josephat nterulla
Member
- Feb 18, 2017
- 17
- 4
hii kichwa ngumu
Wakati wa vita ya Iraq watu waliionea huruma Kuwait kwamba itapigwa na makombora ya Scud. Lakini makombora yote yalibomolewa kabla hata hayajakaribia mpakani.... Base za US ziko South K na Japan. Nakuhakikishia hakuna kitakachovuka mpaka kutoka NK kwenda kwrnye hizo nchi mbili.Mie nawaonea huruma South Korea maana damage watakayopata ni kubwa sana.....Us hana cha kupoteza sana.....hiyo Seoul....itapigwa makombora mpaka bac...
Tatizo utafikaje hapo uweze kudondosha bom. Kwanza kwa upande wa Submarine N. Korea wapo njema. Wapo na Submarine Rocket Launcher
Maneno yasikuchanganye... Hata wewe mtu akija kukutishia nyumbani kwako na wewe utatoa povu tu... Sadamu Hussen aliongea hata Gadaffi aliongea.US baby, msikilize NK mwenyewe anasema yupo tayari kujilinda, kutetea kwa kujibu mashambulizi yeyote yatakayofanywa na adui yake tena kwa "style wanayoijua wao" ikiwa ni pamoja na kutumia silaha za maangamizi katika hatua za mwanzo kabisa.
Mkazo uweke hapo "Style wanayoijua wao". Achana na story za kupigana.
Bado unaamini Gaddafi na Saddam = na NK kweli? Mruhusuni USA avurumishe makombora ndio ujue "Style wanayoijua wao" maana yake ni nini. Kumbuka ni nusu karne sasa wanazoza tu.Si anasema tu!
Au wewe hujui kusema na kutenda ni vitu tofauti?
Hata Saddam na Ghadaffi walisema sana tu....
Vita ni pesa kiuchumi tu Japan na South K wako juu sana kiuchumi. Kama wangesema upande m1 utabomolewa kabisa chagua upande wa wewe kuwa, usichague kuwa upande wa NK. Vita ya pili ya dunia 1943 mpaka 45 Marekani ndio aliisambaratisha Japani kwa Nuke, wakati NK sasa hv ndio anajaribu kutengeneza kitu ambacho wenzie walitumia miaka 60 iliyopita halafu kuna watu wanakomaa eti North Korea ni zaidi... Kuweni makini maneno na vituko vya kurusha makombora yasiwapagawishe.Halafu humu kuna watu wanajidanganya eti watakao athilika na hii vita ni Japan na Seoul......
Kweli Pyongyang inaweza kukabiliana na Japan kivita? No way....Kweli Pyongyang inaweza kukabiliana na Seoul kivita? No way....
Hao wajapan na SK hawataki tu show off na wanatoka USA ndo ionekane mwanzilishi wa hii vita but in reality NK watatafuta sn pakujificha
Kwa Mkono wapo vizur kwenye movie tuAdvantage aliyonayo USA(kama vita otapiganwa) ni kwamba vita itapiganwa Korea na sio america so either way Korea watapata hasara sana
Wana MISSILE inayoweza kufika USA,hivi unafikiri N.KOREA pamoja na udogo wa nchi yao wanajiamini nini kuwapiga mikwara ya nguvu USA?Advantage aliyonayo USA(kama vita otapiganwa) ni kwamba vita itapiganwa Korea na sio america so either way Korea watapata hasara sana
URUSI wamesogeza vifaa vya kutungulia ndege karibu na mpakani na N.KOREASasa ardhin kufanya nn? We shusha makombora usepe zako
Usisahau kuwa URUSI haiko tayari kuivumilia vitendo kama vilivyotokea SYRIAN. Korea kupigana ardhi wako vizuri tupe record yeyote Ile waliyoifanya kupigana Ardhin. Mi nadhani mwenye kujitapa ni N. Korea watapigana mpaka kutumia silah ya mwisho maana yake unajuwa?. Ukipigwa na mwezako kama kuna silah karibu unachukua kutuliza kichapo na kasi ya mpinzan wako
Wanaita INTERCONTINENTAL BALLISTIC MISSILEWana MISSILE inayoweza kufika USA,hivi unafikiri N.KOREA pamoja na udogo wa nchi yao wanajiamini nini kuwapiga mikwara ya nguvu USA?
HAWA JAMAA WAONEE KWA MBALI TU.

Kaweza KUPITIA washirika wake waliopo hapo rasi Rasi Korea ikiwa Korea kusini na Japan(kma sijakosea), point inayosubiriwa ni kuwa USA ajaribu kupiga hata risasi yenye madhara kwa N.KOREA hapo ndo utajua faida na uchungu wa HUSTLE za kuhangaika na tafiti za nyuklia Toka Mwaka 1962/63USA ahamie hata NK, tahadhari ni kwamba asianzishe vita tu. Hivi ni wapi NK hajaeleweka?
Ha ha ha! Bro you've made my day. Tena itakuwa show kweli. Ukisikia mwanaume anafanyiwa kitu cha aibu mbele ya famili ndio kama hivyo. To hell Kim.Sasa wewe jamaa.... Mbabe ni nani anaekufuata nyumbani kwako aje akuchape mbele mke na watoto wako au anaekusubiri umfate wewe kwake? Marekani kutokupigania kwake maana yake hakuna mwenye uwezo wa kwenda kuanzishia vita US, yeye ndio anakufuata aje akupe show mbele ya wakwe
Huwezi kupata taarifa za siri za jeshi tusidanganyane mkuu, ukipata ni zile wanazojua hazina impact hata ukizijuaSurf web, utapata dondoo