USA vs N.Korea Military Power

USA vs N.Korea Military Power

Najiuliza kwanini USA
Huomba Washiriki kwenye vita yake
kwanini haendi yeye kama yeye pekee

Ulishaiona size ya N Korea alafu ulinganishe na USA.... ndo utajua kwanini haitaji msaada wowote kuingia na kumtandika. Tatizo tuu ni wananchi wakawaida ndo watakao taabika ndo maana busara inatakiwa itumike sana. Manake akimtandika itabidi awape msaada maradufu tena watu wa N Korea baada ya kichapo kwa dogo.
 
Ulishaiona size ya N Korea alafu ulinganishe na USA.... ndo utajua kwanini haitaji msaada wowote kuingia na kumtandika. Tatizo tuu ni wananchi wakawaida ndo watakao taabika ndo maana busara inatakiwa itumike sana. Manake akimtandika itabidi awape msaada maradufu tena watu wa N Korea baada ya kichapo kwa dogo.
Siyo kweli
 
Jeshi la anga haliteki nchi utapiga mabomu weeee ila mwisho wa siku lazima ushukeardhini na hpo ndiyo inakuwa kama kule Afghanistan walivyomtoa nishai Usa vita ya ardhini mwepesi sana
 
Vita ni hela
Vita ni gharama
Vita ni technics
Vita ni silaha
Kwa muktadha huu bila shaka ni aibu kwa US kupigana na N.K maana anaizidi kila kitu.

Vita ikianza itapiganwa katika ardhi ya N.K ,kwa hiyo shughuli zote za uzalishaji,viwanda na huduma za kijamii zitasimama na hii inamaanisha N.K hawataweza kupigana vita hii kwa muda mrefu bila kuanza kulia lia upungufu wa silaha,chakula,maradhi na madawa.

Kwa upande wa US yeye vita haitafika kwake kwa hiyo shughuli zote za kiuchumi zitaendelea kama kawaida na atapata faida kwa kuwauzia washirika wake silaha (Nato,S.K na Japan) bila kusahau kutest silaha zake mpya.

Mwisho wa siku Kim ataishiwa kunyongwa kama tulivyoona kwa Saddam na Gaddaf (R.i.p)
87d96464c95006898c912b854ba0bae8.jpg
 
Mie nawaonea huruma South Korea maana damage watakayopata ni kubwa sana.....Us hana cha kupoteza sana.....hiyo Seoul....itapigwa makombora mpaka bac...
 
Tatizo utafikaje hapo uweze kudondosha bom. Kwanza kwa upande wa Submarine N. Korea wapo njema. Wapo na Submarine Rocket Launcher


Sasa kama NK yupo fiti kama unavyotuaminisha, ebu tueleze imekuwa vipi US kuzipenyeza meli zake za kivita mpaka kuingia kwenye Ras ya NK?
 
US baby, msikilize NK mwenyewe anasema yupo tayari kujilinda, kutetea kwa kujibu mashambulizi yeyote yatakayofanywa na adui yake tena kwa "style wanayoijua wao" ikiwa ni pamoja na kutumia silaha za maangamizi katika hatua za mwanzo kabisa.
Mkazo uweke hapo "Style wanayoijua wao". Achana na story za kupigana.
Si anasema tu!

Au wewe hujui kusema na kutenda ni vitu tofauti?

Hata Saddam na Ghadaffi walisema sana tu....
 
Tatzo la mmarekani hapigani vita mwenyewe, hapo yupo mjapani, muisraeli na korea kusini; pia mmarekani hapigani kwenye ardhi yake.
Sasa wewe jamaa.... Mbabe ni nani anaekufuata nyumbani kwako aje akuchape mbele mke na watoto wako au anaekusubiri umfate wewe kwake? Marekani kutokupigania kwake maana yake hakuna mwenye uwezo wa kwenda kuanzishia vita US, yeye ndio anakufuata aje akupe show mbele ya wakwe
 
Halafu humu kuna watu wanajidanganya eti watakao athilika na hii vita ni Japan na Seoul......
Kweli Pyongyang inaweza kukabiliana na Japan kivita? No way....Kweli Pyongyang inaweza kukabiliana na Seoul kivita? No way....
Hao wajapan na SK hawataki tu show off na wanatoka USA ndo ionekane mwanzilishi wa hii vita but in reality NK watatafuta sn pakujificha
 
Sasa wewe jamaa.... Mbabe ni nani anaekufuata nyumbani kwako aje akuchape mbele mke na watoto wako au anaekusubiri umfate wewe kwake? Marekani kutokupigania kwake maana yake hakuna mwenye uwezo wa kwenda kuanzishia vita US, yeye ndio anakufuata aje akupe show mbele ya wakwe
daaaaaa.....hii SINDANO imeingia vzr kabisa labda mhusika awe nunda
 
Advantage aliyonayo USA(kama vita otapiganwa) ni kwamba vita itapiganwa Korea na sio america so either way Korea watapata hasara sana
Acha masikhara jamaa wana Bomu la kuangamiza dunia nzima sio marekani tu.trump kasoma alama za nyakati
 
Back
Top Bottom