US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

...ooooh mimi nasupport policy zao sio mtu ooooh mie nasupport experience ooooh mie maharage,kunde,choroko lakini napendelea kiti moto...umekwisha wewe kama mwenzako hillary!

Yaani hapa umenichekesha kweli...
Sasa unakuja lini huku wewe...? Njoo tuchome mbuzi bana...aagghh..
 
Poa, hata mimi nitamchangia dola 1,000.00 leo

buku hilo, badala ya kulipa mortagage yako, kumchangia 'rais mtarajiwa' BHO, au kuchangia wananchi wa mbeya waliokubwa na mafuriko.......wewe unatupa hela kwenye lost course, a losing campaign, what a waste!!!?? shame on you, Nyani Ngabu..
 
buku hilo, badala ya kulipa mortagage yako, kumchangia 'rais mtarajiwa' BHO, au kuchangia wananchi wa mbeya waliokubwa na mafuriko.......wewe unatupa hela kwenye lost course, a losing campaign, what a waste!!!?? shame on you, Nyani Ngabu..

Look at you...
I thought you subscribed to the message of hope? If so, then what's wrong with me in having hope for my candidate?
 
Kitila,
kama huna matumizi ya maana na hivyo "vijisenti" vyako, unaweza kunitilia mimi...kwani ma-weekend yana-approach kwa kasi........niongezee fungu langu la kwenda kutumia Nantucket sounds, bwahahahahahaha.
 
Kitila,
kama huna matumizi ya maana na hivyo "vijisenti" vyako, unaweza kunitilia mimi...kwani ma-weekend yana-approach kwa kasi........niongezee fungu langu la kwenda kutumia Nantucket sounds, bwahahahahahaha.

Kitila,
usimpe hata senti huyu bwana...ataenda kulewa gongo tu...

Ila na nyie walevi mmezidi kwa mizinga bana...aaghh
 
Look at you...
I thought you subscribed to the message of hope? If so, then what's wrong with me in having hope for my candidate?

unaweza kuwa na hope whatever you want, but, seriously "tenga" moja ni jingi kumchangia HRC......wakati keshashindwa!!!.

au na wewe umepata mgao nini toka kwa wang'wa Faza msee wa vijisenti!!?? maana nasikia bushi lenu moja.....hahahahahaha.
 
Kitila,
usimpe hata senti huyu bwana...ataenda kulewa gongo tu...

Ila na nyie walevi mmezidi kwa mizinga bana...aaghh

sipigi tungiz siku hizi, nimekuwa muislam sana......hamsa salawat!!! ulevi wangu siku hizi ni viatu virefu, mambo ya "booty popping."
 
Mkuu Kitila,

Mama Clinton, ni kweli anao uwezo mkubwa sana wa kuwa rais na aliamini kuwa atakuwa, mpaka ilipokuja dhoruba nzito, the Clintons walipokuwa madarakani wameumiza watu wengi sana kutokana na kutokuwa na ethics za kazi na principles,

Matokeo yake wazungu wengi kama kina Kennedy, Kerry, na wengineo walikuwa wanawafuata tu kwa kuogopa ile political machine yao, na the fact kwamba walikuwa na uwezo mkubwa wa kuchangisha hela kwa wagombea wa Democrats, sasa ndio maana wamewakimbia the Clintons kwa sababu Jaluo naye anaweza pia kuchangisha pesa, the matter of fact na Liberal media iko na Jaluo ambayo zamani ilikuwa ni asset kubwa ya the Clintons,

Democrats kimekuwa kikidai kuwa ni chama cha wananchi kwa muda wote wa maisha yake, sasa what an opportunity kwao kumuweka rais mweusi aseyekuwa na record ya uwezo lakini capable wa US ugly politics na anayeweza kuongea wananchi wakasikiliza, asiyekuwa na criminal record, kwa hiyo hapa kuna na guilty pia ya wazungu inayowasuta on inclusiveness,

Ni kweli wazungu wengi wa the Clintons watamsaidia Makeni, lakini baaada ya juzi hata ukiwasikiliza kwa makini Conservatives, utagundua kuwa wameishiwa nguvu, Jaluo ana time on his side na ni weusi wake ndio utakaomuingiza White House, atakuwa rais huku wazungu wakiendelea na ku-run the show, nafikiri ni wakati wa Jaluo kuanza kuwavuta weusi kwenye inner circle yake apunguze wazungu kidogo,

Otherwise huu ni mchezo wa siasa sometimes unaweza ukawa very ugly kwa wasiouelewa!
 
Hivi HRC anauwezo au uzoefu kuliko Obama? Sielewi kwa wanaodai huyu mama anauwezo kuliko Obama wana base kwenye record yake ya utumishi au nini. Katika siasa uwezo ni kigezo muhimu ili kuongoza lakini pia kukubalika ni jambo la msingi kabisa. Kama Obama anaonyesha kukubalika zaidi ya HRC, then ndio anayefaa. Naamini Obama anauwezo mkubwa kuliko huyo mama maana kwa mda mfupi wa utumishi wake ameweza gusa hisia za watu.

Binafsi najisikia vizuri kijana mwnzangu kuonyesha uwezo na kuwapa tumbojoto vidingi. NAWAKUMBUSHA UONGOZI WA KISIASA IS ALL ABOUT KUKUBALIKA..mengine yatafuata..rais atapanga vizuri timu yenye uzoefu na kazi itaenda fresh.

