US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Tatizo lenu nyinyi maniacs hamna hoja zaidi ya kulia ubaguzi. Mnaamini mkilia hivyo basi mtaachwa kwa sababu hakuna mtu anayependa kuonekana mbaguzi. Leteni hoja kabambe na si kulia lia ubaguzi.

Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini asilimia kubwa(karibia wote) ya wale waliompigia kura Clinton walisema hawatampigia kura Obama kwenye uchaguzi mkuu hata kama akishinda nomination?
WHY NYANI WHY?
NB:Tafadhali ujibu na si kuwaita watu maniacs!
 
Clinton hivi sasa anashinikizwa vibaya sana ndani ya chama kwasababu kauli zake zinelekea kukipukutisha chama!

Hivyo basi baada ya kugundua kuwa licha ya maguvu yake ndani ya chama ni wazi kuwa Obama atambwaga!

Bado kuna washauri wake wa karibu pamoja na imani yake yeye binafsi kuwa bado kuna kauwezekano ka Obama kuslip!

Amejitahidi kujijengea nafasi mbele za macho ya wamarekani kuwa hakuna mtu anayemjua huyu mtu anayeitwa Obama!

Sasa kuna wale wanaoanza kujiuliza labda huyu Mama kuna kitu anafahamu kuhusu Obama ambacho wao hawakijui? Wananchi wanaanza kuwa na wasiwasi mithili ya Mwalimu alivyomkosesha Mrema urais!

Yani anasema nchi hii cant be given to the dogs!

Na ile kutokuwa na imani mpaka dakika ya mwisho plus maneno aliyokuwa akiyatumia kama vile "Huyu jamaa hatumjui" "Huyu jamaa ni very weak kwenye kuwashughulikia magaidi" Iran ikiishambulia Israel tutaifuta duniani" "Huyu jamaa an sympathize na HAMAS" Rafiki wa magaidi" "Mchungaji wake ana mawazo ya kigaidi" etc etc!
Maneno ya kuleta hofu!

Issue ya kushusha kodi ya mafuta nayo ilimuua at a last minutes!
 
....mie na pozi swali hapa, je itakuwa jambo la busara kwa Obama kuweka HRC kwenye tiketi kama VP!!?? zingatia mgawantiko na animosity iliyopo ktk hizi primaries.....

binafsi, nasema yes and no....maelezo yatakuja baada ya kuona michango ya wengine.

asante and happy friday kwa wooooooote, kuanzia pwani ya bahari ya hindi mpaka kwa ile ya pacific...

Mama hataki U VP kwa kiburi cha awali cha wasaidizi wa karibu wa Obama waliokuwa wakishauri kuwa wakimteua Clinton kuwa makamu wale ma independent na Marepablikans walio cross over hawatawapigia kura tena!

Kwa kiburi waka twist lugha aliyoitumia Obama ya Reagan...(Pale alipoweka wazi kuwa Reagan aliweza kushinda kura za wote republicans+Dems na kumwamngusha vibaya Jimmy Carter, kuandika historia mpya) Na Licha ya kwamba Reagan alikuwa Republican..Bado mpaka sasa kuna Reagan Democrats kama ilivyo kwa Obama Republicans! Chuki ikaanza kuwa mbaya zaidi pamoja na kiburi...Mama aka SPIN na kudai kuwa Obama alimaanisha kuwa Reagan alikuwa rais mzuri kuliko Clinton! Hilo pia walilichukulia personal na kuanza kujikita pamoja na mambo mengine kudai kuwa maslahi ya chama hayafuatwi na kuwa Obama anasema Republicans ni chama kizuri na kilichofanikisha mambo mengi kuliko Democrats!

Kihistoria..Democrats ni chama kibaya kwa weusi! Hata hivyo...
Obama ujumbe wake umepelekea kupata coalition inayoeleka kuvuka mipaka yote na kujivunia sifa ya utaifa!

Tatizo la siasa kuwa mchezo mchafu..Mchezo ambao wenzetu wao wame ubrand "Political mudsliding" Na sisi tukatafsiri.."Kupakana Matope"

Sasa baada ya kuhakikisha mgawanyo umeshakubali then akaanza kuwalaghai wale independents na republicans kwa kushirikiana na Rush Limbaugh!

Kwamba yeye ndiyo strong kwenye vita dhidi ya waislam tofauti na Baraka Huseni!
Ku create fikra kwamba huyu ni sambamba tu na kina Huseni Saddam Osama!

