Urusi yaunda nchi ya tatu ndani ya Ukraine

Urusi yaunda nchi ya tatu ndani ya Ukraine

We jamaa unaandika hivi ukiwa dunia ipi Crimea ya Sasa inaelekea kuwa ya vituo vya kijeshi vya Russia tu. Hata raia wanahama wenyewe kuepuka kuwa karibu na makambi hayo ya kirusi.
UKRAINE imeshavuka mpk wa Russia inaenda kuiteka Moscow.Putin anapiga simu kwa viongozi wa dunia kuomba Zelensky asimfanyie hivyo.
 
Shida ni kuwa Putin siyo jiwe, hayo yalishatokea huko awali then yakajirudia Kama ilivyo Sasa...bila ya Uhuru wa wananchi hizo zote ni kazi bure.
 
Serikali ya shirikisho la Urusi inaandaa kura ya maoni itakayolifanya jimbo la Kherson kuwa nchi kamili

Mpaka sasa kura hiyo inatarajiwa kuungwa mkono na wapiga kura zaidi ya 95% kutokana na ukweli kuwa wakatoliki-waukraine wa eneo hilo kwa sasa washasepa zao.

Endapo kura hiyo ikienda kama ilivyopangwa basi Kherson itakuwa nchi ya tatu kufanikiwa kuundwa ndani ya Ukraine

Uhuru wa hili jimbo utawezesha kupatikana kwa daraja la ardhini kwenda Crimea kitu ambacho Putin anakihitaji ili kulinda mabomba ya mafuta na logistics routes dhidi ya kitisho cha NATO.
Yaani utangaze nchi kwa vijiji 42 vya Mariupol ambavyo kwa muda huu Ukraine wako busy kuokoa raia na wakimaliza tu wananchi kuokolewa Stinger kama kawaida., Putini ameuwa akili za watu wengi ambao hawana akili kama yeye
 
Back
Top Bottom