US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Mimi najali sera kuliko atokako mtu. Tatizo nyinyi mnamshabikia kwa vile baba yake ni Mkenya.

..acha kutoa porojio zako hapa,wewe si ndio ulisema kama sio hillary basi ni Mccain? tofauti ya Obama na mama ni nini katika sera zao? maana wenzako tunajua Obama asiposhinda basi tunaingiza timu kwa mama kwa sababu hawana tofauti na Obama maana mccain ni tofauti sana na sera zake...anyway tunakujua labda ukawadanganye kina Hannity sio hapa,nenda kaangalie time cover aliyo post susuviri ili ujue nani ni nominee
 
Myopic Dyslexia: Is There Really No Cure?

by sarabeth at 8:56 am on May 7th, 2008

For a long time now, the writing has been on the wall. But Hillary Clinton, for some reason, has proved unable to read it. If it's not myopic dyslexia that she suffers from, then it must be dyslexic myopia. She's been stupidly stubbornly shortsighted.

For a long time now it's been abundantly clear that, given the numbers - and all the twaddle about Florida and Michigan delegates notwithstanding - the probability of Clinton overtaking Obama in terms of pledged delegates or total delegates or the popular vote was exactly zero.

Here's the delegate math at this point: with 217 pledged delegates still up for grabs and 267 superdelegates still uncommitted, Obama leads 1588 to 1422 in terms of pledged delegates, and 1845 to 1693 in terms of total delegates. To take the pledged delegate lead, Clinton would need to win 192 of the remaining 217 delegates (88%). That couldn't be happening even in Hillary Clinton's dreams.

If we generously assume that Clinton and Obama split the remaining 217 pledged delegates (and go ahead and give the tie-breaker to Clinton), then Obama would need only 67 of the remaining 267 superdelegates (25%) to get to 2025 total delegates and clinch the nomination, while Clinton would need 218 (82%). Once again, that's fantasyland for Clinton.

Until this morning, though, the media and non-partisan bloggers have largely been content to play along with the Clinton campaign, and refrain from pointing out that she really didn't have a snowball's hope in hell of taking the nomination. Not by fair means, not even by marginally foul means.

And while Obama won North Carolina by a bigger margin than expected (14.7% compared to the consensus forecast of 8%), and Clinton won Indiana by a smaller margin than expected (1.8% compared to the consensus forecast of 5%), last night's results were broadly in line with expectations. Yet, somehow, these just-as-expected results have led to some very blunt talk about how Clinton is now done, even if she continues to cling to her myopic dyslexia. And this blunt talk has been surprisingly widespread
 
Duh! it is over sasa ninaaamini kuwa Jaluo is the next president sidhani kama hilo lina ubishi tena, Mama Clinton hamuwezi Jaluo hata akimsaidia Makeni, bado wote wawili hawawezi,

Wakati umefika wa Mweusi kuwa rais wa US na Jaluo ndiye, Conservatives hawana kesi against Jaluo, ukweli ni kwamba wao wenyewe hawamtaki Makeni na hawamtaki Jaluo, sasa wanamtaka nani? Kwa mara ya kwanza rangi ya Jaluo ndio the best asset aliyonayo kuingia White House, Makeni ni weak, tena very weak off course haitakuwa rahisi wazungu watapigana to the end, na ninajua very soon itakuja law Suit kutoka Florida na Michigan kupinga matokeo ya delegates wao, lakini still Hillary hawezi kushinda urais wala Makeni a 71 years old amechoka!

Clinton, hakushinda Indiana kama alivyotegemewa, na jana nimemsikia mama anayeitwa Cookie Roberts akilia machozi ndio nikaaamini kuwa sasa ni kweli it is over, Jaluo safi lakini Democratic Party ni garbage, ikibidi Jaluo awe independent in the future!

Hapa hands down Jaluo ni rais, na Mama Clinton the time is up ni vyema akajitoa sasa ili ampe nafasi Jaluo ajitayarishe na general election! Time ya the Clintons, imeisha wamepitwa na wakati sasa!
 
Duh! it is over sasa ninaaamini kuwa Jaluo is the next president sidhani kama hilo lina ubishi tena, Mama Clinton hamuwezi Jaluo hata akimsaidia Makeni, bado wote wawili hawawezi,

Wakati umefika wa Mweusi kuwa rais wa US na Jaluo ndiye, Conservatives hawana kesi against Jaluo, ukweli ni kwamba wao wenyewe hawamtaki Makeni na hawamtaki Jaluo, sasa wanamtaka nani? Kwa mara ya kwanza rangi ya Jaluo ndio the best asset aliyonayo kuingia White House, Makeni ni weak, tena very weak off course haitakuwa rahisi wazungu watapigana to the end, na ninajua very soon itakuja law Suit kutoka Florida na Michigan kupinga matokeo ya delegates wao, lakini still Hillary hawezi kushinda urais wala Makeni a 71 years old amechoka!