Kwamba hata hilo kanisa lake ni lakiugaidi gaidi tu! "Huoni walivyofurahia 911?" Anaendelea kudai Mama!

Kwani na yeye si aje hapa apige kilauri na ma tequila shots na ma crown royall kama kweli si msilam? "Huko PA"

Obama hakusita na yeye akakamata Budwiser!
Yani ni vituko ambavyo vinapelekea mijadala muhimu kuwekwa kando!

Superdelegates wamegoma!

Mama inawezekana akapewa U VP baadae!

Ila ansubiri shinikizo la kujitoa liwe kubwa halafu aanze kuomba sympathy kuwa anaonewa yeye kama mwamke mweupe dhidi ya mweusi!

Anaweza kuwauliza...Hivi kweli mnampa huyu Mkenya nafasi mnaniacha mimi CLINTON?

Kama akiwa na roho ngumu sana then watamweka jamaa moja ambaye alikuwa republican before!

NB:Hakuna cha ma white blue workers wala nini..Nilishawahi kufukuzwa live huko Pennyslvania kwasababu tu ni mweusi!

West Virginia is the same matter!

Pia kuna mpango wa siri wa Republican kutaka mvutano uendelee kwa maslahi yao!

Kuna baadhi ya States ambazo wanaruhusiwa ku vote as Democrats na Rush Limbaugh pamoja na wanasiasa wengine ndani ya republikans wenye ushawishi mkubwa kwa wanachama kuendelea kuwashinikiza wampigie kura Mama ili kuendelea kudelay muda wa kumpata nominee!

Sasa nashindwa kushangaa Mama na yeye wala hajali!

Kutokana na hilo kuna mvutani mzito hivi sasa!
Wanachama wengine wenye ushawishi mkubwa ndani ya chama na wenye kuamini kuwa Obama hatakiwi kumteua Mama kwenye U VP! Watu kama kina Ted Kennedy wa Massachussets ambaye licha ya kampeni nzito..Alishuhudia mama akipull state yake mbele ya macho yake kwa kutumia siasa za hofu na za kibaguzi!

Wanadai kama Clinton angekuwa sio polarizing na baguzi then asingekuwa na roho ngumu kiasi hicho! Kuignore fact kuwa democrats wana asilimia 50 ambao ni wanachama weusi huku Mama akionyesha kutojali kwasababu anajua atawazima kwa takrima kama walivoweza kwa kina Andrew Young na wenzake! Tatizo hapa they(weusi) now have a viable candidate!
 
Unasoma mabandiko huh!
Kweli bado uko Juu ya MUTI!

....ulivyoandika hiyo "MUTI" umenikumbusha bar flani pale Sanawari-Arusha, inaitwa CHINI YA MUTI.....sijui kama bado ipo, lakini wakati wa high school nakumbuka mie na 'chamaa' wangu tulikuwa tunaburudika wakti wa wkends!!.
 
....ulivyoandika hiyo "MUTI" umenikumbusha bar flani pale Sanawari-Arusha, inaitwa CHINI YA MUTI.....sijui kama bado ipo, lakini wakati wa high school nakumbuka mie na 'chamaa' wangu tulikuwa tunaburudika wakti wa wkends!!.
Kwi kwi kwi..Wazee wa BARAKUDA! Chini ya MUTI! Kwa wazee wa six Battallion etc etc!
 
......LOL, nasikia baracuda pamefungwa!! lakini Jogoo House (karibu na stand ya Dar) bado ipo, hapo ilikuwa kwa nyama ya mbusi.....ubavu mzima kwa buku tu, yum yum!! Soweto Garden.....etc etc

Enzi hizo debe ni Rosta, Arusha by Night, Clouds(kijenge), 77 hotel na baadae pale Crystal Club, kwa ndani hivi lakini opposite na Metro.......Arusha ilikuwa tamu sana mazee!!.
 
....naona Uncle Teddy(fat head) senior senator (D-Mass), anasema hakuna kumpa HRC u-vice president!! politico inaripoti.......Okay, Okay, Nyani & Co anzeni kuandika Orbituary ya HRC mana naona hii ni political death, probably ndio maana labda hataki kuachia ngazi!!!
 
....naona Uncle Teddy(fat head) senior senator (D-Mass), anasema hakuna kumpa HRC u-vice president!! politico inaripoti.......Okay, Okay, Nyani & Co anzeni kuandika Orbituary ya HRC mana naona hii ni political death, probably ndio maana labda hataki kuachia ngazi!!!

