Mpanda Merikebu
Senior Member
- Dec 27, 2007
- 170
- 2
Mwafrika wa kike,
Kudos kwa ujasiri na kamwe usitetereshwe na fisadist ambaye ni kibaraka mwenye kujipendekeza huko kwa watawala. Kikubwa ni kuendeleza hii vita dhidi ya ufisadi na TISS ambayo ina makachero wake katika kila kona (I honestly believe they have someone within BoT). Kama wameshindwa kuzuia ufisadi (how can they while some of them are), kusaidia mwanasheria mkuu na polisi kuwashtaki wahusika wote, basi kuna haja gani kuwa nao?
Kulingana na taarifa yako, naona hii nepotism imeshamiri kwenye serikali ya JK pia. Wazo hili linakuja kutokana na ukweli kwamba hiyo Tangold inahusiana na IMMA. Je, aliyekuwa akiiongoza IMMA kwa muda mrefu na ambaye bado ni mshirika mkuu katika mawakili hawa, si ndiye yule aliyeteuliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye nchi inayojulikana kama Umoja wa Kifalme? Huko nako nasikia alimshurutisha fisadi wa kizazi chetu kuwa kiongozi wa watanzania kwa manufaa yake!!!
Yaani huu mtandao wa mafisadi ni mkubwa ajabu na wana nguvu za mali. Nasi basi tuendelee kuungana katika JF na kutumia nguvu zetu za akili, ufahamu na sauti, na hakika tutashinda!
Kudos kwa ujasiri na kamwe usitetereshwe na fisadist ambaye ni kibaraka mwenye kujipendekeza huko kwa watawala. Kikubwa ni kuendeleza hii vita dhidi ya ufisadi na TISS ambayo ina makachero wake katika kila kona (I honestly believe they have someone within BoT). Kama wameshindwa kuzuia ufisadi (how can they while some of them are), kusaidia mwanasheria mkuu na polisi kuwashtaki wahusika wote, basi kuna haja gani kuwa nao?
Kulingana na taarifa yako, naona hii nepotism imeshamiri kwenye serikali ya JK pia. Wazo hili linakuja kutokana na ukweli kwamba hiyo Tangold inahusiana na IMMA. Je, aliyekuwa akiiongoza IMMA kwa muda mrefu na ambaye bado ni mshirika mkuu katika mawakili hawa, si ndiye yule aliyeteuliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye nchi inayojulikana kama Umoja wa Kifalme? Huko nako nasikia alimshurutisha fisadi wa kizazi chetu kuwa kiongozi wa watanzania kwa manufaa yake!!!
Yaani huu mtandao wa mafisadi ni mkubwa ajabu na wana nguvu za mali. Nasi basi tuendelee kuungana katika JF na kutumia nguvu zetu za akili, ufahamu na sauti, na hakika tutashinda!