Clinton, hakushinda Indiana kama alivyotegemewa, na jana nimemsikia mama anayeitwa Cookie Roberts akilia machozi ndio nikaaamini kuwa sasa ni kweli it is over, Jaluo safi lakini Democratic Party ni garbage, ikibidi Jaluo awe independent in the future!

Hapa hands down Jaluo ni rais, na Mama Clinton the time is up ni vyema akajitoa sasa ili ampe nafasi Jaluo ajitayarishe na general election! Time ya the Clintons, imeisha wamepitwa na wakati sasa!


Safi sana, naona watu wanazidi kuwa converted! I hope hata akina Rush watafika mahali watakubali tuu, waache siasa za king`ang`anizi!
 
Safi sana, naona watu wanazidi kuwa converted!

Heshima mbele mkuu, hatuwi converted ila tunafuata ukweli wa siasa ambao haujawahi kuwa permannent, kwa sababu hata tulizonazo leo zinaweza kubadilika kesho, na kuelewa siasa za bulogu kama hizi zetu hapa zinashamiri pale wahusika tunapoweza kuzunguka bila ya kuwa connected na upande mmoja tu, kwa sababu the next thing ni you get watu kuanza kubadili badili majina,

Ndio maana huwa tunajaribu kwenda na wakati, sidhani kama kuna mweusi yoyote anayetaka Jaluo ashindwe, lakini pia sidahani kama kuna mweusi anayetegemea kuwa Jaluo ataupata urais huo kilaini laini, kama ninavyooona watu wengi hapa wanavyojaribu kuuugeuza huu mjadala kuwa kama Yanga na Simba, competition ya Jaluo, Indiana ndiyo imewavunja nguvu wazungu wengi hasa kina Rush kuwa sasa ni saaa ya Jaluo, lakini pia anything can happen kwa sababu wazungu hawatakubali bila ya a good fight!
 
Heshima mbele mkuu, hatuwi converted ila tunafuata ukweli wa siasa ambao haujawahi kuwa permannent, kwa sababu hata tulizonazo leo zinaweza kubadilika kesho, na kuelewa siasa za bulogu kama hizi zetu hapa zinashamiri pale wahusika tunapoweza kuzunguka bila ya kuwa connected na upande mmoja tu, kwa sababu the next thing ni you get watu kuanza kubadili badili majina,

Ndio maana huwa tunajaribu kwenda na wakati, sidhani kama kuna mweusi yoyote anayetaka Jaluo ashindwe, lakini pia sidahani kama kuna mweusi anayetegemea kuwa Jaluo ataupata urais huo kilaini laini, kama ninavyooona watu wengi hapa wanavyojaribu kuuugeuza huu mjadala kuwa kama Yanga na Simba, competition ya Jaluo, Indiana ndiyo imewavunja nguvu wazungu wengi hasa kina Rush kuwa sasa ni saaa ya Jaluo, lakini pia anything can happen kwa sababu wazungu hawatakubali bila ya a good fight!

Absolutely mkuu wangu!

Huu sio mjadala wa simba na Yanga. Lakini mkuu si unajua in politics hakuna permanent truth? Ukweli ni kwamba kwenye siasa hapendwi mtu..ni maslahi tuu! US imefika hapo ilipo kwa kukanyaga vidole vya wengine kwa sana...na kusudi iendelee kuwa hapo ilipo ni lazima iendelee kukanyaga vidole vya wengine....ndo maana moto unawaka Zimbabwe China anapeleka shehena ya AK 47! Ndo mchezo wa siasa baba..ila kwa wale ambao ni new comers..well wanahaki kutoa maoni yao..Ila kwa mtu kama mimi atleast from my little knowldge in politics..naelewa the gap between promises and performance katika politics ni kubwa mno! na hiyo siyo kwa BO au Bush..ndivyo mchezo ulivyo tuu...
 
..acha kutoa porojio zako hapa,wewe si ndio ulisema kama sio hillary basi ni Mccain? tofauti ya Obama na mama ni nini katika sera zao? maana wenzako tunajua Obama asiposhinda basi tunaingiza timu kwa mama kwa sababu hawana tofauti na Obama maana mccain ni tofauti sana na sera zake...anyway tunakujua labda ukawadanganye kina Hannity sio hapa,nenda kaangalie time cover aliyo post susuviri ili ujue nani ni nominee

Tofauti ya Mama na Obama ni experience. Hivi huyu Hussein Obama wenu atasema nini mbele ya Mac Daddy? Yaani ktk eneo haoni ndani....nawaonea huruma
 
Nyani, mi nadhani huelewi how weak McNasty is. Unajua what he's problem is? He is inconsistent, he is a flip flop! Na bahati yake Obama alikuwa busy na Mama, lakini kumbuka Democratic Party ilipotoa ile TV ad kuhusu 100 year war, alivyolalamika.
Kuhusu experience SAHAU!
Kumbuka McCain atasutwa na maneno yake mwenyewe.
Mwaka 2000 alimpigia debe Kichaka ambaye hakuwa na experience, baada ya kuchemka miaka 4 akampigia tena debe in 2004, sasa hiyo ni problem ya judgement! Hamna lolote! In politics it is credibility! Na McCain is loosing that kwa sababu:
- He flipflopped on torture
- He flipflopped on taxes
- He admitted he is not expert in economics
- He is so weak in foreign affairs that he doesn't know the difference between Sunni and Shia na alirudia kosa mara 3. Pia recently he justed cited a missile defense system in Czechoslovakia!!!!!!!!! 😕 I mean didn't he get the news flash 16 years ago that Czechoslovakia no longer exists? ???? Jamani huyu babu ni BWEGE! And he is embarassing the GOP ambao wametoa some fine diplomats and strategists (not in recent history though maana akina Rumsfeld na Wolfenson ni aibu , I m thinking more like Kissinger)
Kama nilivyosema consistently, Obama kwa McCain is victory for Obama!
Nakubali hoja kwamba it will not be easy. But what the Republicans don't realize ni kwamba Americans are ready for change. While they were not ready alipogombania John Kerry, Howard Dean and Al Gore!
 
Masanja,Nyani Ngabu,Kitila,Susuviri,YNIM,Koba,FMES,..

..mimi primaries hizi nimezifuatilia as an OUTSIDER. ninachoona mimi ni WAGOMBEA URAISI WA MAREKANI na hawanihusu hata kidogo.

..mchezo wa siasa unahusisha expectations, promises, na results.

..kuna Wazungu ambao wanampigia Obama wakiamini kwamba ataweza kuondoa matatizo ya racism Marekani. Weusi nao wanamchagua wakiamini kwamba heshima na maisha yao yatabadilika.

..sijui ni kwa kiasi gani Barack Obama ataweza ku-deliver kwa matarajio hayo niliyoyataja hapo juu.

..upya wa Barack Obama in the political scene unawafanya watu walioko nje waamini kwamba there will be a change on how USA relates to the rest of the world. wengi wamechoshwa na jinsi US inavyo over step role yake kama superpower.

..Sasa sijui Barack Obama atabadilisha vipi sera za nje za Marekani.

..Uswahiba kati ya USA na Israel imekuwa mwiba kwa sera za nje za USA. tatizo la Wapalestina limekuwa tatizo la the entire Islamic world.

..sijui Obama atalishughulikia vipi suala hili, tofauti na maraisi waliopita--democrats and republicans.

..naamini Bush anaiacha USA ikiwa na matatizo makubwa ndani na nje kuliko wakati wowote ule karibuni. Raisi anayekuja atakuwa na wakati mgumu kuliko Ronald Reagan,George Bush, au Bill Clinton.
 
msee,
nimemwona Terry McAuliffe mapema akiongea.....hakuna dalili za billary kujitoa na ndio kwanza kimama kilikuwa kina kampeni Shepperdstown, WV............hii kitu imelala, billary wataenda mpaka mwisho!!.

That is the whole essence of her being named "the fighter". Pamoja na kwamba mimi binafsi nimejikatia tamaa baada ya matokeo ya juzi, nitaendelea kumuunga mkono so long as anaendelea kubaki kwenye race. Nyani ninaomba baadaye unipe details zako nikupe mchango wangu uwakilishe kwa mama. Nimeenda kule kwenye web address yake kumbe tulio nje ya US hatuwezi kuchangia. Wana sheria nzuri sana hawa kudhibiti mapesa ya ajabuajabu kwenye kampeni za siasa.
 
