US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

....go where, nyani ngabu!!?? primaries kwisha last night kilichobaki ni fujo tu toka kwa billary!! sore loser, aibu sana.
...naona wanazidi kujikopa wenyewe, sijui watapata wapi pesa ya kujilipa??
...former senator McGovern(billary supporter) ameshapendekeza "fighter" ajitoe!!!
...wame-run kampeni kama wapo in 90's, dunia imebadilika, watu hawataki fighters bali wanataka uniters na compromisers!! watu wanataka kuambiwa ukweli na sio pandering, ku-pin watu kwenye gaffes na associations za mbali ambazo hazitabadilisha maisha yao ktk wakti huu mgumu........

poleni sana NN na buraza KK....sisi tunasema, "change we can believe in, yes we can"!!.

Mimi siwezi hii back and forth ya mipasho! Nimechoka! I'm tired man
 
.....sawa mkuu, mshauri basi na mama yako ajitoe ili debate ibadilike.....

Mkuu nafikiri Billary wanatafuta exit strategy ambayo itakuwa somewhate graceful..I believe maneno ya pundits wanaosema the next Primary ata show up pamoja na Barack on the same stage na ku anza ku spin maneno matamu na how tough Barack is and how good of the campaigner he is. I am hoping Obama camp sasa hivi hawapokei simu zozote zinazotoka kwa Clinton camp kwa sababu wana leverage, na kama mama anataka kuendelea kuadhirika (pay more of her own $$$ ku fund campaign yake) na kukigawa chama, they can let her do that na Camp Obama ikawa focused na general election.
 
Mkuu nafikiri Billary wanatafuta exit strategy ambayo itakuwa somewhate graceful..I believe maneno ya pundits wanaosema the next Primary ata show up pamoja na Barack on the same stage na ku anza ku spin maneno matamu na how tough Barack is and how good of the campaigner he is. I am hoping Obama camp sasa hivi hawapokei simu zozote zinazotoka kwa Clinton camp kwa sababu wana leverage, na kama mama anataka kuendelea kuadhirika (pay more of her own $$$ ku fund campaign yake) na kukigawa chama, they can let her do that na Camp Obama ikawa focused na general election.

Unajua kuingia kwenye race ni rahisi kuliko kutoka, nina uhakika sasa hivi Billary wanatafuta mlango wa kutokea bila kuonyesha kuwa wameumia na kubwagwa na bwana mdogo kutoka IL. It is hard for Clintons to take defeat lakini waungwana wanasema kila kitu kina mwanzo na mwisho wake and I think its about time wakataste defeat.

Earlier on nilikuwa naangalia TV kuna jamaa kasema kama Mama na Bill wakimback Obama, ataanza kuraise money kulipia campaign ya Clinton na kumlipa Mark Penn.
 
YN you are right but unfortunately, kwenye uraisi ni kama mpira hakuna mshindi wa pili despite the mamoth efforts invested in the game.... Iam not blaming Donna as such, but reality is she didnt propel Al Gore to the ultimate prize. Huo wizi wa kura FL na mengineyo yatabakia ni conspiracy theories..deep down ni kwamba we had terrible years za Bush! na kwa sababu ndo yeye alilipwa afanye hiyo kazi..basi hatuna budi kukosoa tactics zake. Someone would ask you..kwa nini Gore hakushinda kwao TN.....etc..

As to the dirty campaign, well Iam not a political fun as such (though nalazimika, maana politics zinaniaffect maisha yangu directly na indirectly-so i have to be in the game..)..A theory is worthy a name kama imeshakuwa tested na kupita. Kwa hiyo kijana mwenzetu Jaluo tutajua tactics zake ni murua in November akiclaim prize (akishindwa, utaona hao hao CNN na MSNBC... watakavyoanza kubondea tactics za jamaa..kwamba people cant eat empty words) Deep down the road..kila mtu anataka kujiassociate na mshindi. Period! Mpaka leo unaambiwa Kerry alikosa uraisi kwa kuwa swift boated..well maybe yes, maybe no....but ukweli ni kwamba Kerry alishindwa which means that, Bush was a better campaigner and politician for that matter than Kerry.

So far what I know, at least is OBAMA IS A BETTER POLITICIAN THAN HILLARY! mengineyo wanayoyasema sijui nini..its just a crap..kijana ni moto..sasa tunataka hiyo message iuzike to help Dems in November. Basi!

I have never been a fun of Republicans (with the exception kwamba we are all pro-life) Basi!
 
Unajua kuingia kwenye race ni rahisi kuliko kutoka, nina uhakika sasa hivi Billary wanatafuta mlango wa kutokea bila kuonyesha kuwa wameumia na kubwagwa na bwana mdogo kutoka IL. It is hard for Clintons to take defeat lakini waungwana wanasema kila kitu kina mwanzo na mwisho wake and I think its about time wakataste defeat.

Earlier on nilikuwa naangalia TV kuna jamaa kasema kama Mama na Bill wakimback Obama, ataanza kuraise money kulipia campaign ya Clinton na kumlipa Mark Penn.

