i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 296
Una uhakika na unayonena....
100% but I stand to be corrected I'm just ameture scientist
Una uhakika na unayonena....
Nieleweshe vitaHaujaelewa vita we...... Hao n. K ndo hawana izo technics .na kwann unasema vita haitofika marekani?
Tatizo utafikaje hapo uweze kudondosha bom. Kwanza kwa upande wa Submarine N. Korea wapo njema. Wapo na Submarine Rocket Launcher
Ndio nawashangaa hawa wasomi wa hapaHivi kweli kabisa nyie nyumbu mnadhani hao NK wana ubavu wa kupigana na USA?
Mnacheza nyie....
Umendika huku umefumba machoPia wanaodhani China ataisapoti china wamefeli,sio kweli.mchina hayupo na North Korea kitambo sana.
umechangia nini sasa? inaonekana ulikuwa unasubiri kwa hamu kweliduh leo nimekuwa wa kwanza kuchangia