US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Nyani,
Mashabiki wa Obama tupo. Tumekaa kimya kwa sababu unachekelea sana!
BTW hata JFK hakuwa na major accomplishment in the senate wakati alipogombea urais mwaka 1960. Na Hillary asitumie mgongo wa mume wake kudai kuwa ana experience.

Hillary anaweza kutumia chochote...waamuzi ni wapiga kura
 
...aiseeh theres serious hate and bitterness btn these 2 camps,sasa come Nov. nafikiri Dems watakuwa wamemalizana wenyewe kwa wenyewe,sad but true na hii ya Clinton to go all the way to praise Mccain and belittling Obama was a big turnoff to many Dems!
 
...aiseeh theres serious hate and bitterness btn these 2 camps,sasa come Nov. nafikiri Dems watakuwa wamemalizana wenyewe kwa wenyewe,sad but true na hii ya Clinton to go all the way to praise Mccain and belittling Obama was a big turnoff to many Dems!

How did she praise McCain and belittle Obama? Can you tell us what she said?
 
Hivi Latino wana matatizo gani na brothers,mbona matatizo yao mengi wanashare pamoja na mara nyingi fight zote walizofight weusi ni kwa ajiri ya minority sio weusi tuu,na Latino wanafaidika humo humo na results ya hizo fight sasa leo wanajifanya hawawezi kuvote in mtu mweusi,kama kweli latinos vote is against color tunawashukuru sana,lakini the good thing message sent na brothers wameipata hawa sio wenzao na NY & LA wataingia peke yao mtaani white brothers wakianza kuwafanyizia kama kazi...nasikia huko Arizona wanabebwa na askari na kutupwa nje ya border kama magunia,kwa akili yao ya kibaguzi they deserve it na hope wataishia kuwa wachuma matunda tuu mpaka kiama!
 
Hivi Latino wana matatizo gani na brothers,mbona matatizo yao mengi wanashare pamoja na mara nyingi fight zote walizofight weusi ni kwa ajiri ya minority sio weusi tuu,na Latino wanafaidika humo humo na results ya hizo fight sasa leo wanajifanya hawawezi kuvote in mtu mweusi,kama kweli latinos vote is against color tunawashukuru sana,lakini the good thing message sent na brothers wameipata hawa sio wenzao na NY & LA wataingia peke yao mtaani white brothers wakianza kuwafanyizia kama kazi...nasikia huko Arizona wanabebwa na askari na kutupwa nje ya border kama magunia,kwa akili yao ya kibaguzi they deserve it na hope wataishia kuwa wachuma matunda tuu mpaka kiama!

Sasa unalalama nini? Angeshinda Obama ungewamwagia sifa...kashindwa unawaua...binadamu bwana sijui tukoje...

Mbona Ohio Mama kashinda wazungu lakini huwasemi kuwa wana matatizo...?

Don't be a sore loser...take the losses in stride and be a good sport
 
How did she praise McCain and belittle Obama? Can you tell us what she said?

..i dont remember exactly quote lakini she favoured Mccain over Obama by trashing him,mama number doesnt add up na endelea to celebrate mpaka delegate no zitakapotoka later today ndio utaona gap imeongezeka badala ya kupungua!
 
Sasa unalalama nini? Angeshinda Obama ungewamwagia sifa...kashindwa unawaua...binadamu bwana sijui tukoje...

Mbona Ohio Mama kashinda wazungu lakini huwasemi kuwa wana matatizo...?

Don't be a sore loser...take the losses in stride and be a good sport

...their vote was against black rather than for clinton!
 
..i dont remember exactly quote lakini she favoured Mccain over Obama by trashing him,mama number doesnt add up na endelea to celebrate mpaka delegate no zitakapotoka later today ndio utaona gap imeongezeka badala ya kupungua!

Unaona sasa...unathibitisha pointi yangu kuwa nyinyi Obama-maniacs mnaendeshwa na hisia na sio facts. Unatoa shutuma halafu unaombwa useme Mama alisema nini halafu unadai hukumbuki...give me a break!!

Concerns alizo-raise Mama ni legitimate. Mama katoa hoja...nyinyi badala ya kujibu kwa hoja mnajibu kwa manung'uniko na shutuma. Kama umesahau, hoja hujibiwa kwa hoja!!
 
...their vote was against black rather than for clinton!

Na wale weusi wanaompigia kura Obama kwa vile ni mweusi (ingawaje si mweusi tu bali ni mweupe pia), unasemaje kuhusu wao? Kwa sababu na wao kura zao kwa Obama ni kura dhidi ya Mama na kuna wengine wameshaapa kama Obama asipopata uteuzi hawatampigia Mama kura....so what say you about that?
 
Unaona sasa...unathibitisha pointi yangu kuwa nyinyi Obama-maniacs mnaendeshwa na hisia na sio facts. Unatoa shutuma halafu unaombwa useme Mama alisema nini halafu unadai hukumbuki...give me a break!!

Concerns alizo-raise Mama ni legitimate. Mama katoa hoja...nyinyi badala ya kujibu kwa hoja mnajibu kwa manung'uniko na shutuma. Kama umesahau, hoja hujibiwa kwa hoja!!

...legitimate concerns my a$$,eti hoja?hamuendi popote maana numbers dont lie!
 
Na wale weusi wanaompigia kura Obama kwa vile ni mweusi (ingawaje si mweusi tu bali ni mweupe pia), unasemaje kuhusu wao? Kwa sababu na wao kura zao kwa Obama ni kura dhidi ya Mama na kuna wengine wameshaapa kama Obama asipopata uteuzi hawatampigia Mama kura....so what say you about that?

...Blacks will vote Democrats no matter what,lakini Latinos will vote Mccain kama Obama is a nominee,you just dont get it!
 
Reading this thread is no different from reading Post or CNN!

Purely partisan.

Guys you all want to coronate your candidates.....the voters say no! Wait! But the media says its over! so who calls the shot? wapiga kura au media?

But I have learnt one thing: The media controls the world. Thats why kwenye nchi zetu za kimaskini ndo maana serikali zina ukiritimba wa hali ya juu kuruhusu uhuru wa vyombo vya habari!
 
Koba,

..vijana wa Kilatino wamempigia kura Obama siyo Mama.

..strategy ya Obama ni kupata delegates wengi zaidi. kwa msingi huo amepiga kampeni ktk maeneo ya Houston,Dallas,Austin. Huko kuna weusi wengi kuliko Latinos.

..Strategy ya ushindi ya Clinton ilikuwa ni kwenda nje ya maeneo ambayo Obama ana nguvu. Clinton ame-campaign sana maeneo ya mpakani Texas. Kwa bahati mbaya/nzuri huko kumejaa Latinos.

..Obama alikosea kumshutumu Clinton ktk masuala ya NAFTA. Inasemekana Latinos wa Texas wamefaidika kutokana na NAFTA.

..Katika Potomac Caucases Obama alishinda kura za Latinos. Mimi nadhani katika uchaguzi huu Latinos wanaangalia issues na siyo rangi. Kungekuwa na Mlatino mwenzao hapo ingekuwa habari nyingine.

NB:

kwa kweli weusi ndiyo wameonyesha mfano mbaya ktk uchaguzi huu. wamefikia mpaka kutishiana maisha kwa wale wasiom-support Obama.
 
Latino jana kule Texas wame-vote for Hillary 65% to %35. Ni kweli Obama amepata votes kutoka kwa Young Latino na Mama yeye amechukua kutoka kwa Senior Citizens wenzake.
 
Latino jana kule Texas wame-vote for Hillary 65% to %35. Ni kweli Obama amepata votes kutoka kwa Young Latino na Mama yeye amechukua kutoka kwa Senior Citizens wenzake.

Sasa kuna ubaya wowote hapo kama Koba anavyotaka tuamini?
 
Back
Top Bottom