US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Ushindi wa Mama kule Ohio na Rhode Island ulitegemewa tena kwa large margin. Kwa hiyo hii wala sio kitu cha ajabu. Unajua hata TX walipredict atashinda mama lakini inaonekana ku-loose.

Nyani na wenzako hongera naona mmepata cha kushangilia baada ya majonzi ya muda mrefu hahahahaha.

We fight for the better...and trying to free people from mental slavery.
 
sasa na kujua kwako politics za hapa unafikiri babu anaweza kushinda New York or california,any nominee from dem lazima ashinde hizo states...kwa hiyo acha kutafuta umaarufu wa states ambazo hata Kucinich angeshinda kama ni Dem nominee!
 
sasa na kujua kwako politics za hapa unafikiri babu anaweza kushinda New York or california,any nominee from dem lazima ashinde hizo states...kwa hiyo acha kutafuta umaarufu wa states ambazo hata Kucinich angeshinda kama ni Dem nominee!

Sasa kwa nini mlichekelea ushindi wa Idaho na Nebraska....ni lini hayo majimbo yalienda Democratic?
 
Aliyemuongezea Obama walinzi anajua nini alikuwa anafanya lol...kumbuka hii ni thread ya Obama anything about him kinakuja hapa..

Anyways, looks like Hilly atachukua TX as well, so far idadi ya delegates ni,
Obama 1,419
Clinton 1,333

Ila tuwe wa kweli na nafsi zetu mwaka mmoja uliopita hakuna aliyekuwa anajua kuwa Obama atakuwa front runner, achilia mbali kushinda primaries na caucuses zote baada ya super tuesday mpaka leo, asiyekubali kushindwa si mshindani

You couldn't put it better. Maanake hapa ni kwamba whether Obama anashinda hii kitu au anashindwa, bado anabaki kuwa mshindi. It is the guy who, whether you like him or not, you can't do really politics in Democrats without him. He is such a huge inspiration to young people and unknowns trying to change the world through politics across the globe. He has managed to defy the wisdom convention in politics. Pamoja na ushabiki wangu to the other side of the game, nakubali kuwa this guy is so much and unexceptionally talented.
 
tuonane morning hapa then tuonyeshane how many delegate gained from today election,ingawaje naona mmeshinda na TX,lakini was expected!
 
Naona CNN wanatangaza, primary ya Texas imeshaenda kwa Hillary by 52% to 48% ya Obama. Lakini wanasema Caucus bado!
 
You couldn't put it better. Maanake hapa ni kwamba whether Obama anashinda hii kitu au anashindwa, bado anabaki kuwa mshindi. It is the guy who, whether you like him or not, you can't do really politics in Democrats without him. He is such a huge inspiration to young people and unknowns trying to change the world through politics across the globe. He has managed to defy the wisdom convention in politics. Pamoja na ushabiki wangu to the other side of the game, nakubali kuwa this guy is so much and unexceptionally talented.

Kaka Texas now is a wrap!! Naenda kulala nikiwa mwenye furaha isiyo na kifani. Kama ulivyosema hapa tunadili na mambo halisi na uhalisia tu.
 
Kaka Texas now is a wrap!! Naenda kulala nikiwa mwenye furaha isiyo na kifani. Kama ulivyosema hapa tunadili na mambo halisi na uhalisia tu.

Hata mimi ngoja nimalizie usingizi wangu hapa, maana leo naona hawa jamaa wa Texas na Ohio wamefanya mambo makubwa; they added life to life!
 
Well, Clinton kachukua TX, loooh...Anyway, pamoja na yote, come Fall, watu hawatapiga kura hawa...
 
I decide to stop in here and see what is cooking in the kitchen.
Mama Clinton strategy "The kitchen sink strategy" works. I salute Sen. Obama for strong campaign. However on my previous posts i declared that it is almost imposible to kill Clinton machine by cut their tail, you have to cut their head.

