Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Juzi hapa niliweka thread JF iliyosema wengi wa matajiri wa Tanzania ni wanasiasa na sio wafanya biashara, nikiwa na maana kwamba utajiri wao haujatokana na kufanya biashara bali umetokana na nafasi zao za kisiasa au uongozi serikalini kujitajirisha - urefu wa kamba zao. Kwa wengi wetu huo ni ufisadi.
Sasa hili kiongozi wa kisiasa au serikali kujitajrisha kutokana na nafasi yake, Raisi Samia alilihalalisha pale aliposema mtu atakula kwa urefu wa kamba yake. Kila mtu anajua kwamba urefu wa kamba aliousema Samia sio mshahara au marupurupu ya kazini, bali ni nafasi za kipato kisicho rasmi mtu anazopata kutokana na nafasi yake.
Sasa, mara ya kwanza Lowasa alipotaka kugombea uraisi, mwaka 1995, alikuwa tayari ni mtu tajiri sana tu. Aliweza hata kuzunguka nchi nzima kutafuta wadhamini kwa ndege ya kukodi. Na Lowasa hakuwahi kuwa mfanya biashara, na hivyo utajiri wake kwa kiasi kikubwa ulitokana na nafasi za uongozi alizokuwa amekuwa nazo hadi wakati huo - urefu wa kamba yake! Hilo lilimtatiza sana Nyerere, na hakuwa tayari kumruhusu mtu wa namna hiyo kuwa raisi wa Tanzania.
Hali siku hizi ni tofauti sana, hasa chini ya uongozi wa raisi Samia. Kimsingi Samia amehalalisha wanasiasa na viongozi wa serikali kutumia nafasi zao kujitajirisha, na wanapojitajirisha hauwaulizwi maswali yeyote! Katika hizi enzi, utajiri wa Lowasa kuwa ulitokana na nafasi za uongozi serikalini usingekuwa tatizo kwake kuwa raisi wa Tanzania! Hizi sio enzi za Nyerere tena.
Nyerere alijua wazi jambo moja ambalo labda Samia halielewi, kwamba katika nchi zote, watu wenye "kamba" za kuwaruhusu kula huwa si zaidi ya 10% ya raia wote nchini. Yaani wafanyakazi wa mshahara katika nchi huwa hawazidi 10% ya idadi ya raia nchini!
Samia alipotoa kauli ya mtu kula kwa urefu wa kamba yake, kuna watu niliwaambia kauli hiyo kimsingi ilitolewa ili kuhalalisha jambo ambalo Samia mwenyewe aliona anawezwa kusutwa nalo- yeye binafsi kula kwa urefu wa kamba yake ya urais, na hivyo akaona akisema kila mtu afanye hivyo basi hakuna atakaemshangaa yeye akifanya hivyo. Niliwaeleza watu kuwa, Samia anafanya hivi si kwa sababu yeye ni fisadi, bali ni jambo la kawaida katika tamaduni za kiarabu ambazo Samia ana asili nazo - kula kwa urefu wa kamba yako, na hata kuwalisha wanaokuzunguka!
Na of course, hilo pia watu wanapaswa kuelewa kwanini labda Wazanzibari kipindi hiki wamepata nafasi nyingi upande wa bara. Ni kawaida ya "nepotism" ambayo inatokana na tamaduni za kiarabu, kusaidia wale ambao unaona ni ndugu zako zaidi kuliko wengine. Sasa mindset zinazotokana na desturi za society, ni vigumu sana kumbadilisha mtu, na Watanzania wanapaswa kulielewa hilo, na kulivumilia kwa sasa.
Kwa mtu mwenye asili ya tamaduni za kiarabu, ukiwa na nafasi kama ya uraisi, basi utahakikisha watoto wako, wajomba, mashemeji, wakwe zako na ndugu zao, na hata rafiki za watoto wako, nk, wote wanafaidika na hata kutajirika na nafasi yako. "Nepotism" katika culture ya kiarabu, ambayo Samia inamhusu, ni jambo la kawaida, hawalionei aibu! Angalia katika serikali za kiarabu, uone nani wanapewa nafasi za uongozi wa nchi, nani ni matajiri - karibu wote wanakuwa ni wanaukoo!
Kwa mfano, ni rahisi sana kwa upande wa Zanzibar watoto wa maraisi waliopita nao pia kuja kuwa maraisi - na tumeliona hili tayari. Sintashangaa huko mbele mtu kutoka familia ya raisi Samia kuja kuwa raisi wa Zanzibar. Hii ni sehemu ya tamaduni za kiarabu, kurithishana au kupeana madaraka ndani ya ukoo. Nimeona baadhi ya Watanzania bara kuanza kuiga hii culture, kuwaandaa watoto wao kuja kuwa viongozi upande wa bara. Niwaonye mapema, huenda hili linakubalika upande wa Zanzibar kutokana na silka za kiarabu, lakini kwa bara litatuletea matatizo!
