Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Tuko, napenda mtiririko wako wa fikra, LAKINI uko wapi mstari wa kiasi??? Anything too much is harmful...Godbless J Lema,
Mimi nakukubali katika harakati za ukombozi wa taifa hili. Lakini naomba kukushauri kitu kimoja: Katika siasa kubali kutofautiana na watu fikra. Na sio kila mara unaotofautiana nao fikra basi ni maadui zako. Ni wazi kabisa kwamba Mwenyekiti wetu Mbowe angesema nawachukulia kama maadui wale wote anaotofautiana nao kifikra, CHADEMA isingekuwa hapo ilipo.
Kila shilingi ina pande mbili. Sio sahihi kumjudge mtu kwa kuangalia weakness zake peke yake. Naamini CHADEMA imefika hapo ilipo kwa juhudi kubwa za viongozi wake WOTE na wanachama wake. Na ninaposema wote nina maana ya WOTE. Sio vyema mtu mmoja au kikundi cha watu kujiona kuwa wao ni bora zaidi ya wengine. Kila mtu anayo madhaifu yake kama alivyo na mazuri yake. Hakuna mtu aliyekamilika, sio CDM, sio CCM na sio popote.
Wanasema mbwa ukishamjua jina hakusumbui Lema.... Tafakari braza...
To me rationale has its boundaries when individuals egos interferes negatively with the well-being of the family/team/group/party/country.
Zitto WAS part of CHADEMA in those years, now he IS not part of it anymore.
Dear Tuko, we all live for NOW and not for yesterday. Sentiments should not be the norm here.
NB: I do not condone any move of various public figures/leaders to wash party's linen in public.