Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
huna haja ya kumdhalilisha kuhusu elimu yake,huyu mtu kashajjdhalilisha vya kutosha.
anashindwa kutetea umuhimu wa kuongezewa posho bali anataka kuleta ngonjera za ETI UNAFIKI WA ZITO KABWE!!!!

hawa CHAGAZ wanatupotezea ile nafas adimu ya kuifanya CCM itawale with tension huku ikijua kuna watu wako macho wanaw
amonitor!
hadithi za usaliti wa ZZK ni porojo zinzotungwa

ndipo tutakapojua kesho lakini huko nyuma hapa JF tumepata kujadili zitto kusaliti maamuzi ya vikao kwa kugoma kutoka nje ya bunge badara yake kuitisha waandishi na kuanza kueleza siri ya kikao huo ni usaliti, wakati wa kesi ya madiwani wa chadema yeye aliwaghiribu akili madiwani na kuchochea ugomvi huo ni usaliti,aliunda mtandao wa masalia huo ni usaliti alitangaza uraisi katikati ya kampeni ya arumeru magharibi kudiveti, attention , alikuwa na chagulani mpaka kuwa mgeni wake rasmi kwenye fund raising kumbe wakapanga kupora umeya wa Mwanza ni usaliti haya tumeyapata hapa nadhani ameamua kunyoa
 
Ukiwa mmachame tegemea favour ya wenye chama otherwise hata ujenge kila mchaga nyumba ila hatokubali kumuongoza.

mimi ni muha nauza chama kwa vipande thelathini vya pesa na hasa nina roho mbaya sana kila kijana mwenye karama ya uongozi kisiasa lazima nimuangushe naitwa jinni siasa nimepiga chini mchange ,mwampamba,shonza,tweve,kafulilaa wengine walijitambua machali na mkosamali isingekuwa hivyo ingekula kwao nimevuruga sasa na mwigamba ,muha mimi niliwaondoa watu wote wakigoma kwenye chama change ndivyo nilivyo
 
ndipo tutakapojua kesho
lakini huko nyuma hapa JF tumepata kujadili zitto kusaliti maamuzi ya
vikao kwa kugoma kutoka nje ya bunge badara yake kuitisha waandishi na
kuanza kueleza siri ya kikao huo ni usaliti, wakati wa kesi ya madiwani
wa chadema yeye aliwaghiribu akili madiwani na kuchochea ugomvi huo ni
usaliti,aliunda mtandao wa masalia huo ni usaliti alitangaza uraisi
katikati ya kampeni ya arumeru magharibi kudiveti, attention , alikuwa
na chagulani mpaka kuwa mgeni wake rasmi kwenye fund raising kumbe
wakapanga kupora umeya wa Mwanza ni usaliti haya tumeyapata hapa
nadhani ameamua kunyoa

za mwizi ni arobaini na ikifika siku ya arobaini huwa haiongezeki hata siku moja!
 
very good political move by CDM.....hii linaitwa pigo la ushindi...ni pigo la kuonesha tofaiti kubwa kati ya ccm na CDM .....ni pigo la kumaliza usaliti si kwa CDM tu mahala popote pale kwenye movement.....vijana wa CCM kamwe hawawezi kuelewa kinacho fanyika....natamani wangefuatilia jinsi republican walivyo mu-isolate sen tedy cruz
 
Nimefuatilia mjadala sana leo ukizingatia ilikuwa ni Jumamosi kwamba hatukuwa na kazi nyingi sana za Kibunge hasa baada ya kuanzisha mjadala unaosema " Usaliti na Unafiki unavyoliangamiza Taifa " na nimeona mjadala na nimejifunza mambo mengi sana sikumtaja Mtu ila Watu wengi wametaja majina ya Watu , sijui kwanini ? ila naendelea kutafakari , kesho nitaandika kuhusu mada inasema " UNAFIKI WA ZITTO KUHUSU POSHO " na mpaka saa nane mchana nitakuwa nimewasilisha na jambo hili halina mgogoro na kanuni za Chama kwani ni jambo liko wazi kwenye vyombo vya habari .

