Urusi yaunda nchi ya tatu ndani ya Ukraine

Urusi yaunda nchi ya tatu ndani ya Ukraine

Bado iko UKRAINE chini ya Zelensky, Russia dhaifu mnoooo haina ubavu wa kuichukua crimea.
Sasa hivi Russia kapeleka asilimia kubwa ya wa majeshi wa Urusi kawapeleka vitani Mariupol na maeneo ya Donbas baada ya kuona mziki mzito

Kwingine kwa sasa kutupu sana

Saa yeyote Ukraine watamdondoshea kitu kingine kizito Russia zaidi ya kike kizito walipiga meli yake ya kivita

Putin kapaniki hasa
 
Ujerumani ilipigwa kwa miaka sita hadi ikagawanyika mara mbili. Mwaka wa kwanza na wa pili walikuwa wanashinda wao, Urusi haijavuna ilichopanda tuipe miaka angalau miwili. Vita itashinda, consequences itapata
 
Halaf watakuja wale pro fulani fulani watakwambia RUSSIA wanapigwa ama wamepigwa
Yaani kwampaka hapa hii OP imeishafanikiwa kwa %90 maana sioni hio kura ikienda kinyume na matakwa ya KREMLIN DUMA na PUT IN
Nahilo eneo sijalifatilia kibinafsi ila nasikia nieneo lakimkakati sijajua kwenye angle gani
Sema hii OP itaongeza sana umaarufu wa RUSSIA hapa DUNIANI jamaa kaichapa UKRAINE mbele ya wanaojiona ma GIANT tena mbaya zaidi waliochapwa wapo ndani ya ULAYA nawalikua wanaandaliwa kwamalengo fulani fulani dhidi ya RUSSIA ila ilipofikia kuchapwa jamaa zake wamemkwepa kama hawamuoni
RUSSIA inatakiwa iendelee kutoa doze kisawa sawa mpaka kieleweke
Nakwahiki kinachoendelea UKRAINE wale wanaongojea FINI na SWED kujiunga na NATO mtangojea sanaaaaa
RUSSIA sio ZIMBABWE
nilikuwa nafatilia hapa aljazra naona special second Russian force operation on the way to ukrain Russia kaamua yaana kila Kona ya ukrain Ni mwendo wa kichapo tu
 
Ujerumani ilipigwa kwa miaka sita hadi ikagawanyika mara mbili. Mwaka wa kwanza na wa pili walikuwa wanashinda wao, Urusi haijavuna ilichopanda tuipe miaka angalau miwili. Vita itashinda, consequences itapata
Mkuu T14 Armata umekimbilia huku njoo kule kwenye uzi wetu ....bhana ....

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
 
nilikuwa nafatilia hapa aljazra naona special second Russian force operation on the way to ukrain Russia kaamua yaana kila Kona ya ukrain Ni mwendo wa kichapo tu
UKRAINE anapelekewa moto saanaaa ila hizo habari nichache sana tunazozipata miongoni mwa nyingi zilizopo
Anatakiwa aendeleee kula kichapo ili ajue siku nyengine kama kuna wakubwa!!!!!
 
Sasa hivi Russia kapeleka asilimia kubwa ya wa majeshi wa Urusi kawapeleka vitani Mariupol na maeneo ya Donbas baada ya kuona mziki mzito

Kwingine kwa sasa kutupu sana

Saa yeyote Ukraine watamdondoshea kitu kingine kizito Russia zaidi ya kike kizito walipiga meli yake ya kivita

Putin kapaniki hasa
Jaribu kupunguza ujuaji ni asilimia 14 tu ya jeshi la Urusi ndio wapo wanapigana vita ndani ya Ukrain.
 
Serikali ya shirikisho la Urusi inaandaa kura ya maoni itakayolifanya jimbo la Kherson kuwa nchi kamili

Mpaka sasa kura hiyo inatarajiwa kuungwa mkono na wapigakura zaidi ya 95% kutokana na ukweli kuwa wakatoliki-waukraine wa eneo hilo kwa sasa washasepa zao

Endapo kura hiyo ikienda kama ilivyopangwa basi Kherson itakuwa nchi ya tatu kufanikiwa kuundwa ndani ya Ukraine

Uhuru wa hili jimbo utawezesha kupatikana kwa daraja la ardhini kwenda Crimea kitu ambacho Putin anakihitaji ili kulinda mabomba ya mafuta na logistics routes dhidi ya kitisho cha NATO
Naomba ramani ya ka nchi ako
 
Back
Top Bottom