USA vs N.Korea Military Power

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,834
Nimecheck video hapa chini. Nimegundua USA anambwembwe nyingi sana. Kwa upande wa majini N. Korea iko njema sana. Vile vile kwa upande wa nchi kavu N. Korea wapo vizuri kinoma. Nina shawishika kusema kwamba N. Korea ni tishio kubwa sana kwa USA.

Ninathubutu kusema kwamba Trump anapiga mikwara tu. Na isitoshe kuna vifaavingine vingi vya N. Korea hawavijui. Kwa upande wa anga USA wapo vizuri sana lakini wanaweza kuingia N. Korea yenye uwezo mkubwa majini na nchi kavu?
Torpedo Boats and Missile Craft N. Korea zipo 250 wakati USA 0.
Attack Submarine N. Korea 70 wakati USA 55


 
uko sahihi mkuu, yaani mi nawaza vita ingekuwa inapiganwa kwa ngumi hakika north Korea wange win asubuhi sana maana wako njema kwenye mkono
Siyo mkono bro. Kwa upande wa majini N. Korea wapo njiema sana. Na upande wa ground wapo na multiple rocket launcher 2400 wakati USA wapo na 1200.
 
N. Korea kupigana ardhi wako vizuri tupe record yeyote Ile waliyoifanya kupigana Ardhin. Mi nadhani mwenye kujitapa ni N. Korea watapigana mpaka kutumia silah ya mwisho maana yake unajuwa?. Ukipigwa na mwezako kama kuna silah karibu unachukua kutuliza kichapo na kasi ya mpinzan wako
 
Tatzo la mmarekani hapigani vita mwenyewe, hapo yupo mjapani, muisraeli na korea kusini; pia mmarekani hapigani kwenye ardhi yake.
 
N. Korea kupigana ardhi wako vizuri tupe record yeyote Ile waliyoifanya kupigana Ardhin. Mi nadhani mwenye kujitapa ni N. Korea watapigana mpaka kutumia silah ya mwisho maana yake unajuwa?. Ukipigwa na mwezako kama kuna silah karibu unachukua kutuliza kichapo na kasi ya mpinzan wako
Soma historia ya korea.
 
Nimecheck video hapa chini. Nimegundua USA anambwembwe nyingi sana. Kwa upande wa majini N. Korea iko njema sana. Vile vile kwa upande wa nchi kavu N. Korea wapo vizuri kinoma. Nina shawishika kusema kwamba N. Korea ni tishio kubwa sana kwa USA.

Ninathubutu kusema kwamba Trump anapiga mikwara tu. Na isitoshe kuna vifaavingine vingi vya N. Korea hawavijui. Kwa upande wa anga USA wapo vizuri sana lakini wanaweza kuingia N. Korea yenye uwezo mkubwa majini na nchi kavu?
Torpedo Boats and Missile Craft N. Korea zipo 250 wakati USA 0.
Attack Submarine N. Korea 70 wakati USA 55




Yani kwaakili yako yote huo ndo utafiti unaoona unamuwezesha N Korea kumpiga Marekani. Wewe utakuwa sijui umetoka pangoni Leo. Ulishaona watu wanakimbilia kwenda N Korea? Simply hawa N korea wanachezea kiberiti ndo maana Dunia inawaonya 'USA' akiwa kiongozi. Kwasababu wakiamua tuu wanadetonate hydrogen bomb hapo juu ya anga la N Korea na wanarudi back mwaka 1880. Hakuta kuwa na kitu cha umeme kitakachofanya kazi. Just imagine magari hayawaki wala kifaa chochote chenye Nyaya za umeme kitakuwa kimeunguzwa na EMP attack. Welcome to Star Wars 101.
 
Yani kwaakili yako yote huo ndo utafiti unaoona unamuwezesha N Korea kumpiga Marekani. Wewe utakuwa sijui umetoka pangoni Leo. Ulishaona watu wanakimbilia kwenda N Korea? Simply hawa N korea wanachezea kiberiti ndo maana Dunia inawaonya 'USA' akiwa kiongozi. Kwasababu wakiamua tuu wanadetonate hydrogen bomb hapo juu ya anga la N Korea na wanarudi back mwaka 1880. Hakuta kuwa na kitu cha umeme kitakachofanya kazi. Just imagine magari hayawaki wala kifaa chochote chenye Nyaya za umeme kitakuwa kimeunguzwa na EMP attack. Welcome to Star Wars 101.
Hahahaha. Kwani wao hawana hayo mabom!!? N. Korea yupo njema. USA aendelee na issue zake aache kuingilia issue za wengine. Kama anakataza nuclear weapons aache na yeye kutengeneza. Very simple.
 
Back
Top Bottom