Asanteni

Lema wewe ni mjinga tena sana na kamwe. Zitto haja kulazimisha usichukue posho, kumpinga mtu kisa hachukui posho ni chuki binafsi.

Wewe ni nani kukaa na kuanza kusema wabunge wenzio kwenye mitandao?

Godbless J Lema wewe ni wa kupuuzwa umepitiliza sasa, umeshindwa kujenga hoja kwenye vikao una kuja kuchafua wenzio kwenye mitandao.

Dr slaa, mbowe, na wana chadema mkae mkijua huyu Lema ndio anachimba kaburi la CHADEMA.

Lema wewe ni mjinga sana.
Kwakweli nitashangaa huyu mtu kuachwa hivi hivi bila kushikishwa adabu huu ni ujinga kabisa.

Wewe Lema naona ndio umetumwa kuanzisha vurugu na huna busara kabisa huu ni ujinga.

Wanachadema lazima tuungane kupinga huu ujinga wa Lema.

Naomba mh Zitto usipoteze muda kujibu huyu mjinga anakiangamiza chama huku anatuhumu wengine.

Kwakweli sitowaelewa CHADEMA wakimuacha Lema aendelee na huu ujinga wa kukivuruga chama.

Watu wanatakiwa kujua Lema ana nia nzuri na kama angekuwa nayo asingefanya haya.

Lema unajaribu kutuonesha kuwa uko parfect kumbe ni mjinga na huna tofauti namwigamba. Kweli nimeamini aliyesema ufungwe speed governor.

Lema acha kuact kama mtoto, huu umaarufu wako umeupatia kwetu sisi unaotuona wajinga na hutaki kutusikiliza.

Huu ujinga kabisa.

NI LAZIMA LEMA AFUNDISHWE ADABU NA AACHE KULETA MITAFARUKU KWENYE CHAMA NA NINA TEGEMEA TAMKO KUANZIA KESHO KUTOKA KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA.
 
Last edited by a moderator:
Lema umenigusa sana na hasa kwenye huo mstari wako unaosema suala la msingi isiwe tu kukimbilia ikulu bali kuleta mapinduzi ya kifikra na utendaji kwa uongozi wa nchi na taifa kwa ujumla.CHADEMA inapaswa kujua hili,kwamba suala la msingi kwao ni kuwa na nguvu ya kuendesha nchi iwe ndani au nje ya ikulu!mkiwa spidi sana kwenda ikulu bila kusimamia mapinduzi ya kifikra kwa wananchi,hata mkiingia ikulu mtapata shida kutawala na kupambana na CCM iliyo nje ya serikali.Wenye akili tunawashangaa baadhi ya watu wenu walivyo spidi kwenda ikulu!hawa tunawaogopa kama ukoma.Msiwaonee haya.Watimueni.
 
very good political move by CDM.....hii linaitwa pigo la ushindi...ni pigo la kuonesha tofaiti kubwa kati ya ccm na CDM .....ni pigo la kumaliza usaliti si kwa CDM tu mahala popote pale kwenye movement.....vijana wa CCM kamwe hawawezi kuelewa kinacho fanyika....natamani wangefuatilia jinsi republican walivyo mu-isolate sen tedy cruz

Kuto kumwambia ukweli lema kuwa haya anayo yafanya hayato jenga chama kamwe ni kumdanganya kabisa. sikutegemea kuna mwana chadema ataungana na Lema kwenye haya, huu ni ujinga.

Narudia tena Lema ana bomoa chama kwa njia hii na kumsifu ni kuua chama.

Nasema tena huu ujinga wa lema utatugharimu time will tell.

NI WAKATI SASA WA KUMDHIBITI LEMA MAANA KWA HAYA ANA KIANGAMIZA CHAMA.

