Sitii nenoUrefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Sentensi ina wisdom hii mkuuIfikie mahali mkubali mnaempaka rangi tayari kashajimwagia oil chafu
Nilisikia mtu fulani anasema hapa kwamba kasi ya vibrations za ulimi na midomo ya Bi Mikopo ni inversely proportional to the square of RAM & processing capacity ya her cerebrum.Rais ajitahidi kuchunga kauli zake na apunguze kutolea ufafanuzi mrefu katika kila jambo.
🤣🤣🤣 inashangaza etiNa alipotoa tahadhari usile ukavimbiwa alikuwa alikuwa akimaanisha nini? Mtu anaweza kuvimbiwa mshahara na marupurupu yake?
Wazi hamna haja ya kuzunguka sanaSentensi ina wisdom hii mkuu
Anafahamu kuna kijikampumi kinalipwa 2m usd halafu amekaa tu pale kama sanamu badala ya kuchukua hatua hii ni aibu kwa amri jeshi mkuu wetu anaona 2m usd sio ndogo ni kodi zetu... huo ni mtazamo wako usilamishe kila mtu aelewe ulivyoelewa wewe! Rais alikuwa very clear, nanukuu,
" ... sio kwamba hampati; mnapata lakini jipimieni; jipimie! Kwa mfano kuna lile nililolisema la ujenzi wa meli; kuna kijiajenti huko pembeni kinalipwa milioni 2 dola kwa kila meli. Hiyo sio sawa, sio sawa! Sijui kuna ujenzi wa barabara, fedha itagawiwa kwanza weee barabara ikijengwa inakuwa compromised, viwango vinakuwa compromised ..."
Rais alitakiwa akemee vitendo hivyo in strongest terms possible na sio kuviongelea kwa soft language - 'JIPIMIENI MSIVIMBIWE' maneno ambayo ameya-connect moja kwa moja na fedha za miradi tena kwa mifano. Kinyume chake wewe unataka tuamini alimaanisha "watosheke na mishahara na haki zao nyingine kisheria"; usitufanye wote wajinga humu.
Unaandika ukionyesha kuwa ama huna akili, au unadhani wanaokusoma ni wapumbavu. Unajaribu "kutetea na kunyoosha" jambo ambalo liko wazi kwa hata mtoto mdogo. Kwani nini kiongozi mmoja agombane na kiongozi mwingine kuhusiana na mishahara yao ambayo imepangwa na hawawezi kuibadilisha? Wanachogombana ni kuhusu yupi achukue dili hili au lile. Madili kwa viongozi na watumishi wa serikali ni ruksa sasa mradi tu "wasivimbiwe."Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Mjinga ni mjinga tu, ona aibu kutetea uovu.
Kwa hiyo kakutuma uje unyooshe maneno yake, au umejivika uchawa tu?Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Nashangaa sana, Yani amekuja ku justify ujinga, haihitaji akili kubwa kujua kilichosemwa na Rais, upo sahihi 100%jipimieni... mshahara na stahiki zingine hujipimii bali unapimiwa kulingana na sheria zilizowekwa... sasa Raisi anahamasisha nini ?? usituone wote wajinga kama ujinga wako
Maana ni ile ile ya siku zote. "Jichotee kwa kadri ya njaa na kiu yako lakini usivimbiwe"Kwani maana ya kujipimia imebadilika sikuhizi?😅
Hata mtutafsirie kauli zake haisaidii. Huyu hawezi pale. Mkubali tu. Haendeshi nchi. Madereva wako wengi.Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!
Alimaanisha vitu kama safari ambazo huwa zinaleta posho. Pia alitia mfano wa mawaziri, manaibu waziri na makatibu wakuu kugombania safari. Na anavyosema ni sawa. Kwa mfano, chukulia waziri ambaye kila mikutano au shughuli yeyote ya nje anataka kwenda yeye, iwe Marekani, Ufaransa n.k. unafikiri naibu wake atafurahi? Alichomaanisha ni kwamba kwenye vitu hivyo wanaweza kukaa chini na kujigawia kistaarabu.jipimieni... mshahara na stahiki zingine hujipimii bali unapimiwa kulingana na sheria zilizowekwa... sasa Raisi anahamasisha nini ?? usituone wote wajinga kama ujinga wako
Alimaanisha vitu kama safari ambazo huwa zinaleta posho. Pia alitia mfano wa mawaziri, manaibu waziri na makatibu wakuu kugombania safari. Na anavyosema ni sawa. Kwa mfano, chukulia waziri ambaye kila mikutano au shughuli yeyote ya nje anataka kwenda yeye, iwe Marekani, Ufaransa n.k. unafikiri naibu wake atafurahi? Alichomaanisha ni kwamba kwenye vitu hivyo wanaweza kukaa chini na kujigawia kistaarabu.Maana ni ile ile ya siku zote. "Jichotee kwa kadri ya njaa na kiu yako lakini usivimbiwe"
Alimaanisha vitu kama safari ambazo huwa zinaleta posho. Pia alitia mfano wa mawaziri, manaibu waziri na makatibu wakuu kugombania safari. Na anavyosema ni sawa. Kwa mfano, chukulia waziri ambaye kila mikutano au shughuli yeyote ya nje anataka kwenda yeye, iwe Marekani, Ufaransa n.k. unafikiri naibu wake atafurahi? Alichomaanisha ni kwamba kwenye vitu hivyo wanaweza kukaa chini na kujigawia kistaarabu.Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!!
Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton kweli!!? Kiumbe pekee ambae alieleweka moja kwa moja kauli zake ni Yesu tu maana alikuwa mungu hakika hivyo alikuwa ana kuprogramu kabla hajakulisha neno,,,,Rais anaweza asieleweke kwa wote maana si Mungu!!!