USA vs N.Korea Military Power

USA vs N.Korea Military Power

North Korea ni kweli ni taifa lenye zana nyingi za kijeshi,na hivi karibuni ame advance sana kutoka uwezo mkubwa wa mizinga hadi sasa kwenye makombora,huyu Bwana anajitapa kuwa na uwezo mkubwa wa jeshi,hilo ni kweli,makombora yake ya Taepodong ambayo ni version mpya ya scud missile anayategemea sana.But all in all hayo makombora yake yoote hayaweZi fua dafu kwa marekani na washirika wake,nakuhakikishia hakuna kombora litafika USA,

Why?.
1.MArekani ameweka mifumo bora zaidi ya ulinzi wa makombora yani Anti ballistic missiles za aina tofauti tofauti maeneo mbali mbali kuizunguka marekani,kuanzia tuu south korea pale marekani kashafunga Terminal High Altitude Area Defense,ambazo zitatungua makombora ya North Korea,achana na patriots,na arow system alizounda kwa ushirikiano na Israel,
Je North Korea atatumia nini?

Jibu ni EMP weapon.
Yani Electromagnetic pulse weapon,
Hili ni bomu la nyuklia ambalo likiwa detonated/lipuliwa nje ya orbit au kwenye orbit ya dunia basi huyuma miale flani ambayo itaharibu vifaa vyote vya electronic plus kuzima na kuharibu mitambo yote ya umeme,wachambuzi wa mambo tunajua hili bomu likipigwa basi tutatudi zama za mawe.

Hili bomu halina madhara kwa binadamu yani maana ya kuwalipua na kutoa moto yani kama ivyo,yani mnashangaa gafla tuu umeme na simu hazifanyi kazi.hata gari haiwaki tena.

North korea ana satellite zake kwenye lower earth orbit south trajectory amabapo ni karibu na USA,mk 3 na MK 4, hofu ni kuwa je huyu kim jong un aja attach Nuclear bombs huko?
 
Jidanganye hvyo hvyo na ujinga wako,hakuna silaha ambayo Nk anamzidi mua America kwa taarifa yako
 
a8ef5c332265611ac792a23e2b2f7e67.jpg


north Korea is the leading nation in Naval strength, wana nguvu kubwa kwenye navy, sio kainchi ka kubeza
 
Pia wanaodhani China ataisapoti china wamefeli,sio kweli.mchina hayupo na North Korea kitambo sana.
 
Kwa hyo washirika wa KOREA KASKAZINI ni wapi?
 
NK, lazima tuue mtu mwaka huu.
Kim Un, ameisha sema, USA akifyatua risasi hata moja tu kwenye ardhi ya NK, iwe ni kutoka agani, au baharini, Yeye Kim Un (NK) , ataimaliza USA yote na mahala pote USA anapopaamini kuwa ndiyo ngome zake.

Kim Un na serikali yake ya NK wameongeza kusema kuwa, "NK Watajibu mlio wa risasi moja tu kwa kupigana vita kamili na siyo vinginevyo.

Trump, lazima aombe pooooo mwaka huu,.

Chezea, kiduku Weweee!
 
Mimi nahisi huenda mrusi ana base ya kijeshi huko N korea kisiri siri kikinuka tu unashangaa SATAN AU TSAR AU BULAVA linafyatuliwa kutokea N korea kuelekea WASHINGTON hapo panakuwa patamu
 
Nk hachomoki kwa USA Hata siku Moja zile patriots zina uwezo noma sanaa.
 
Back
Top Bottom