Urusi yaunda nchi ya tatu ndani ya Ukraine

Urusi yaunda nchi ya tatu ndani ya Ukraine

Warusi walipoichukua Crimea Ukraine ilikata maji kwenda Crimea. Toka inyakuliwe Crimea ina shida kubwa ya maji. Sasa mto Dnipier ambako mfereji wa kwenda Crimea umechepushwa unapita Kherson kuingia baharini.

Itakuwa warusi wanalitaka hilo jimbo kwaajili ya uhakika wa hayo maji.
 
Issue ni kumaintaine ulinzi maana ushatengeneza adui wa kudumu
 
Ujerumani ilipigwa kwa miaka sita hadi ikagawanyika mara mbili. Mwaka wa kwanza na wa pili walikuwa wanashinda wao, Urusi haijavuna ilichopanda tuipe miaka angalau miwili. Vita itashinda, consequences itapata
Lala endelea kuota hakuna nchi yoyote ya ulaya inataka kupigana vita Kwa kipindi kirefu ivyoo watarudi wenyewe kwenye meza ya mazungumzo tu na watamuomba
 
Halaf watakuja wale pro fulani fulani watakwambia RUSSIA wanapigwa ama wamepigwa.

Yaani kwampaka hapa hii OP imeishafanikiwa kwa %90 maana sioni hio kura ikienda kinyume na matakwa ya KREMLIN DUMA na PUT IN.

Nahilo eneo sijalifatilia kibinafsi ila nasikia nieneo lakimkakati sijajua kwenye angle gani?

Sema hii OP itaongeza sana umaarufu wa RUSSIA hapa DUNIANI jamaa kaichapa UKRAINE mbele ya wanaojiona ma GIANT tena mbaya zaidi waliochapwa wapo ndani ya ULAYA nawalikua wanaandaliwa kwamalengo fulani fulani dhidi ya RUSSIA ila ilipofikia kuchapwa jamaa zake wamemkwepa kama hawamuoni.

RUSSIA inatakiwa iendelee kutoa doze kisawa sawa mpaka kieleweke. Nakwahiki kinachoendelea UKRAINE wale wanaongojea FINI na SWED kujiunga na NATO mtangojea sana.

RUSSIA sio ZIMBABWE
Huu ujumbe ushamfikia Sweden na Finland,
Sidhan Kama watakwenda kufanya upumbavu was Aina yoyote kugharimu maisha ya Raia wao Kama alivyofanya Zelensky
 
Serikali ya shirikisho la Urusi inaandaa kura ya maoni itakayolifanya jimbo la Kherson kuwa nchi kamili

Mpaka sasa kura hiyo inatarajiwa kuungwa mkono na wapiga kura zaidi ya 95% kutokana na ukweli kuwa wakatoliki-waukraine wa eneo hilo kwa sasa washasepa zao.

Endapo kura hiyo ikienda kama ilivyopangwa basi Kherson itakuwa nchi ya tatu kufanikiwa kuundwa ndani ya Ukraine

Uhuru wa hili jimbo utawezesha kupatikana kwa daraja la ardhini kwenda Crimea kitu ambacho Putin anakihitaji ili kulinda mabomba ya mafuta na logistics routes dhidi ya kitisho cha NATO.
don't it easy, russia alitegwa aingie ndani sasa ulizia mkon'goto anaopata ataunda nchi saa ngapi
 
UKRAINE anapelekewa moto saanaaa ila hizo habari nichache sana tunazozipata miongoni mwa nyingi zilizopo
Anatakiwa aendeleee kula kichapo ili ajue siku nyengine kama kuna wakubwa!!!!!
Kichapo kiendelee[emoji4]
 
ipo siku urusi itafanywa hv hv , Putin anawafundisha maadui nn.cha kumfanya siku za usoni
Huu mchezo kauanza USA kwa kuivuruga UMOJA WA KISOVIETI

hizo Poland,Ukraine, Finland,sweden, Belarus, Hungary,cosovo n.k zote zilikua ndio urusi ya Zamani.

Marekani kawafarakanisha mpk wametangana kabisa na urusi

Na next move ilikua Ni Ukraine ili azidi kuivuruga zaidi urusi.

Anachokifannya sasa urusi Ni kuspare damage ilosababishwa na USA na kuyarudisha majimbo yake nyumban[emoji4]
 
Watu wabishi sana, tunawaambia kila siku hawaelewi!
Huyu Mrusi anaviziwa, akija kushtuka atakuta majeshi ya NATO yapo Moscow, hapo ndio watajua kuwa Amerika sio watu wa kuwachezea.
Weh ngoja tu!
Vilaza bana yani wew unajua kuliko intelijensia ya urusi wew upo mwembe yanga unajua kuliko Putin brain washed mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom