Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
Sidhani hivyo, lakini kuna mtu ameniambia kuwa ilikuwa chini ya Marmo na sasa hivi iko chini ya Batilda..
Mzee
Marmo alikuwa Waziri wa Utawala bora, mimi sioni uhusiano wake na ujasusi. Batilda ni waziri wa utalii na mazingira, ujasusi hauwezi kuwa hapa.