"I'm Praying for Obama"
 
Wolf Blitzer kaongea na Obama....on the 1600hours CNN's situation room. muangalie jamaa aliwavyo na swaga na ma-confidence.
 
obamapc2-49o2nivv0.jpg
 
NAWAKUMBUSHA UONGOZI WA KISIASA IS ALL ABOUT KUKUBALIKA..mengine yatafuata..rais atapanga vizuri timu yenye uzoefu na kazi itaenda fresh.

Too simplistic. Tena hutakiwa kutukumbusha kwa hili maana unatuumiza. Tunaye rais kwetu aliyekubalika na kupendwa kila kona lakini leo ndiyo huyo anatutenda kama hatuna akili nzuri. Hii kumbukumbu kaa nayo tu mwenyewe wala haiwezi kumshawishi mtu amuunge mkono Obama sanasana inaweza ikakimbiza baadhi ya washabiki wake bure.
 
YN: acha tu nimpe mama kamchango kangu bwana katamsaidia kwenye sherehe yake ya kuaga. Serious, sasa hivi inabidi muanze kuwa na lugha ya kistaarabu, huyu mama ana lundo la wapenzi ambao wakirudi nyuma Obama hawezi kukatiza Novemba.
 
Too simplistic. Tena hutakiwa kutukumbusha kwa hili maana unatuumiza. Tunaye rais kwetu aliyekubalika na kupendwa kila kona lakini leo ndiyo huyo anatutenda kama hatuna akili nzuri. Hii kumbukumbu kaa nayo tu mwenyewe wala haiwezi kumshawishi mtu amuunge mkono Obama sanasana inaweza ikakimbiza baadhi ya washabiki wake bure.

Kitila ,

Kweli ndugu yangu unataka kumfananisha Obama na Kikwete ? Watu wote wenye akili timamu walishajua wanapata nini toka kwa Kikwete .
 
Too simplistic. Tena hutakiwa kutukumbusha kwa hili maana unatuumiza. Tunaye rais kwetu aliyekubalika na kupendwa kila kona lakini leo ndiyo huyo anatutenda kama hatuna akili nzuri. Hii kumbukumbu kaa nayo tu mwenyewe wala haiwezi kumshawishi mtu amuunge mkono Obama sanasana inaweza ikakimbiza baadhi ya washabiki wake bure.

...kwa akili mbovu kama hii ndio maana future ya upinzani TZ hakuna!
 
Too simplistic. Tena hutakiwa kutukumbusha kwa hili maana unatuumiza. Tunaye rais kwetu aliyekubalika na kupendwa kila kona lakini leo ndiyo huyo anatutenda kama hatuna akili nzuri. Hii kumbukumbu kaa nayo tu mwenyewe wala haiwezi kumshawishi mtu amuunge mkono Obama sanasana inaweza ikakimbiza baadhi ya washabiki wake bure.

Sasa Kitila, statement yako ndo too simplistic. Huwezi ukamfananisha Kikwete na Obama! Expereince na judgement ya Obama imeonekana mapema, kama umesoma vitabu vyake utaona kwa mapana jinsi jamaa alivyo intelligent na anaona mbali. Hili halina ubishi. Sasa huyu Yahe wetu zaidi ya umaarufu wa mtaani na kujirusha alikuwa hana CV yoyote ya maana baada ya kukaa miaka 10 Foreign Affairs kama waziri. In fact mimi ningewalinganisha JK na Hillary, kwa 'expereince' wanayojigamba nayo lakini behind that is many years of sitting in the seats of power, attending cocktails and drinking tea Oh and ducking sniper fire 😀!
 
Sasa Kitila, statement yako ndo too simplistic. Huwezi ukamfananisha Kikwete na Obama! Expereince na judgement ya Obama imeonekana mapema, kama umesoma vitabu vyake utaona kwa mapana jinsi jamaa alivyo intelligent na anaona mbali. Hili halina ubishi. Sasa huyu Yahe wetu zaidi ya umaarufu wa mtaani na kujirusha alikuwa hana CV yoyote ya maana baada ya kukaa miaka 10 Foreign Affairs kama waziri. In fact mimi ningewalinganisha JK na Hillary, kwa 'expereince' wanayojigamba nayo lakini behind that is many years of sitting in the seats of power, attending cocktails and drinking tea Oh and ducking sniper fire 😀!

Judgement gani hiyo ya Hussein Obama unayoizungumzia wewe? Kukaa Trinity na Rev. Wright kwa miaka ishirini?
 
Judgement gani hiyo ya Hussein Obama unayoizungumzia wewe? Kukaa Trinity na Rev. Wright kwa miaka ishirini?
Duh!
Ama kweli nimekosa mengi wandugu!
Hata hivyo najiandaa kuja back kupambana na wewe na wenzako mnaomponda Obama!
 
....mie na pozi swali hapa, je itakuwa jambo la busara kwa Obama kuweka HRC kwenye tiketi kama VP!!?? zingatia mgawantiko na animosity iliyopo ktk hizi primaries.....

binafsi, nasema yes and no....maelezo yatakuja baada ya kuona michango ya wengine.

asante and happy friday kwa wooooooote, kuanzia pwani ya bahari ya hindi mpaka kwa ile ya pacific...
 
Back
Top Bottom