HUU NI UJINGA. MH Zitto USIMJIBU.
 
Last edited by a moderator:
I am eagerly waiting for the biography ya zitto utakayo ileta kesho, lakini ujue moja lema, dua ya kuku haimpati mwewe.

Zitto is out of your league, and he will be your down fall,mtei, mbowe na slaa wamemshindwa itakuja kuwa kibaraka, unaitumiwa kama bull dog. Jaribu uone cha mtema kuni, kama wana chadema hawakukukaanga na mafuta yako. Very pathetic.
 
Dawa ya moto wakati mwingine ni moto na si maji.

very good political move by CDM.....hii linaitwa pigo la ushindi...ni pigo la kuonesha tofaiti kubwa kati ya ccm na CDM .....ni pigo la kumaliza usaliti si kwa CDM tu mahala popote pale kwenye movement.....vijana wa CCM kamwe hawawezi kuelewa kinacho fanyika....natamani wangefuatilia jinsi republican walivyo mu-isolate sen tedy cruz
 
Kwa mwendo huu wa kila kiongozi kulalama ndani ya mitandao na kwenye media,CHADEMA haina maisha marefu.
hamna shida mkuu , ni katika kuweka mambo sawa ,asipofanya hivi ndiyo mwanzo wa kuachana na kutoelewana lakini hapa kila mmoja anapembua mchele na chuya BIG UP JF
 
Daa yani mtu unashindwa kujenga hoja ya kutetea posho alafu una kimbilia JF.

Lema asante kwa kuturudisha nyuma na madhara yake utayaona soon,na haya unayo yafanya yata athiri chama wala si mtu.

Dr.W.Slaa hamtotenda haki kama mkimuacha Lema aendelee kutuvuruga na kuacha kutumia vikao vya chama.

Huu ni ujinga kabisa.
 
Last edited by a moderator:
huu ni muda wa zitto kufukuzwa chamani,tumevumilia ujinga wake mwingi na chokochoko zake nyingi.na wale wamshabikiao waondoke naye watuachie cdm yetu sisi tuliyo tayari kuipigania na kuifia.inatosha sasa na kama yeye anajiona maarufu atoke tuuone umaarufu wake.nipo igoma mwanza na akija tunamzomea
 
Lema wewe ni mjinga tena sana na kamwe. Zitto haja kulazimisha usichukue posho, kumpinga mtu kisa hachukui posho ni chuki binafsi.

Wewe ni nani kukaa na kuanza kusema wabunge wenzio kwenye mitandao?

Godbless J Lema wewe ni wa kupuuzwa umepitiliza sasa, umeshindwa kujenga hoja kwenye vikao una kuja kuchafua wenzio kwenye mitandao.

Dr slaa, mbowe, na wana chadema mkae mkijua huyu Lema ndio anachimba kaburi la CHADEMA.

Lema wewe ni mjinga sana.
Kwakweli nitashangaa huyu mtu kuachwa hivi hivi bila kushikishwa adabu huu ni ujinga kabisa.

Wewe Lema naona ndio umetumwa kuanzisha vurugu na huna busara kabisa huu ni ujinga.

Wanachadema lazima tuungane kupinga huu ujinga wa Lema.

Naomba mh Zitto usipoteze muda kujibu huyu mjinga anakiangamiza chama huku anatuhumu wengine.

Kwakweli sitowaelewa CHADEMA wakimuacha Lema aendelee na huu ujinga wa kukivuruga chama.

Watu wanatakiwa kujua Lema ana nia nzuri na kama angekuwa nayo asingefanya haya.

Lema unajaribu kutuonesha kuwa uko parfect kumbe ni mjinga na huna tofauti namwigamba. Kweli nimeamini aliyesema ufungwe speed governor.

Lema acha kuact kama mtoto, huu umaarufu wako umeupatia kwetu sisi unaotuona wajinga na hutaki kutusikiliza.

Huu ujinga kabisa.

NI LAZIMA LEMA AFUNDISHWE ADABU NA AACHE KULETA MITAFARUKU KWENYE CHAMA NA NINA TEGEMEA TAMKO KUANZIA KESHO KUTOKA KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA.

Bro muache atumie umember wake JF kama unavyotumia wewe mbona umememtukana mpaka kilele cha mwisho kitu ambacho ni kizuri kwa mustakabari wa uelewa wa wana JF usimdhibiti muache alete atakacholeta halafu memebers tutapima kama ana ukweli au la uzuri wanachadema na wafuasi wao hawambakishi mtu akileta pumba bila ushahidi atababuliwa hapa hakuna atakayeua chadema kwa sasa si lema wala zitto wala mbowe
 
Daa yani mtu unashindwa kujenga hoja ya kutetea posho alafu una kimbilia jf.


Lema asante kwa kuturudisha nyuma na madhara yake utayaona soon,na haya unayo yafanya yata athiri chama wala si mtu.

@dr .w. Slaa hamto tenda haki kama mki muacha lema aendelee kutuvuruga na kuacha kutumia vikao vya chama.

Huu ni ujinga kabisa.

Mkuu don't take these issues too personal muache alete atakacholeta tunataka kukata mzizi wa fitina tujue ukweli wenye ushahidi pasipo shaka baada ya hapo ndio tutoe hoja lakini kupre empty sio style ya JF
 
noted from GODBLESS LEMA and BEN SAANANE....
These guyz are pathetic, obsessed with tribalism to the extent of mental disability.
they are ready to the party disappear than accepting it go be under non CHAGA leadership.
at least we are witnessing radicalism(as preached by BEN /LEMA),radicalism that is 100% tribalism.
those with prophetic views, we saw it more than decade ago but it's time now for the rest of the world to see it vividly.
DOGS ARE HERE TO BARK, LET THEM BARK AND BUTCHER EACH OTHER BUT THEY WILL NEVER........ NEVER.... ...never set foot in holly land.
dogs are known and they are known by their voices when barking.
jambazi lenye historia ya kutumia silaha kuiba,kupora na kuua watu hastahili kuwa ni msemaji wa maslahi ya watu.(labda kama watu wenyewe ni WAVUTA BANGI). siasa za kuhonga wapiga kura na BONGO FLEVA ndio zinatufikisha kuwa na wawakilishi kama LEMA/SUGU/MSIGWA na mburura wengine kama hao.
ZZK is not your level and you are fighting a loosing game.
hivi ben saanane, MBOWE Kakuahidi nini?
una maslahi gani kwa vita yako dhidi ya ZZK??

mnawanyima watanzani fursa ya kuwa na mbadala wa CCM just because you hate HIM???
PATHETIC COWARDS AND CHAGAZ.you only think within your Nose scope and you cant see beyond it
Hizo ni point za Zitto. Kwani wachaga sio watanzania? You hate them, right? Mimi sio mchaga. Na sipendi kabisa tabia za Zitto. Sio mpiganaji huyu. Nimeudhulia mikutano yake zaidi ya miwili akiwa nje ya nchi. Anawambia watanzania kwamba hatagombea tena. Mwaka unaofata, anagombea. Mambo alofanya Zitto ni kutaja siri alokuwa akipewa na Amina Chifupa kuhusu ufisadi ndo maana alipokufa Amina, na Zitto akaisha.

Zitto hajui bomu la machozi linafananaje. Sijui kwa nini anajiona imara kuliko wenzake. Anapenda sana kuitwa mwenyekiti. CCM wanamtumia sana huyu kijana. Hana hata kidonda mwilini alokwishakipata kwa kupigwa na bomu akipigania watanzania. Ndo maana CCM wanampenda sana. Kidonda alichonacho Zitto ni kile tu alichopata akishangilia zawadi yake ya range rover kutoka kwa mafisadi. Alijikuta anaanguka mlangoni.

Huyu mtu hawezi kuongoza chama. Atakichukua na kukiweka mikononi mwa CCM. Hafai na inabidi tumzuie..
 
Lema umenigusa sana na hasa kwenye huo mstari wako unaosema suala la msingi isiwe tu kukimbilia ikulu bali kuleta mapinduzi ya kifikra na utendaji kwa uongozi wa nchi na taifa kwa ujumla.CHADEMA inapaswa kujua hili,kwamba suala la msingi kwao ni kuwa na nguvu ya kuendesha nchi iwe ndani au nje ya ikulu!mkiwa spidi sana kwenda ikulu bila kusimamia mapinduzi ya kifikra kwa wananchi,hata mkiingia ikulu mtapata shida kutawala na kupambana na CCM iliyo nje ya serikali.Wenye akili tunawashangaa baadhi ya watu wenu walivyo spidi kwenda ikulu!hawa tunawaogopa kama ukoma.Msiwaonee haya.Watimueni.

mapinduzi gani ya kifikra unayoongelea? hii stage ambayo CDM ipo unasema ni mapinduzi? na unashangilia hili bandiko la Lema? mimi nina maoni tofauti, nadhani ni ulimbukeni tu huu. tunahitaji kuona ukomavu wa kisiasa na siyo mbwembwe kama hizi za kuviziana. kwangu naona chadema ya akina Lema hii haina future nzuri na haya anayoyapigania Lema angekuwa mwingine angekuwa tayari ametimuliwa. THINK TWICE tunahitaji siasa safi
 
I am eagerly waiting for the biography ya zitto utakayo ileta kesho, lakini ujue moja lema, dua ya kuku haimpati mwewe.

Zitto is out of your league, and he will be your down fall,mtei, mbowe na slaa wamemshindwa itakuja kuwa kibaraka, unaitumiwa kama bull dog. Jaribu uone cha mtema kuni, kama wana chadema hawakukukaanga na mafuta yako. Very pathetic.

sasa why panic kama zito yuko juu ya Mbowe Dr Slaa na Mtei unajali nini sasa Lema akituletea hizo news hii ni damage control tunataka alete aliyonayo wana JF tupime kama mmzushi Lema tunampiga chini lakini hakuna sababu ya woga na kashfa
 
I am eagerly waiting for the biography ya zitto utakayo ileta kesho, lakini ujue moja lema, dua ya kuku haimpati mwewe.

Zitto is out of your league, and he will be your down fall,mtei, mbowe na slaa wamemshindwa itakuja kuwa kibaraka, unaitumiwa kama bull dog. Jaribu uone cha mtema kuni, kama wana chadema hawakukukaanga na mafuta yako. Very pathetic.

acha kumsifu zito kwa sifa asizokuwa nazo.cdm ni zaidi yake na umaarufu wake ni kwa sababu ya cdm na hata akitoka leo nakuhakishia cdm ipo na itaendelea kuwepo.fanya utafiti huku mikoani na mawilayani,zitto alishajichafua mwenyewe kwa tamaa zake na ujinga wake sasa haaminiki tena anaonekana msaliti.
 
mapinduzi gani ya kifikra unayoongelea? hii stage ambayo CDM ipo unasema ni mapinduzi? na unashangilia hili bandiko la Lema? mimi nina maoni tofauti, nadhani ni ulimbukeni tu huu. tunahitaji kuona ukomavu wa kisiasa na siyo mbwembwe kama hizi za kuviziana. kwangu naona chadema ya akina Lema hii haina future nzuri na haya anayoyapigania Lema angekuwa mwingine angekuwa tayari ametimuliwa. THINK TWICE tunahitaji siasa safi
too judgemental unajaribu kuwater down process Lema ana siku moja tu jamvini na post mbili tunangojea news
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom