- Thread starter
- #81
Mpe vyako!! Kijimama cha kizanzibar kinawahenyesha wabara na bado mtakoma,tshirt za 2025 zipo zinachapishwa mtapewa2030 ufike na nani? Mama viatu havimtoshi.
Mpe vyako!! Kijimama cha kizanzibar kinawahenyesha wabara na bado mtakoma,tshirt za 2025 zipo zinachapishwa mtapewa2030 ufike na nani? Mama viatu havimtoshi.
Hili kumbe zuzu navyokwambia hapa hakuna mwananchi bukoba anafata bidhaa muhimu mjini zote zipo vijijini yaani kuna ma hardware na kila kitu!! Bukoba ni hbr nyingine nyie pambana na Samia ila nae kwa akili hizi hammuweziUnajifariji wewe taahira unafikiri huko hatupajui! Duka gani la jumla huko? Endeleeni na ujuaji na upumbavu ndo mnaouweza!
Bx wewe upo burundi si tz maana huo ndo mpango mzima na ccm tyr wanachapisha tshirt za 2025 sijui wtz hamnaga nguo!!?Umekariri!? Sijawahi kuvaa fulani wala kofia ya chama chochote nchini zaidi ya kupiga kura siku ya uchaguzi. Hivi Samia alikuwa anahonga watu tshirt na sukari!? Sikuwahi kujua hili.
Wewe usitetee uozo alisikika kabisa alixungumzia rushwa na akaagiza wasizidishe Hadi kuvimbiwa. Alisema anajua wanaendelea lakini wasizidishe! Rais alihamasisha rushwaUrefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Acha wale!!! Nyie tshirt zenu ziko tyrKAMA KIONGOZI WA SERIKALI, UKISHASEMA ^KULA,^ HATA KAMA NI MUDA WA KUPANDA MITI, WATUMISHI NA VIONGOZI WAKO WATAJUA UNAWAAGIZA ^WALE PESA^ ZA UMMA!!!
Msimlishe Bi Mikopo maana tofauti na ile aliyoikusudia.
Andamana mnyamahanga wewe ukung'utweWewe usitetee uozo alisikika kabisa alixungumzia rushwa na akaagiza wasizidishe Hadi kuvimbiwa. Alisema anajua wanaendelea lakini wasizidishe! Rais alihamasisha rushwa
Kwa hiyo watu wote hawaelewi kiswahili ni wewe peke yako na hangaya mnaoongea misemo na mafumbo ya pwani........kama unafikiri Yesu kauli zake zilieleweka kwa kila mtu utakuwa na matatizo makubwa ya ufahamu wa maandiko kumhusu huyo Yesu ndo maana umediriki kumuita mungu kama ile miungu ya kwenu, akiwemo huyu mungu hangaya mnaemtubia dhambi zenu "nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana'Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Na kujipimia ni kuwa na kiasi ,kama kiswahili simple hicho watu hawaelewi akija na misamiati mingine ya Kizanzibar so ndio watapoteana mazima?Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Na kujipimia ni kuwa na kiasi ,kama kiswahili simple hicho watu hawaelewi akija na misamiati mingine ya Kizanzibar so ndio watapoteana mazima?
[/QUONa hawamuwezi
Utalia sana mpaka 2030,,mpka utapike sukari na tshirt ulizohongwa bwege wewe
Kwa kifupi amegundua ni walafiKabisa,kwamba wajipimie Kwa kiasi maana anajua kula wanakula!Basi wale Kwa kiasi🤣🤣
😁😁😁😁Ifikie mahali mkubali mnaempaka rangi tayari kashajimwagia oil chafu😅
kwani hiyo mishahara, posho na malupulupu mengine wanagawana ktk maofisi yao au mlipaji nimmoja? nakama wanalipwa na taasisi moja kila moja kwakiwango chake kutokana na mkataba wa ajira yake uvimbiwaji utakua ofisini au nyumbani kwake?Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Ubaguzi ulienda na mrundi mwenzio. Wewe bado unatambaa Tu cockroach Rudi Burundi kwenuAndamana mnyamahanga wewe ukung'utwe
Kama usemavyo ndivyo alivyomaanisha lakini katika kutamka akatamka mengine basi nakubaliana na wengi kuwa SSH ana uwezo mdogo sana!Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!