Kwani nani alisema fighter anataka u-VP? Yaani tayari mmeshahesabu kwamba Obama ni Rais? Hujamsikia leo mayor wa New York anasema Obama hawezi kushinda utais wa Marekani?

Hizo nyodo zenu ndio zinamfanya figher aendelee kubaki kwenye race. Obama mmwenyewe ameshaomba sana kuwa muache nyodo maana fighter ana lundo la wapambe, wakinuna wakaacha kupiga kura kwa Obama hawezi kukatiza November
 
....naona Uncle Teddy(fat head) senior senator (D-Mass), anasema hakuna kumpa HRC u-vice president!! politico inaripoti.......Okay, Okay, Nyani & Co anzeni kuandika Orbituary ya HRC mana naona hii ni political death, probably ndio maana labda hataki kuachia ngazi!!!

Anajua hilo mapema na ndio maana anataka damu itoke kwenye mpambano!
U VP mpaka kieleweke sasa!
Wao wanamwomba agombee next time na sasa aende kwenye u governor! Mama hataki kusikia kitu kama hiyo!

Kama hatapewa deal haendi mahali! Keep my words!

Anataka umuhimu wake na historia ya "Clintons" iwe preserved!
 
Nimeanza kugundua Obama supporters kwenye hii forum wana-treat hii nomination process ki-CCM. Wanafikiri ukipata nomination ya CCM basi umepata urais!
 
Nimeanza kugundua Obama supporters kwenye hii forum wana-treat hii nomination process ki-CCM. Wanafikiri ukipata nomination ya CCM basi umepata urais!

If you get specific then we might be able to understand each other on the subject!
 
Nimeanza kugundua Obama supporters kwenye hii forum wana-treat hii nomination process ki-CCM. Wanafikiri ukipata nomination ya CCM basi umepata urais!
Kitila uelewe hili..Kuchoshwa kwa wananchi na sera za Bush ndio kulikopelekea upepo wa kisiasa upande wa Democrats...Na ndio maana mama haendi mahali kwasababu base on the reality..Kizingiti kwa Democrats ni primaries!(Obama)

Mimate inavyomtoka mama na tamaa kuongezeka vinapelekea yeye kuendelea kubaki kwani anaamini kuwa uchaguzi mzito kwake ni huu na si general election!

Tamaa zake na ukweli huo wa wananchi kutaka mabadiliko..Vinamfanya mama aamini kuwa hawezi kumtengea Jaluo ubwabwa, amnawishe na mikono then kumlisha!?

Yani hata ule uchaguzi mdogo walikomba kura nyingi na sit nyingi tu za congress na senate!
Na kura za maoni zilikuwa zikionyesha kuwa uchaguzi ukifanyika leo hii Republicans watabwagwa chini kama kiazi ya moto!
Hivyo basi ndio maana unaona kuna hali kama hiyo!
Ila umenichekesha sana na hiyo kauli yako ya ki-CCM!
 
Na kwa CCM pia si ni kweli kuwa nominee wao yuko gurantee kupata uraisi?
We hukumbuki kampeni za Mwalimu kumnandi Mkapa ndani ya Chama ikawa ndo kama keshapata urais?
Hapa sio hivyo hata kidogo!
Ni tofauti na tukipata muda tutaeleweshana!
 
Kwani nani alisema fighter anataka u-VP? Yaani tayari mmeshahesabu kwamba Obama ni Rais? Hujamsikia leo mayor wa New York anasema Obama hawezi kushinda utais wa Marekani?

Hizo nyodo zenu ndio zinamfanya figher aendelee kubaki kwenye race. Obama mmwenyewe ameshaomba sana kuwa muache nyodo maana fighter ana lundo la wapambe, wakinuna wakaacha kupiga kura kwa Obama hawezi kukatiza November

....kaka vipi?? nani kasema BO tayari kesha kuwa rais? tunaongelea VP kwenye ticket, haina haja ya kupindisha maneno!!

kwanza yule ni ex-mayor na sio MAYOR wa sasa ( unaweza kupotosha watu hapo), ni mizao ya rev. wright, ni supporter wa HRC etc ana haki ya kusema vyovyote atakavyo...lakini Ed Koch yupo out of touch, ex-Gov Cuomo nae out of touch!! hiyo gang ya mafia wa NYC yote ipo out of touch, kila kitu ni Italian, Irish au Jewish na kinyume cha hapo watatafuta sababu........hivi unajua visa ambavyo tayari wamesha mfanyia Gov. Patterson( mrithi wa Spitzer)!!??
 