Sasa hili kiongozi wa kisiasa au serikali kujitajrisha kutokana na nafasi yake, Raisi Samia alilihalalisha pale aliposema mtu atakula kwa urefu wa kamba yake. Kila mtu anajua kwamba urefu wa kamba aliousema Samia sio mshahara au marupurupu ya kazini, bali ni nafasi za kipato kisicho rasmi mtu anazopata kutokana na nafasi yake.
Sasa, mara ya kwanza Lowasa alipotaka kugombea uraisi, mwaka 1995, alikuwa tayari ni mtu tajiri sana tu. Aliweza hata kuzunguka nchi nzima kutafuta wadhamini kwa ndege ya kukodi. Na Lowasa hakuwahi kuwa mfanya biashara, na hivyo utajiri wake kwa kiasi kikubwa ulitokana na nafasi za uongozi alizokuwa amekuwa nazo hadi wakati huo - urefu wa kamba yake! Hilo lilimtatiza sana Nyerere, na hakuwa tayari kumruhusu mtu wa namna hiyo kuwa raisi wa Tanzania.
Hali siku hizi ni tofauti sana, hasa chini ya uongozi wa raisi Samia. Kimsingi Samia amehalalisha wanasiasa na viongozi wa serikali kutumia nafasi zao kujitajirisha, na wanapojitajirisha hauwaulizwi maswali yeyote! Katika hizi enzi, utajiri wa Lowasa kuwa ulitokana na nafasi za uongozi serikalini usingekuwa tatizo kwake kuwa raisi wa Tanzania! Hizi sio enzi za Nyerere tena.
Nyerere alijua wazi jambo moja ambalo labda Samia halielewi, kwamba katika nchi zote, watu wenye "kamba" za kuwaruhusu kula huwa si zaidi ya 10% ya raia wote nchini. Yaani wafanyakazi wa mshahara katika nchi huwa hawazidi 10% ya idadi ya raia nchini!
Samia alipotoa kauli ya mtu kula kwa urefu wa kamba yake, kuna watu niliwaambia kauli hiyo kimsingi ilitolewa ili kuhalalisha jambo ambalo Samia mwenyewe aliona anawezwa kusutwa nalo- yeye binafsi kula kwa urefu wa kamba yake ya urais, na hivyo akaona akisema kila mtu afanye hivyo basi hakuna atakaemshangaa yeye akifanya hivyo. Niliwaeleza watu kuwa, Samia anafanya hivi si kwa sababu yeye ni fisadi, bali ni jambo la kawaida katika tamaduni za kiarabu ambazo Samia ana asili nazo - kula kwa urefu wa kamba yako, na hata kuwalisha wanaokuzunguka!
Na of course, hilo pia watu wanapaswa kuelewa kwanini labda Wazanzibari kipindi hiki wamepata nafasi nyingi upande wa bara. Ni kawaida ya "nepotism" ambayo inatokana na tamaduni za kiarabu, kusaidia wale ambao unaona ni ndugu zako zaidi kuliko wengine. Sasa mindset zinazotokana na desturi za society, ni vigumu sana kumbadilisha mtu, na Watanzania wanapaswa kulielewa hilo, na kulivumilia kwa sasa.
Kwa mtu mwenye asili ya tamaduni za kiarabu, ukiwa na nafasi kama ya uraisi, basi utahakikisha watoto wako, wajomba, mashemeji, wakwe zako na ndugu zao, na hata rafiki za watoto wako, nk, wote wanafaidika na hata kutajirika na nafasi yako. "Nepotism" katika culture ya kiarabu, ambayo Samia inamhusu, ni jambo la kawaida, hawalionei aibu! Angalia katika serikali za kiarabu, uone nani wanapewa nafasi za uongozi wa nchi, nani ni matajiri - karibu wote wanakuwa ni wanaukoo!
Kwa mfano, ni rahisi sana kwa upande wa Zanzibar watoto wa maraisi waliopita nao pia kuja kuwa maraisi - na tumeliona hili tayari. Sintashangaa huko mbele mtu kutoka familia ya raisi Samia kuja kuwa raisi wa Zanzibar. Hii ni sehemu ya tamaduni za kiarabu, kurithishana au kupeana madaraka ndani ya ukoo. Nimeona baadhi ya Watanzania bara kuanza kuiga hii culture, kuwaandaa watoto wao kuja kuwa viongozi upande wa bara. Niwaonye mapema, huenda hili linakubalika upande wa Zanzibar kutokana na silka za kiarabu, lakini kwa bara litatuletea matatizo!