu ya uskazini wenu na mnageuza chama kama N'gos! Mkiambiwa ukweli mnaanza hoo kuna msaliti ndani ya chama, na umekosa hoja sasa unabaki kuropoka wewe lema hata hufanyi nini hamna ubavu wa kumfukuza chadema labda mfanye njama za kumuua kama mlivyofanya kwa chachawangwe, lakini zito tutamlinda kwa gharama yoyote mpaka tuhahakikishe anakuwa m/kiti wa Chadema. Huna jipya wewe unatafuta umaarufu kwa kutuaribia chama! Wewe ndio msaliti mkubwa posho zinakutoa povu!

subiri kesho anaonge kuhusu unafiki wa Zitto kuhusu Posho
 
Huna jipya Lema,nistori ilele ya juzi ya kutunga kazi za kibunilizi,Zitto is charismatic and a smart people.hana kashfa pamoja na jitihada zako za kimchafua?huyo sio level yako.Rudi kamwambie aliyekutumia kama kondom kuwa jamaa hachafuki hata ukimtupa kwenyedhimo la kashfa.watanzania ndio Tunazidi kumpenda,shetani hata siku moja hawezi kumshinda MUNGU .Giza haliwezi kuishinda nuru.
 
Utabiri wa waziri flani wa ccm kuwa cdm haitafika 2015 sasa huooo unatimia,
 
Ni ajabu kwamba sasa viongozi CHADEMA mmeamua kutumia JF kama ubao (flip chart) wa kufanyia kazi. Sidhani kama ni mkakati muruwa kwa kazi nyeti za kisiasa. You better think twice on this.

Kama Zitto na Facebook na Twitter
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom