Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Godbless J Lema,
Mimi nakukubali katika harakati za ukombozi wa taifa hili. Lakini naomba kukushauri kitu kimoja: Katika siasa kubali kutofautiana na watu fikra. Na sio kila mara unaotofautiana nao fikra basi ni maadui zako. Ni wazi kabisa kwamba Mwenyekiti wetu Mbowe angesema nawachukulia kama maadui wale wote anaotofautiana nao kifikra, CHADEMA isingekuwa hapo ilipo.

Kila shilingi ina pande mbili. Sio sahihi kumjudge mtu kwa kuangalia weakness zake peke yake. Naamini CHADEMA imefika hapo ilipo kwa juhudi kubwa za viongozi wake WOTE na wanachama wake. Na ninaposema wote nina maana ya WOTE. Sio vyema mtu mmoja au kikundi cha watu kujiona kuwa wao ni bora zaidi ya wengine. Kila mtu anayo madhaifu yake kama alivyo na mazuri yake. Hakuna mtu aliyekamilika, sio CDM, sio CCM na sio popote.

Wanasema mbwa ukishamjua jina hakusumbui Lema.... Tafakari braza...
Tuko, napenda mtiririko wako wa fikra, LAKINI uko wapi mstari wa kiasi??? Anything too much is harmful...

To me rationale has its boundaries when individuals egos interferes negatively with the well-being of the family/team/group/party/country.

Zitto WAS part of CHADEMA in those years, now he IS not part of it anymore.

Dear Tuko, we all live for NOW and not for yesterday. Sentiments should not be the norm here.

NB: I do not condone any move of various public figures/leaders to wash party's linen in public.
 
Ulevi na unazi wa viongozi kama wewe mh. Lema unakipeleka chama kwenye shimo. Ni kweli kuna mazuri mengi umefanya kwenye chama,lakini kwa jazba unazozifanya kama vurugu kwenye mkutano wa kanda kule Arusha, umekirudisha nyuma hatua kadhaa, tangu tukio la Arusha litokee wanachama wengi tumevunjika moyo, je kama chama chetu kinatarajiwa kushika dola,je kitaweza kutatua migogoro inayowahusu watanzania kwa amani? Mbaya zaidi ukiwa bungeni umeunga mkono hoja ya kuongezewa posho ya vikao, je huo sio usaliti kwa wananchi wa Arusha mjini? Je walikutuma hayo?
 
Zitto zuberi kabwe......kwa nini mnamung'unya maneno.....mnataka Lema ataje kwani nyie hammjui....? alichofanya lema ni kuhamasisha maamuzi yachukuliwe na vikao husika kwa sababu anajulikana na ushahidi upo......kuna ushahidi wa document na watu....
 
Nasema Hivi siku mh Zitto akitangaza kukihama chadema kwa kufukuzwa au kwa lolote CCM Itafanya SHEREHE KUBWA hadharani,, sitaki kuamini kama zitto anaweza kuondoka chadema.....ILA KIONGOZI WA WASALITI NI LAZIMA ASALITIWE VIKALI
 
Mkuu Lema, pengine utusaidie kutupatia maana halisi ya 'Usaliti', 'Unafiki' na 'utu' kwa namna uelewavyo wewe.

Maneno haya kutoka kwako yananishangaza kidogo, kwa vigezo kuwa kwa yale unayofanya nawewe unaweza fuzu kuitewa Mnafiki na Msaliti asie na utu. Labda kama unatumia hii njia kujikosha baada ya wewe pia kutambua kuwa umeonyesha Usaliti mkubwa kwa Watanzania unaowawakilisha.

Lema inatakiwa uelewe haya;

Unatakiwa kujua kuwa hata kina KUBENEA wameshakuchoka, yeye si mmoja wa hao anaowasema? (Au woga ambao siku zote unashabikia ni sumu leo si sumu tena?), pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/547535-mh-lema-anaivuruga-chadema.html

Watanzania wengi washakushtukia, unakiruvuga chama kwa siasa zako za kishabiki na kitoto wenzetu wanaita 'armature' (an insult ukiichukulia undani wake) pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...gwe-gavana-rahisi-kusababisha-mitafaruku.html

Inawezekana unawashambulia Shibuda na Zitto kwenye bandiko hili, vipi ni kwakuwa wewe Lema unapenda sana Posho hivyo umeamua liwalo na liwe? pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bungeni-zitto-lema-katika-vita-ya-maneno.html

Au unataka kusema hizi posho zinamaanisha Uzalendo na Utu kwa Taifa? (Are you serious??). Zitto alisha litabiri hili na kueleza wazi (hakutumia unafiki) kuwa Siasa za Posho zitasababisha mjenge chuki na mmwite majina yote mabaya! www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/299635-zitto-sijahongwa-ni-siasa-za-urais-na-hasira-za-posho.html

Au hii ndiyo step ya kwanza ya kufanya Zitto aondoke Chadema? Maana inajulikana wazi kuwa kuna mkakati wa kumkatisha tamaa Zitto aondoke CHADEMA mapema kabla mwaka haujaisha ili mpumue ndani ya chama cha watu wa Kaskazini (viongozi wa juu). Inaturudisha kule kule mnako kukataa siku zote (Udini/Ukabila).

