Kaka ndio nimeamka hapa saa ndio saa 10.45 asubuhi, ndio nakutana na hii kitu: CNN projects Clinton wins key state of Ohio
Sasa unafiri mimi nina cha kusema tena zaidi kucheka tu hapa, acha kabisa!
..kawacheke wenzako wa kiteto!
Kaka ndio nimeamka hapa saa ndio saa 10.45 asubuhi, ndio nakutana na hii kitu: CNN projects Clinton wins key state of Ohio
Sasa unafiri mimi nina cha kusema tena zaidi kucheka tu hapa, acha kabisa!
Small chance. Hawezi kuchukua TX, kwasababu ukiangalia the counties anazo-win Clinton, ni ones zina very small population, na anamzidi Obama in very small margin--In the the meantime, Obama ana win all places kwenye population kubwa,so far ana-lead Houston, Dallas and even Austin...
..kawacheke wenzako wa kiteto!
...i'll send more money to obama this week!
Pamoja na ushabiki kwa Obama na Clinton unaoendelea hapa nadhani ni vizuri kujikumbusha kuwa atakayeshinda nomination ya DNC ana kimbembe kupambana na Babu na GOP... ngoma bado mbichi!
...mama propaganda tuu maana numbers doesnt add upp,sitashangaa delegate gap ikaongezeka tonight!
Icadon upo?
Naona security detail ya Obama si mchezo....
Ushindi wa Mama kule Ohio na Rhode Island ulitegemewa tena kwa large margin. Kwa hiyo hii wala sio kitu cha ajabu. Unajua hata TX walipredict atashinda mama lakini inaonekana ku-loose.
Nyani na wenzako hongera naona mmepata cha kushangilia baada ya majonzi ya muda mrefu hahahahaha.
Mpo? Mapambano mpaka dakika ya mwisho. Mama Oyee...
Nyani, keep it up!
Shukrani Sam...
Mimi na Mama ni ride or die...
Reporting 5%Aliyemuongezea Obama walinzi anajua nini alikuwa anafanya lol...kumbuka hii ni thread ya Obama anything about him kinakuja hapa..
Anyways, looks like Hilly atachukua TX as well, so far idadi ya delegates ni,
Obama 1,419
Clinton 1,333
Ila tuwe wa kweli na nafsi zetu mwaka mmoja uliopita hakuna aliyekuwa anajua kuwa Obama atakuwa front runner, achilia mbali kushinda primaries na caucuses zote baada ya super tuesday mpaka leo, asiyekubali kushindwa si mshindani
Nyani umekwisha,endeleeni na hiyo spin lakini ukweli mnajua hamuendi popote!
Mzee si umesema unaswitch camp au unakuwa kama John Lewis mambo yakiwa si mambo unahama, yakitengemaa unarudi?