Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,455
- 10,869
I think we are missing a point here! unless useme kwamba 82% ya waliompigia kura JK ni wajinga wa kutupwa kulinganisha na raia wa USA (ambao ndo walimpigia kura huyo huyo Bush)...! I dont agree! Swala la kukubalika, ni kwamba JK kila mtu alimuamini na tuliona atakuja na change zaidi ya fisadi Mkapa! kumbe alikuwa ameficha makucha! Jamani kama siyo sisi kujishusha, kuna kiongozi kati ya HRC na BO alishakuwa na kapriensi kuliko JK? Foreign 10?, finance, Nishati nk? lets be real! tukubali kwamba jamaa alikubalika na CV alikuwa nayo..sema tuu he screwed up kwa ujinga wake. to me not BO not Hillary, alikuwa na POSITION ya kufanya maamuzi kama JK..(hata kama ni maamuzi ya nchi maskini kama yetu!)
Obama mwanzoni alionekana saint..haya ya Wright yametoka wapi? na I tell you mpaka Nov. Mengine yatafumuka tuu..thats the game of politics! Na ndo tatizo la kuset high bar..kama akina Spitzer...people expect too much from you.... Ingekuwa vipi kama Obama 2002 angekuwa kwenye senate? angevote AGAINST vita ya Iraq? au 80% ya wa-USA waliokuwa wanasupport hii vita kipindi kile ni wajinga...please lets be real....what makes Obama na Kikwete be different ni systems tuu..kama Obama angekuja kuwa raisi wa Bongo..unafikiri tungebadilika leo? au JK angekwenda kuwa raisi wa USA..angefanya madudu yake (Iam not comparing impossibles)..but ukweli ni kwamba JK had enuf kapriensi to be a leader..kwamba amescrew up..ni kitu kingine!
Harafu watu mnaposema kwamba Obama had a judgement..nashindwa kulielewa..siwaelewi..which judgement? wamarekani wameanza kuichukia hii vita ya Iraq....baada ya mission kwenda kombo! Period. Je wangeshinda..Obama angeeambiwa ana judgement?, si angekuwa condemned kwamba siyo mzalendo?
Wakuu tusijishushe saana hata kama hatujaendelea kama wa-USA bado na sisi ni rightful occupants wa hii dunia kama wao! Mi mpaka leo naamini kabisa, JK alikuwa ni kiongozi lakini kwa sababu yuko kwenye rotten systems na yeye amezungukwa na mafisadi na anakosa will ya kuwashughulikia..ndo maana tuko hapa tulipo na wala si swala la kapriensi....
What I believe BO akiingia madarakani.....interests za Dems domestically zitabadilika nk..lakini interests za Marekani abroad..awe ni Democrat au Republican..hizo hazibadiliki!
Lastly kwa experience..nadhani tunachanganya vitu viwili..kapriensi na exposure! Hillary ana exposure kubwa kuliko Obama lakini siyo experience..ipi hiyo? na tunarudi kule kule..bwana swala la kukubalika kwa kiongozi lina mantiki sana katika siasa! Bill Clinton kilichomsaidia mpaka leo partly ni charisma aliyonayo (na record yake ofcourse)..ni mengi na hili siyo kwa Tanzania tuu..tunaoingizwa mjini...hata huko US, Urusi nk..wapiga kura wanaingizwa mjini tuu..sema tofauti yao na sisi..wana namna ya kujinasua wakigundua..sisi wapi!
Obama mwanzoni alionekana saint..haya ya Wright yametoka wapi? na I tell you mpaka Nov. Mengine yatafumuka tuu..thats the game of politics! Na ndo tatizo la kuset high bar..kama akina Spitzer...people expect too much from you.... Ingekuwa vipi kama Obama 2002 angekuwa kwenye senate? angevote AGAINST vita ya Iraq? au 80% ya wa-USA waliokuwa wanasupport hii vita kipindi kile ni wajinga...please lets be real....what makes Obama na Kikwete be different ni systems tuu..kama Obama angekuja kuwa raisi wa Bongo..unafikiri tungebadilika leo? au JK angekwenda kuwa raisi wa USA..angefanya madudu yake (Iam not comparing impossibles)..but ukweli ni kwamba JK had enuf kapriensi to be a leader..kwamba amescrew up..ni kitu kingine!
Harafu watu mnaposema kwamba Obama had a judgement..nashindwa kulielewa..siwaelewi..which judgement? wamarekani wameanza kuichukia hii vita ya Iraq....baada ya mission kwenda kombo! Period. Je wangeshinda..Obama angeeambiwa ana judgement?, si angekuwa condemned kwamba siyo mzalendo?
Wakuu tusijishushe saana hata kama hatujaendelea kama wa-USA bado na sisi ni rightful occupants wa hii dunia kama wao! Mi mpaka leo naamini kabisa, JK alikuwa ni kiongozi lakini kwa sababu yuko kwenye rotten systems na yeye amezungukwa na mafisadi na anakosa will ya kuwashughulikia..ndo maana tuko hapa tulipo na wala si swala la kapriensi....
What I believe BO akiingia madarakani.....interests za Dems domestically zitabadilika nk..lakini interests za Marekani abroad..awe ni Democrat au Republican..hizo hazibadiliki!
Lastly kwa experience..nadhani tunachanganya vitu viwili..kapriensi na exposure! Hillary ana exposure kubwa kuliko Obama lakini siyo experience..ipi hiyo? na tunarudi kule kule..bwana swala la kukubalika kwa kiongozi lina mantiki sana katika siasa! Bill Clinton kilichomsaidia mpaka leo partly ni charisma aliyonayo (na record yake ofcourse)..ni mengi na hili siyo kwa Tanzania tuu..tunaoingizwa mjini...hata huko US, Urusi nk..wapiga kura wanaingizwa mjini tuu..sema tofauti yao na sisi..wana namna ya kujinasua wakigundua..sisi wapi!