for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,397
- 4,445
Mkuu wewe ni wanted kule tunataka utueleza kwanini mlisema urusi inaishiwa chakula baada ya siku zijazo ilihari inatoa kichapo na kugawa chakulaKule kuna ubishi usio wa msingi na siwezi kaa uzi mmoja tu ambao 90% yake ni taarifa. Sasa huo muda si nautumia kupata taarifa media nyingine na kufanya mijadala.
Sikwenda kule kupata taarifa, nilienda kuchangia maoni ambayo si lazima niwepo kila muda. Mwanzoni nilitelekeza nyuzi nyingine nikijua wiki mbili tu wanamaliza, sasa leo siku ya 55 sijui na hawana dalili