Pole zako Lema, watanzania wa leo si mabwege!

tanzania tunachekesha sana .... huwa tunatafuta easy solutions ya mambo tu .... hatutaki kusolve a problem

hii issue ya posho .... ni kweli wabunge wanapata kiasi kikubwa kulinganisha na maisha ya mtanzania wa kawaida

ila swali nalojiuliza tumeshawahi kufuatilia vipato walivyo navyo viongozi na watumishi wa umma kama wamevipata na wanaendelea kuvipata kihalali .... au tunawasikiliza wao wanapoenda kujaza zile forms zisizofanyiwa uchunguzi wowote? hata mimi kama nina vyanzo vingine vikubwa vya mapato ningekataa posho ili kuuza jina magazetini!

bado tuna safari ndefu sana katika kujenga system iliyo bora!
 
Zitto Kabwe najua ndiye anayezungumziwa...
Mimi ninachojua Zitto yupo karibu sana na Usalama wa Taifa na viongozi wengi wa CCM...
Tatizo Zitto anajisahau nakufikiri hao watu alionao karibu kwamba wana mapenzi mema kwa nchi..au chadema...Zitto huyu wa leo sio wa kipindi kile...
Anapenda kujiona yeye ni zaidi ya Chadema...
Zitto anapenda sifa na kutukuzwa..
Zitto ni mwanasiasa makini wakati huo huo anang'ata na kupuliza...
Pia CCM wanataka kutumia kete ya Zitto kuichafua Chadema kidini na kikabilaSource ni ndani ya CCM/Usalama wa taifa
 
Hivi watu wenye akili ambao hawana upande wanaoushabikia
kama Baregu na Safari wanasemaje na haya yoote yanayooendelea?


ni kweli chama kimefika hii low point ya hooliganism ya kina Lema?
 
mkuu tuwekee ushahidi hapa! Wewe umefanya zaidi ya mwigamba mkuu, sijui huko chadema watachukua hatua gani! Lakini chadema msitafute mchawi mbele ya safari, huwezi kuongoza chama kwa majungu na umbeya badala ya vikao!

Unataka wewe kama nani?

Ushahidi juu ya hili unaihusu kamati kuu y chadema na sio kwa jf,

Unataka ushahidi wa video? Audio? Picha? Au?

Nimesema sisi tushamaliza kazi, jukumu la mwisho na maamuzi magumu yapo chini ya kamati kuu ya chadema,
 
yani mtu amseme vibaya tundu lissu au zitto halafu anantaka ntumie hekima kumkabili? hapana atapewa dozi yake kwa kiwango ninachoamua mimi!
 
Godbless J Lema

Tunaomba badili hii kichwa ya habari, badala ya Taifa weka chadema:

Mambo ya chadema yanalihusu nini Taifa?

Hivi hizi shule huwa mnasomeshwa nini? mipasho?
 
Last edited by a moderator:
Komaeni mumngoe Zitto ili mpige hela kirahisi sasa na mahesbu yawe yanafanyika nyumbani kwa Mtei...halafu wee jamaa tafuta kazi ya kufanya huku kushinda mitandaoni sio issue jamaa wee 24/7 uko mitandaoni kutetea ujinga ujinga tu tafuta kazi yakufanya acha kupenda vya bure

Wakati ukinifuatilia mimi 24/7 wewe unakua ukifanya kazi gani?Tafuta kazi ya kufanya maana kunifuatilia mimi 24/7 sio issue.Zaidi ya hapo utapotea tu
 
Tatizo ccm wamemdanganya Zitto kwamba raisi wa sita wa Tanzania atakuwa yeye.Gharama za ndoto hiyo akate tawi alilokalia mwenyewe.
 
Hoja ziko wapi?
k......***** zako wewe ben msukule wa slaa mnataka mtuulie chama kwa mambo yenu ya kijinga,Hata muwe 1000 wewe na shoga mjinga mwenzako Lema hamna ubavu wa kupimana ubavu na zzk yule anapigania maslahi ya watz sio kama nyinyi mnaoendekeza matumbo yenu na kugeuza chama ni NGO yenu mazafanta nyie. Nakwambia tena ........***** zako wewe SIOGOPI BAN
 
vp akiscan na kuleta documents kuonesha kuwa kweli amekopa,utachukua hatua gani? Lakini lema akanushe itasaidia kuleta uwazi na jamaa apewe ban:

Yaani Lema awe na ambition finyu ya kuja kukanusha utumbo ulioandikwa humu ili jamaa apewe ban tu?
 
mkuu tuwekee ushahidi hapa! Wewe umefanya zaidi ya mwigamba mkuu, sijui huko chadema watachukua hatua gani! Lakini chadema msitafute mchawi mbele ya safari, huwezi kuongoza chama kwa majungu na umbeya badala ya vikao!

Huyo Yericko Nyerere huko chadema ana nini hata wawe na la kumfanya? huyo ni mpiga porojo mwenzetu tu humu JF ndiyo maana anaweza kusema apendavyo.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom