Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Kazi za kuzuia wapiga picha ni kazi za usalama wa taifa wa kizamani. UT hawapo livu wala hawaja lala wala hizo ulizoainisha si kazi zao kwa sasa.
kazi zao wanazojitungia au walizokabidhiwa kwa mujibu wa sheria? Maana kama zile za kujitungia hizo tunazijua..!