KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,820
Ivi unadhan nani alianza kuwa na nuclearAcha masikhara jamaa wana Bomu la kuangamiza dunia nzima sio marekani tu.trump kasoma alama za nyakati
Na adi leo wametengeneza lipi kali
Ivi unadhan nani alianza kuwa na nuclearAcha masikhara jamaa wana Bomu la kuangamiza dunia nzima sio marekani tu.trump kasoma alama za nyakati
Source itakuwa mkura tvWamesema wakati wa kuivumilia n.korea umekeisha huku North Korea wanasema watatest madude yao kila wiki,mwez na Mwaka, Urusi wao wameonya vikali kuwa tukio lililotokea na kushuhudiwa SYRIA kamwe halitavumilika endapo litatokea KOREA KASKAZINI
SASA USA WANASUBIRI NINI KAMA SIO UOGA WA KUWAOGOPA URUSI
Nimecheck video hapa chini. Nimegundua USA anambwembwe nyingi sana. Kwa upande wa majini N. Korea iko njema sana. Vile vile kwa upande wa nchi kavu N. Korea wapo vizuri kinoma. Nina shawishika kusema kwamba N. Korea ni tishio kubwa sana kwa USA.
Ninathubutu kusema kwamba Trump anapiga mikwara tu. Na isitoshe kuna vifaavingine vingi vya N. Korea hawavijui. Kwa upande wa anga USA wapo vizuri sana lakini wanaweza kuingia N. Korea yenye uwezo mkubwa majini na nchi kavu?
Torpedo Boats and Missile Craft N. Korea zipo 250 wakati USA 0.
Attack Submarine N. Korea 70 wakati USA 55
Nimecheck video hapa chini. Nimegundua USA anambwembwe nyingi sana. Kwa upande wa majini N. Korea iko njema sana. Vile vile kwa upande wa nchi kavu N. Korea wapo vizuri kinoma. Nina shawishika kusema kwamba N. Korea ni tishio kubwa sana kwa USA.
Ninathubutu kusema kwamba Trump anapiga mikwara tu. Na isitoshe kuna vifaavingine vingi vya N. Korea hawavijui. Kwa upande wa anga USA wapo vizuri sana lakini wanaweza kuingia N. Korea yenye uwezo mkubwa majini na nchi kavu?
Torpedo Boats and Missile Craft N. Korea zipo 250 wakati USA 0.
Attack Submarine N. Korea 70 wakati USA 55
Linaweza kufika lkn litakuwa intercepted....kinachowaweka kwenye usawa ni nuklia tu, uchumi hauna nafasi, hoja za kujadili ni je north korea anaweza kurusha nuklia ndani ya u.s.a..?
Inawezekana kabisa watz ni CIA.
Siraha za north korea ambazo marekani hazifamu wewe umezijuaje??






Weee acha masyala mkuuJeuri ya USA ni angani tu, ardhini hata sisi tunaweza kuwatoa upepo tu!
Tatizo utafikaje hapo uweze kudondosha bom. Kwanza kwa upande wa Submarine N. Korea wapo njema. Wapo na Submarine Rocket Launcher
iyo hoja ya kwamba mtu anadefend as if alikuwepo, ni kweli upo sawa, ila ni hoja ya wajinga. aliyekuambia kuwa newton aligundua formular fulani ya kisayansi ukaamini, ndio aliyekueleza yaliyotokea nyuma na leo unaona ushahidi wake. hivi nadefend urusi au naeleza uhalisia, swala la edward synowden unalichukulia easy kwa sababu hujui historia na hata siasa ya dunia hii. lile urusi ingekuwa nchi lelemama, linaanzisha vita kubwa, na hivyo hivyo korea kujitamba mbele ya mkubwa ni kiburi alichokipata kwa mrusi miaka hiyo.Bila shaka na Wewe umemezwa na ngonjera za Mrus na NK unadefend kwA nguvu zote as if ulikuwepo mradi hoja yako ipate mashiko...