Nyani, mi nadhani huelewi how weak McNasty is. Unajua what he's problem is? He is inconsistent, he is a flip flop! Na bahati yake Obama alikuwa busy na Mama, lakini kumbuka Democratic Party ilipotoa ile TV ad kuhusu 100 year war, alivyolalamika.
Kuhusu experience SAHAU!
Kumbuka McCain atasutwa na maneno yake mwenyewe.
Mwaka 2000 alimpigia debe Kichaka ambaye hakuwa na experience, baada ya kuchemka miaka 4 akampigia tena debe in 2004, sasa hiyo ni problem ya judgement! Hamna lolote! In politics it is credibility! Na McCain is loosing that kwa sababu:
- He flipflopped on torture
- He flipflopped on taxes
- He admitted he is not expert in economics
- He is so weak in foreign affairs that he doesn't know the difference between Sunni and Shia na alirudia kosa mara 3. Pia recently he justed cited a missile defense system in Czechoslovakia!!!!!!!!! 😕 I mean didn't he get the news flash 16 years ago that Czechoslovakia no longer exists? ???? Jamani huyu babu ni BWEGE! And he is embarassing the GOP ambao wametoa some fine diplomats and strategists (not in recent history though maana akina Rumsfeld na Wolfenson ni aibu , I m thinking more like Kissinger)
Kama nilivyosema consistently, Obama kwa McCain is victory for Obama!
Nakubali hoja kwamba it will not be easy. But what the Republicans don't realize ni kwamba Americans are ready for change. While they were not ready alipogombania John Kerry, Howard Dean and Al Gore!

Hahahaha....mbona hata Obama ana flip flop? Hiyo ni kawaida kabisa ktk siasa.
 
That is the whole essence of her being named "the fighter". Pamoja na kwamba mimi binafsi nimejikatia tamaa baada ya matokeo ya juzi, nitaendelea kumuunga mkono so long as anaendelea kubaki kwenye race. Nyani ninaomba baadaye unipe details zako nikupe mchango wangu uwakilishe kwa mama. Nimeenda kule kwenye web address yake kumbe tulio nje ya US hatuwezi kuchangia. Wana sheria nzuri sana hawa kudhibiti mapesa ya ajabuajabu kwenye kampeni za siasa.

Poa, hata mimi nitamchangia dola 1,000.00 leo
 
I admire Kitila's spirit way to go bro!!!

Naanza kuamini Obama aliclinch hii nomination back in February...sema ndio hivyo Hillary team hawakuwa wamejiandaa kwa hili lakini ndio hivyo there's always a first time for everything.

Kudos kwa Obama nation!!!

080508-clinton-obama-hmed-1230a.hmedium.jpg

After 16 years, the Clinton era may be coming to an end, presenting Democrats with a historic but potentially wrenching transition and a challenge to Senator Barack Obama as he seeks to reconcile a deeply divided party.
 
Poa, hata mimi nitamchangia dola 1,000.00 leo

He he hiyo itaenda kwa Mark Penn au itanunua donuts/doughnut za farewell party na kuvunja campaign team officially.

Ila kudos babu ulileta balance.
 
Tofauti ya Mama na Obama ni experience. Hivi huyu Hussein Obama wenu atasema nini mbele ya Mac Daddy? Yaani ktk eneo haoni ndani....nawaonea huruma

...ooooh mimi nasupport policy zao sio mtu ooooh mie nasupport experience ooooh mie maharage,kunde,choroko lakini napendelea kiti moto...umekwisha wewe kama mwenzako hillary!
 
Lakini wakuu tuache unafiki..lets be real..as a person with African heritage, are you not proud to see BO excelling in USA politics? Iam sure even NYANI and KITILA are!

Unfortunately to you, for me, not at all! The reason, simple:

Hiyo ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo. Tumeendelea kuwachagua watu kwa sababu wanatoka mkoa wetu, wilaya yetu, kabila letu, chama chetu, n.k. hata kama uwezo hawana. Matokeo yake wametutenda lakini tunaendelea kuwachekea kwa sababu tumetoka nao sehemu moja, ni wanachama wenzetu, n.k. Sasa ushauri wangu kwa nyie mnaomuunga mkono Obama ni huu: muungeni kwa sababu mnaamini kwamba ana uwezo kuliko wagombea wengine. Ikitokea roho yako ikakushuhudia kwamba unamuunga mkono Obama kwa sababu ya uweusi wake tu, basi ni bora usiende hata kupiga kura. Hata hivyo, katika sifa alizo nazo Obama nafikiri ya uweusi ni ya mwisho kabisa na sijui ni kwa nini mtu uamue kumuunga mkono on the basis of his colour!

That said, mimi ninamuunga mkono sana Hillary kwa sababu roho yangu inanishuhudia kwamba ana uwezo kuliko Obama na MacCain. Bahati mbaya sijaingiza skin colour kama kigezo. Pengine ninge-consider colour tungekuwa kwenye train moja kabisa mkuu!
 
He he hiyo itaenda kwa Mark Penn au itanunua donuts/doughnut za farewell party na kuvunja campaign team officially.

Ila kudos babu ulileta balance.

...wakati wa Rev wright alivyokuwa anarusha makombora na Fixnews zake was soooo depressing,lakini its all good maana wote hatuwezi support upande mmoja na sasa is not our enemy anymore maana kashindwa vita na ni mateka wetu na tutampa respect & good treatment!
 
Back
Top Bottom