When it reaches a point you start thread or writing something about Zitto, unakuwa umejishusha zaidi na kudansi mziki wake
Lema unajisumbua na unatapatapa........andika uandikavyo ila utaaibika wewe
mpaka sasa jamii iko against you na posho, unaona mbaya wako ni zitto??? kweli??
Zitto hata kama ni mnafiki wa aina gani, wewe unatumikia wananchi, hautumikii wananchi kupitia zitto, zitto is not your role model..................
umeona tumeweka wazi kuwa ulikuwa unamsema zito ndio unakuja na titile eti ''unafiki wa zitto juu ya posho'' usahwahi kuvuta bangi?? chadema huyu kweli ni kiongozi wenu??
okey, ukiishaandika unafiki wa zitto utakuwa unapambana na zitto au CCM?????
JE utakuwa umekijenga chama
sijaona mbumbumbu wa saisa kama wewe, whata a joke....
okoeni hili kinyago jamani
haji
hv umesoma mpaka la ngapi vile??