USA vs N.Korea Military Power

USA vs N.Korea Military Power

Kwani hawa watu wanagombania nini cha maana au wamechoka kuishi au wametengeneza madude sasa yanawawasha kuyatumia au wamekua na ela nyingi hadi zinawasha au ni ujinga tu au....maana mimi ata sielewi.
 
Bado unaamini Gaddafi na Saddam = na NK kweli? Mruhusuni USA avurumishe makombora ndio ujue "Style wanayoijua wao" maana yake ni nini. Kumbuka ni nusu karne sasa wanazoza tu.
NK hamna kitu. Mikwara tu.
 
Jeuri ya USA ni angani tu, ardhini hata sisi tunaweza kuwatoa upepo tu!

Well said, na cha muhimu zaidi hakuna Nchi imewahi kushinda vita kwa kutegemea Airforce tu, boots on the ground ina matter sana sana.
 
USA akitaka vita na North Korea atashindwa kwasababu Kombora moja tu la kawaida litakapotua kwenye Ardhi ya North Korea yeye hatarudisha la kawaida bali Nuclear. Na ukumbuke US hawezi kuanza na NUCLEAR kumpiga North Korea. Hapo ndipo mtihani ulipo.
 
Hivi waafrika tunajisahau? Leo hii tunasahau ouvu wote wa marekani kama hatuuoni....Where is Ghadaffi? Amani Syria imeenda wapi? kwanini kuna military bases za U.S.A Africa nzima??? vyote hivi ni vitendo vya USA...!!!

Haya N.Korea ameshawahi kukufanyia baya lipi??? Juhudi zake za yeye kujiendeleza katika swala la kujilinda ndiyo umchukie??


Tunaamini habari chafu zinazosambazwa mitandaoni kuhusu N.Korea mitandao ambayo mmiliki wa hiyo mitandao ni U.S.A

Sadam Husein kwanini aliuawa? wewe unayejiita supporter wa USA unaweza kunijibu hili kwa usahihi?
 
Bora tumsapoti mnyonge mwenzetu kuliko huyo maana tunakoelekea na madini tuliyonayo na mafuta anaweza kuja kutufanyia kama alichofanya kwa Gaddafi thumbafu sana
 
Truth be told, you can't sugarcoat black and say it's pink, it's senseless. NK wangetumia busara za kidiplomasia waombe 'poo' ninachokiona hapa si kuishabikia NK bali kuionea huruma. Kim siku zote anaombwa wayamalize kiutu uzima, yeye anataka tu vita.

Sasa ngoja atiwe adabu iwe fundisho kwa viongozi wanaojifanya wababe.
 
Truth be told, you can't sugarcoat black and say it's pink, it's senseless. NK wangetumia busara za kidiplomasia waombe 'poo' ninachokiona hapa si kuishabikia NK bali kuionea huruma. Kim siku zote anaombwa wayamalize kiutu uzima, yeye anataka tu vita.

Sasa ngoja atiwe adabu iwe fundisho kwa viongozi wanaojifanya wababe.
Katika hili Marekani wachokozi
 
Wamarekani wachokozi..dhidi ya NK..wamewapambanisha waarabu ...kwenye nchi zao wanauana wenyewe kwa wenyewe....angalia Sirya Libya Iraq ...wanafinance vikundi vya kigaidi kupigana na serekali halali .....haya majamaa ni mashenzi....Asia wangeweza kuungana kukabiliana na uonevu wa haya majamaa lakini ndio vile tena kale ka principle ka devide and rule kana apply ...Mchina hawezi kuwa adui wa North Korea hata siku moja ila wamepewa shinikizo na hii minjemba....
 
Vita ni hela
Vita ni gharama
Vita ni technics
Vita ni silaha
Kwa muktadha huu bila shaka ni aibu kwa US kupigana na N.K maana anaizidi kila kitu.

Vita ikianza itapiganwa katika ardhi ya N.K ,kwa hiyo shughuli zote za uzalishaji,viwanda na huduma za kijamii zitasimama na hii inamaanisha N.K hawataweza kupigana vita hii kwa muda mrefu bila kuanza kulia lia upungufu wa silaha,chakula,maradhi na madawa.

Kwa upande wa US yeye vita haitafika kwake kwa hiyo shughuli zote za kiuchumi zitaendelea kama kawaida na atapata faida kwa kuwauzia washirika wake silaha (Nato,S.K na Japan) bila kusahau kutest silaha zake mpya.

Mwisho wa siku Kim ataishiwa kunyongwa kama tulivyoona kwa Saddam na Gaddaf (R.i.p)
87d96464c95006898c912b854ba0bae8.jpg
Rais wa korea alisema hivi marekan atakapo anzisha basi jamaa atadeal naye kisawasawa
Hato piga kombara mahali walipo us army bali ataitafta ardhi ya usa ilipo ndo alipue sehwm muhimu kama bank
Hospital
Na Maofis ya kiselikali

Hicho ndicho kimefanya us arud nyuma kutafakar upya je atamweza kim?
 
USA hawana jeuri ya kuipiga NK....wataishia kubweka tu mwishowe wataenda zao. Kama wana jeuri watupe hata granade moja tu waone cha mtema kuni.
 
Back
Top Bottom