Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,139
- 136,962
....go where, nyani ngabu!!?? primaries kwisha last night kilichobaki ni fujo tu toka kwa billary!! sore loser, aibu sana.
...naona wanazidi kujikopa wenyewe, sijui watapata wapi pesa ya kujilipa??
...former senator McGovern(billary supporter) ameshapendekeza "fighter" ajitoe!!!
...wame-run kampeni kama wapo in 90's, dunia imebadilika, watu hawataki fighters bali wanataka uniters na compromisers!! watu wanataka kuambiwa ukweli na sio pandering, ku-pin watu kwenye gaffes na associations za mbali ambazo hazitabadilisha maisha yao ktk wakti huu mgumu........
poleni sana NN na buraza KK....sisi tunasema, "change we can believe in, yes we can"!!.
Mimi siwezi hii back and forth ya mipasho! Nimechoka! I'm tired man