Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,587
- 23,947
Hapana Mkuu, sikubaliani na wewe...Zitto hana damu ya kunguni! Matatizo anayoyapata Zitto ni ya kujitakia, kuna wakati anashindwa kupima uzito wa kauli zake, kwa mfano;Ama kweli Zitto ana damu ya kunguni maanake.. Dah..
KadaMpinzani said:Juni 13, 2008 - Zitto, je una lolote la kusema kuhusiana na kauli yako uliposema kwamba 2010 hautogombea ubunge na utarudi shuleni ??
Katika mahojiano hayo alielezwa Zitto Kabwe kama The Country's One-Man Backbench! Unadhani Wabunge wenzake huko Upinzani walijisikiaje baada ya hilo tambo? Hilo tuliache ila mwaka 2010 aligombea baada ya habari kuzagaa kwamba aliombwa kufanya hivyo kutoka maeneo mbali mbali na tatizo lake kubwa lilikuwa ni kuchagua agombee kupitia jimbo gani...Dar, Geita, Kigoma na wapi sikumbuki! Huyo ndiye Zitto.Nilisema sitagombea ubunge mwaka 2010. Bado ninasimamia maneno yangu mpaka sasa. Sijabadili msimamo huo. Nilisema pia katika mahojiano haya na mwandishi huyu;
http://allafrica.com/stories/200803311770.html
Likaja la vita ya Comoro, haya ndiyo maneno ya Zitto;
Lakini baadaye yakazuka ya wakina Shimbo.Tanzania funded the operation in Comoro. I can say it athoritatively. The Comoro Operation was 100% funded by Tanzania! France provided an exit for Col. Bacar! Comoro wasnt a proxy war....... take it or leave, thats the truth! The whole truth.....
Likaja la utendaji wa Idris Rashid na Tanesco - one of the best CEOs,
Likaja la utendaji wa Kikwete - one of the best Presidents,Machi 2, 2009 - He, yamekuwa hayo tena......... Haya niliyasema toka Septemba 2006. Nikarudia mwaka 2007 na 2008. Huko nako nilihongwa na nani? Huo ndio msimamo wangu toka naingia bungeni kuwa nitasave term moja kisha niende kwenye kazi ninayoipenda ie kufundisha, utafiti na kuandika vitabu.
Likaja yaliyomo kwenye Ripoti ya Bomani...
na mengine mengi...big up kwa JF na kumbukumbu zake!
Likaja la ununuzi wa miambo chakavu ya Dowans,
Niliwahi kumwonya Zitto hapo zamani;
That was then, this is now...tunarudi kule kuleee!Machi 2, 2009 - I am really sad I have missed this very very interesting debate. However I believe there's more to this than meets the eye. If I were Zitto, I would try as much as I can to stay out of this fray. From afar I see a tsunami building and a fall-out that is inevitable - young Zitto might soon not have a leg to stand on. The key players are pushing him on while they stay on safe ground and he, to their delight, is dancing to their tune. They have been in this game for well almost two decades and this new young man is an exhilarating find in their search for freshness.
Dowans, Dowans, Dowans...who the heck is Dowans - reminds me of the Anglo Leasing of Kenya. It has no face yet it exists and enters into business contracts with the government of the United Republic of Tanzania worth billions. It reminds me of Kagoda - no face but draws billions from the Central Bank. Would Zitto bless Kagoda if it came to our rescue and offered us a panacea out of our predicament ? For someone from our own elective legislative assembly, to come out and support this relationship that smells like rotten fish, is itself degrading enough.
We are going to see a lot of these underhand dealings as we move closer and closer to 2010 - history has a bad habit of repeating itself !! Poor Zitto !!