I can be the first one to tell you this: Clinton will be the nominee for Democratic. Najua watu kibao mtasema that can never happened sababu Obama ana more than 60 delegets ahead of Sen. Clinton. Watu wanasahau kwamba mama will always bring arguments concern she is winning democratic base, and Obama is winning tea party area. Texas will never turn blue, last time ilikuwa wakati wa Jimmy Carter ndio Texas ili vote democratic. Ohio and Florida for the past century zimekuwa decider of general election and Sen. Clinton carried those two key states.

Viongozi wa Democratic Kina Dr. Dean, Nancy Pelosi and Harry Reid will stop this unending war between Obama vs Clinton. Reason itakuwa kuwin Nov 2008 they have to end this nightmare by April 2008. I believe Obama Vs McCain will give Republican easy ticket to keep white house. However, Clinton vs Mccain will be a good battle to watch, however republican will joined togather to fight hard against the Clinton.

At this moment kama Democratic wanataka kuweka strong base then Hillary/Obama is the only way kuavoid kusplit democratic into two peaces. Sen.Obama is still winning about dirty politics played by the Clinton in Texas and Ohio, however he forgot The Clinton are like kifaruande, they never died.

I think it's over for Sen.Obama, the kitchen sink strategy works for sen. Clinton, and you're going to see more money into her fund rises and she will focus more on McCain.

I know majority of us (black skin) are very disappointed about the results. Remember it is POLITICS. We always have winners and Lossers.
 
Friends:

Siasa kitu ingine. Unaweza pata ugonjwa wa moyo bure!

True to my heart, nilijua BO ana wrap up hii kitu leo!

What a turn! Well these people all fought hard and whoever ends up as a nominee, kweli atakuwa ana deserve.

But you guys tell me...iweje kijana ameshinda 11 straight states..na bado haja pata nomination?

Eeehhh kweli siasa waachie wenyewe! I have proved today.

Unajua when Bill Clinton said if his wife wins TX and OH she will be the dem nominee, I thought the man was just joking! Fogetting kwamba politics is his trademark!

Salute Obama! I hope watever happens...you will be on the ticket!
 
mama kweli amejiharibia sana na siasa zake chafu,kitu ambacho wenzake hawatamsamehe ni juzi aliposema..i have experience na Mccain has experience but Obama has a 2002 war speech,watu wakasema what? ina maana kwake mccain ni bora kuliko Dem mwenzako,ni ndoto kwake kushinda come november kama akiwa nominee lakini tunajua she doesnt care,ila sasa i can see 4 more yrs of Bush,kweli Dems wanajua kujiharibia!
 
mama kweli amejiharibia sana na siasa zake chafu,kitu ambacho wenzake hawatamsamehe ni juzi aliposema..i have experience na Mccain has experience but Obama has a 2002 war speech,watu wakasema what? ina maana kwake mccain ni bora kuliko Dem mwenzako,ni ndoto kwake kushinda come november kama akiwa nominee lakini tunajua she doesnt care,ila sasa i can see 4 more yrs of Bush,kweli Dems wanajua kujiharibia!

Koba You might think so but not in politics. Siasa mchezo mchafu. Whether its BO or HRC all these are sleaky politicians. They will do what it takes to win!

Subiri hawa jamaa utawaona kesho wanashake hands kama hakuna kilichotokea. and for US the so called "cradle of democracy" its easier and simple! Hakuna kitakachoharibika! (dont go far uliona juzi picha za Kibaki na Odinga? after thousands plus walivyopoteza maisha..na millions ni homeless?) hawa jamaa walikuwa sworn enemies! (by the way Iam not camparing but to show you how politicians are.. But in politics anything is very very possible! Na usishangae BO anamchukua mama kama running mate or v/v.

Unavyojisikia kuhusu BO ndivyo Nyani et al anavyojisikia kuhusu mama..so you have to learn to let it go and move forward..leo mama akipata mkakosa WH mtamlaumu sana, the same BO akipata nomination akaikosa WH...guys will be on his neck..Its like that.

Politics is the art of compromise. Reality and rhetorics have a very very wide margin between them!

Na wanaojua siasa ndo maana walikwambieni siku zote dont count this woman out until and unless she is out! The jury is still out!
 
Wakati DNC wanaendelea na vuta nikuvute yao kati ya BO na HC, GOP wao aah wana-enjoy movie(washakaa na popcorn tayari) huku wakijipanga namna ya kuingia whitehouse kwa miaka mingine nane...
 
Friends:

Siasa kitu ingine. Unaweza pata ugonjwa wa moyo bure!

True to my heart, nilijua BO ana wrap up hii kitu leo!

What a turn! Well these people all fought hard and whoever ends up as a nominee, kweli atakuwa ana deserve.

But you guys tell me...iweje kijana ameshinda 11 straight states..na bado haja pata nomination?

Eeehhh kweli siasa waachie wenyewe! I have proved today.

Unajua when Bill Clinton said if his wife wins TX and OH she will be the dem nominee, I thought the man was just joking! Fogetting kwamba politics is his trademark!

Salute Obama! I hope watever happens...you will be on the ticket!

Masanja, Obama ameshinda small states, ambazo nyingine always goes Red (Republican) hiyo ndio argument ya Mama Clinton. Obama is a strong candidate, sema mama amepush hard kuhusu scandal ya Obama's adviser kuongea na Canada government concern NAFTA, vile vile mama alipotoa ile Ad ya 3:00am ambayo imetumika 1960's and sometime 1970's, hii ni special kuonyesha kwamba McCain will always run kuhusu national security.

Kwa swala la National Security, Sen Obama hana strong argument, sababu speech is different na kuvote kama mama alivyokuwa akidai. Politics ni dirty game, na Clinton machine ni balaa, kingine ni STUPIDY ECONOMY, Sen.Obama hana experience ya kurun anything, hawa The Clinton wanakuja na idea ya buy one get one free kwenye swala la economy and national security.

Guys, leo ni bad night kwa sen.Obama, The Clinton wata rise more money, watakuja na strong power. I don't know what strategy Sen.Obama will come with kushinda Penny state.
 
Masanja, Obama ameshinda small states, ambazo nyingine always goes Red (Republican) hiyo ndio argument ya Mama Clinton. Obama is a strong candidate, sema mama amepush hard kuhusu scandal ya Obama's adviser kuongea na Canada government concern NAFTA, vile vile mama alipotoa ile Ad ya 3:00am ambayo imetumika 1960's and sometime 1970's, hii ni special kuonyesha kwamba McCain will always run kuhusu national security.

Kwa swala la National Security, Sen Obama hana strong argument, sababu speech is different na kuvote kama mama alivyokuwa akidai. Politics ni dirty game, na Clinton machine ni balaa, kingine ni STUPIDY ECONOMY, Sen.Obama hana experience ya kurun anything, hawa The Clinton wanakuja na idea ya buy one get one free kwenye swala la economy and national security.

Guys, leo ni bad night kwa sen.Obama, The Clinton wata rise more money, watakuja na strong power. I don't know what strategy Sen.Obama will come with kushinda Penny state.

I feel you mkuu! Ama kweli. YAANI MI Nilikua najua kwa saa zetu za kibongo hapa..nikiamka kijana atakuwa anajianda kuappear kwenye stage na mama Clinton kupewa endorsement!

hawa The Clinton wanakuja na idea ya buy one get one free kwenye swala la economy and national security. Mkuu hii ni kali!!!

Sasa hiyo issue ya superdelegates inafanya kazi vipi? kuna uwezekano Jaluo akaponea hapo? au?

Inabidi ashake up nini team yake kama mama alivyofanya?
 
Back
Top Bottom