Mkuu swala la pesa kwa Clinton is a non issue..those people have gazzilion of millions than kulinganisha na average american who has ever held a public office. So swala la pesa naona halina mashiko kabisa..hata kama angejikopesha million hamsini..sidhani kama ni big deal......Swala ni je..kuendelea kwa huyu mama kwenye hii race..si itazidi kuwadivide Dems? maana whether we like it or not..mama has a very solid constituent ambayo BO hawezi risk hata siku moja kui undermine..perhaps mi naona wazee wamuingie Bill Clinton mwenyewe...amshauri mama adrop for the sake of the party..otherwise mi naona hii game ni mwendelezo wa usanii wa siasa za USA, mtahand hii election ikwa makeni muanze kuulizana maswali come..November 5th.....Realistically OBAMA needs a united Democratic party behind him NOW not Tommorrow..no more no less..bado kuna mizungu yenye ego sana..itahitaji kuwa convinced kikweli kweli kwamba nchi yao akipewa mweusi itazidi kuwepo...I hope all supporters wa Dems wanalijua hili.....Na lazima mujue mnadeal na mwanamke ambaye anaweza kuona kila akiambiwa adrop..anafanyiwa male chauvinism....but I agree she needs to go, soon than later.
 
Mkuu swala la pesa kwa Clinton is a non issue..those people have gazzilion of millions than kulinganisha na average american who has ever held a public office. So swala la pesa naona halina mashiko kabisa..hata kama angejikopesha million hamsini..sidhani kama ni big deal......Swala ni je..kuendelea kwa huyu mama kwenye hii race..si itazidi kuwadivide Dems? maana whether we like it or not..mama has a very solid constituent ambayo BO hawezi risk hata siku moja kui undermine..perhaps mi naona wazee wamuingie Bill Clinton mwenyewe...amshauri mama adrop for the sake of the party..otherwise mi naona hii game ni mwendelezo wa usanii wa siasa za USA, mtahand hii election ikwa makeni muanze kuulizana maswali come..November 5th.....Realistically OBAMA needs a united Democratic party behind him NOW not Tommorrow..no more no less..bado kuna mizungu yenye ego sana..itahitaji kuwa convinced kikweli kweli kwamba nchi yao akipewa mweusi itazidi kuwepo...I hope all supporters wa Dems wanalijua hili.....Na lazima mujue mnadeal na mwanamke ambaye anaweza kuona kila akiambiwa adrop..anafanyiwa male chauvinism....but I agree she needs to go, soon than later.

Nasikia Hillary anakutana na baadhi ya Superdelegates leo hapo DC..wanadai sio crisis meeting bali ni regular meeting.

Nakubaliana na wewe Obama anahitaji United Democratic Party, lakini swali linakuja Mama yuko tayari kuachia ngazi au ndio nataka kwenda mpaka primary ya mwisho?
 
masanja,
nimekupata mkuu....lakini hizo politics za bottomline ni ushindi tu na ushabiki ulokithiri ndio zinatuletea matatizo hapa, huko bongo na dunia kwa ujumla. seems like kuna kundi kubwa tu la wamarekani limeshastukia na ndilo hilo linalomuunga mkono Obama...in an effort to defeat political machines and hopefully to change washington D.C.....

kama unaweza kupata toleo la May 12 la newsweek au online kwenye www.newsweek.com basi soma makala ya Fareed Zakaria juu ya marekani inavyopoteza influence yake hapa dunia.....moja ya sababu ni hizi politics za redsox against yankees na curse ya babe ruth, hahahahaha!! binafsi sipo comfortable na idea ya kuwa na China and/or India kama superpower(s)!!

huyu jaluo ni hope ya kurudisha heshima ya US
 
.....sawa mkuu, mshauri basi na mama yako ajitoe ili debate ibadilike.....

Ajitoe kwa nini wakati kuna majimbo mengine bado hayajapata nafasi ya kuchagua? Mbona nyinyi mnapenda ushindi wa kirahisi rahisi. Sijui mkoje tu nyinyi? Agghh....mnakera sana wakati mwingine...
 
Ajitoe kwa nini wakati kuna majimbo mengine bado hayajapata nafasi ya kuchagua? Mbona nyinyi mnapenda ushindi wa kirahisi rahisi. Sijui mkoje tu nyinyi? Agghh....mnakera sana wakati mwingine...

..nyinyi hampendi kushindwa?
 
Ajitoe kwa nini wakati kuna majimbo mengine bado hayajapata nafasi ya kuchagua? Mbona nyinyi mnapenda ushindi wa kirahisi rahisi. Sijui mkoje tu nyinyi? Agghh....mnakera sana wakati mwingine...

Numbers don't lie!!!
 
Nasikia Hillary anakutana na baadhi ya Superdelegates leo hapo DC..wanadai sio crisis meeting bali ni regular meeting.

Nakubaliana na wewe Obama anahitaji United Democratic Party, lakini swali linakuja Mama yuko tayari kuachia ngazi au ndio nataka kwenda mpaka primary ya mwisho?

msee,
nimemwona Terry McAuliffe mapema akiongea.....hakuna dalili za billary kujitoa na ndio kwanza kimama kilikuwa kina kampeni Shepperdstown, WV............hii kitu imelala, billary wataenda mpaka mwisho!!.
 
msee,
nimemwona Terry McAuliffe mapema akiongea.....hakuna dalili za billary kujitoa na ndio kwanza kimama kilikuwa kina kampeni Shepperdstown, WV............hii kitu imelala, billary wataenda mpaka mwisho!!.

Thats whats up!!
See y'all in Denver
 
msee,
nimemwona Terry McAuliffe mapema akiongea.....hakuna dalili za billary kujitoa na ndio kwanza kimama kilikuwa kina kampeni Shepperdstown, WV............hii kitu imelala, billary wataenda mpaka mwisho!!.

..she is living her fantasy!

..at least it's obvious they are on suicide mission!
 
Back
Top Bottom