Keyboard_Warrior
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 6,302
- 10,982
Watu wabishi sana, tunawaambia kila siku hawaelewi!Nchi za Magharibi wamesena kuwa Putin thinks he is winning the war!!!
Angalia hilo neno "Thinks" kama akili.mtu anazo anaelewa
Huyu Mrusi anaviziwa, akija kushtuka atakuta majeshi ya NATO yapo Moscow, hapo ndio watajua kuwa Amerika sio watu wa kuwachezea.
Weh ngoja tu!