Nimeanza kugundua Obama supporters kwenye hii forum wana-treat hii nomination process ki-CCM. Wanafikiri ukipata nomination ya CCM basi umepata urais!

.....exaggrated generalization!! kitila sie wengine sio politicians, sasa ukianza ku-spin "kisiasa" mambo ktk mjadala kama huu unakuwa unatuonea sisi wengine.......ninavyojua mimi GE itakuwa ngumu pengine zaidi ya hizi primaries!! na nina uhakika kwamba Obamaniacs hapa JF wanajua kupata nomination ya Dem sio kupata urais wa US.......

polepole na hizo Gennuines sijui nini.....LOL.
 
.....exaggrated generalization!! kitila sie wengine sio politicians, sasa ukianza ku-spin "kisiasa" mambo ktk mjadala kama huu unakuwa unatuonea sisi wengine.......ninavyojua mimi GE itakuwa ngumu pengine zaidi ya hizi primaries!! na nina uhakika kwamba Obamaniacs hapa JF wanajua kupata nomination ya Dem sio kupata urais wa US.......

polepole na hizo Gennuines sijui nini.....LOL.

Nimeshamueleza pia kuwa the asumption and the notion that being a dem nominee is close to become or maybe be even being perceived as a "Presumptive president" is primarily being derived from the fact that there's clear tardiness to the current administration together with its party!

Hiyo inawapa confidence kwamba pagumu ni primaries na hapo republicans wanajua hilo na ndio maana wanataka waendelee kukwama in any meansa neccessary!

Unashangaa Mc anataka kurelate na moderates zaidi ya far right conservative people ili kuanza kuila kambi ya Dems mapema mapema kujidai kwamba na yeye ni candidate of change!

The need for change in American politics has made this notion and assumption possible!

NB: Mc Cain na yeye anataka kuanza kampeni chafu kwasababu anajua kama si kampeni chafu hata mama asingefikia hapa alipo!
Na kwasababu anajua hilo hataki makubaliano ya kampeni safi yaendelee!
Ana spin na kudai uwa Obama ana mbagua kwa madai ya uzee pale alipotoa kauli ya "bearing"
Watu wanajiuliza je KKK wanaomsapoti Mc Cain ieleweke vipi?
Je na yeye alaumiwe kwa hilo?
 
Kura za wana democrat zilikuwa nyingi na pengine zaidi ya mara mbili ama tatu za kura republikans..Hivyo wanajua there's no way Dems watashindwa next election unless waharibu wenyewe kama mama anavyofanya now!
 
Nimeshamueleza pia kuwa the asumption and the notion that being a dem nominee is close to become or maybe be even being perceived as a "Presumptive president" is primarily being derived from the fact that there's clear tardiness to the current administration together with its party!

Hiyo inawapa confidence kwamba pagumu ni primaries na hapo republicans wanajua hilo na ndio maana wanataka waendelee kukwama in any meansa neccessary!

Unashangaa Mc anataka kurelate na moderates zaidi ya far right conservative people ili kuanza kuila kambi ya Dems mapema mapema kujidai kwamba na yeye ni candidate of change!

The need for change in American politics has made this notion and assumption possible!

NB: Mc Cain na yeye anataka kuanza kampeni chafu kwasababu anajua kama si kampeni chafu hata mama asingefikia hapa alipo!
Na kwasababu anajua hilo hataki makubaliano ya kampeni safi yaendelee!
Ana spin na kudai uwa Obama ana mbagua kwa madai ya uzee pale alipotoa kauli ya "bearing"
Watu wanajiuliza je KKK wanaomsapoti Mc Cain ieleweke vipi?
Je na yeye alaumiwe kwa hilo?

..true, true! lakini ni notion mbaya sana kuikumbatia kwani can be used against whoever the Dem nominee is.....issue hapa ni issues na sio kujisahau kwa kusema kwamba americans wamechoka and therefore its obvious that, they will vote Dem come November......that will be a fatal mistake, yaani kama kuna wapiga kura pumbavu ktk dunia hii basi wa TZ na US ndio wapo on top....sijui ni wepi wanaowazidi wenzi wao, maana bongo hawapo well informed then wanaboronga...hawa wa huku wanakila kitu na infos zote lakini kwa kuboronga pia hawajambo!!
 
Back
Top Bottom