Nilikuwepo uwanjani pale lake Tanganyika Kigoma, kilichoandikwa ndicho nilichosikia pia. Videos zitawekwa hapa na zitathibitisha.
Siwezi kuwaandikia mwananchi kwani mimi silalamiki kuhusu habari hiyo. Wenye kuilalamikia habari wameandika.
Mimi ninaamini gazeti la Mwananchi ndio gazeti pekee huru la kiswahili hapa nchini. Ndio gazeti pekee ambalo umiliki wake hauna maslahi na waandishi na wahariri wake ni mahiri, hawana njaa na hawapindishwi. Ndio maana huandika ukweli muda wote na wanapokosea hawasiti kurekebisha. Ndio maana ni gazeti linasomwa kwa wingi kuliko magazeti yote nchini. Hakuna gazeti linalofikia hata nusu ya mwananchi kwa kusomwa. Hivyo Mwananchi linaaminika na umma.
Najua kuna watu wana chuki binafsi na mwananchi kama gazeti na wahariri wa mwananchi kama binaadamu. Hayo wayamalize wenyewe huko walikochukiana.
Subirini video ndio tutajua habari ile imepikwa au ni ya kweli. Kwa tuliokuwepo uwanjani tunajua nani alisema nini.
Mh.Mbunge, binafsi nilipenda kutoa kaushauri kangu kadogo tu....kuwa makini sana na watu wa magamba.Siwezi kumjibia Semtawa na sijawahi maisha yangu kumtuma habari Semtawa au mwandishi yeyote yule. Mimi sio mhariri. Waliozoea kufanya hivi ili waandikwe wanadhani wote tunafanya hivyo hivyo.
Nilikuwepo uwanjani pale lake Tanganyika Kigoma, kilichoandikwa ndicho nilichosikia pia. Videos zitawekwa hapa na zitathibitisha.
Siwezi kuwaandikia mwananchi kwani mimi silalamiki kuhusu habari hiyo. Wenye kuilalamikia habari wameandika.
Mimi ninaamini gazeti la Mwananchi ndio gazeti pekee huru la kiswahili hapa nchini. Ndio gazeti pekee ambalo umiliki wake hauna maslahi na waandishi na wahariri wake ni mahiri, hawana njaa na hawapindishwi. Ndio maana huandika ukweli muda wote na wanapokosea hawasiti kurekebisha. Ndio maana ni gazeti linasomwa kwa wingi kuliko magazeti yote nchini. Hakuna gazeti linalofikia hata nusu ya mwananchi kwa kusomwa. Hivyo Mwananchi linaaminika na umma.
Najua kuna watu wana chuki binafsi na mwananchi kama gazeti na wahariri wa mwananchi kama binaadamu. Hayo wayamalize wenyewe huko walikochukiana.
Subirini video ndio tutajua habari ile imepikwa au ni ya kweli. Kwa tuliokuwepo uwanjani tunajua nani alisema nini.
Siwezi kumjibia Semtawa na sijawahi maisha yangu kumtuma habari Semtawa au mwandishi yeyote yule. Mimi sio mhariri. Waliozoea kufanya hivi ili waandikwe wanadhani wote tunafanya hivyo hivyo.
Haya tumekusikia....Zitto ndiye alieleta thread hii so najua yuko online hapa....unaonaje ukamuomba uanze kuishinae home wakati ukisubilia hiyo 2015? Maana nyinyi ndiyo vizabinazabina wenyewe mnaosababisha huyu mh.aeleweke vibayaMhhhhhhhh!!!!!namkubali sana mh.Zitto na ndie mgombea rais kijana mpya wa 2015,hata mkileta majunguhili taifa ni la vjana kwa ajili ya mustkabali wa taifa lao.
Nilikuwepo uwanjani pale lake Tanganyika Kigoma, kilichoandikwa ndicho nilichosikia pia. Videos zitawekwa hapa na zitathibitisha.
Siwezi kuwaandikia mwananchi kwani mimi silalamiki kuhusu habari hiyo. Wenye kuilalamikia habari wameandika.
Mimi ninaamini gazeti la Mwananchi ndio gazeti pekee huru la kiswahili hapa nchini. Ndio gazeti pekee ambalo umiliki wake hauna maslahi na waandishi na wahariri wake ni mahiri, hawana njaa na hawapindishwi. Ndio maana huandika ukweli muda wote na wanapokosea hawasiti kurekebisha. Ndio maana ni gazeti linasomwa kwa wingi kuliko magazeti yote nchini. Hakuna gazeti linalofikia hata nusu ya mwananchi kwa kusomwa. Hivyo Mwananchi linaaminika na umma.
Najua kuna watu wana chuki binafsi na mwananchi kama gazeti na wahariri wa mwananchi kama binaadamu. Hayo wayamalize wenyewe huko walikochukiana.
Subirini video ndio tutajua habari ile imepikwa au ni ya kweli. Kwa tuliokuwepo uwanjani tunajua nani alisema nini.
Twende taratibu Zitto:
1. Je kuna uhusiano wowote wa Moja kwa moja kati ya Mwasiti Almasi na kamanda Halima Mdee, Joshua Nassari, na
hao waheshimiwa wa magambaEsther Bulaya, Deo Filikunjombe bila CONNECTION yako?
2. Je ni kwanini unadhan kamanda Mdee na Nassari wamekana kilichoandikwa na Mwananch?
3. je ni kwanini hiyo Story itoke kwenye gazeti la mwananchi pee yake na siyo mengine?
ni hayo kwanza ikija video nitaendelea isipokuwa imechakachuliwa
nilitak Zitto atujibu kwanza hayo maswali matatu, mengine kama alivyosema tusiseme mambo yote, nasi tunajua kilichotokea na Connection yake na Mwananchi, wabunge na tamaa yake ya urais.INGEKUWA VIZURI TUSUBIRI HUO MKANDA NDIO AMBAO UTATUTEGULIA KITENDAWILI HICHI
:israel:
INGEKUWA VIZURI TUSUBIRI HUO MKANDA NDIO AMBAO UTATUTEGULIA KITENDAWILI HICHI
:israel:
All in all mimi nataka kumuuliza Mheshimiwa Zitto, kama unadai kuwa yaliyosemwa na Mdee na Nassari ndiyo yaliyoandikwa, je wewe ulijisikiaje walipoyasema. Yalikuumiza roho kwani taratibu za chama kumpata mgombea urais unazifahamu na hawa waheshimiwa wamekwenda kinyume, ama ulifurahia kwamba wamekusafishia njia? Hili ndilo unatakiwa kulijibu. Mimi sioni kama kusema au kutosema kuna matter sana, suala ni wewe ulijisikiaje?
Wewe unaufahamu ukweli wa moyo wako, lakini sisi tunaona kuwa wewe ni furaha yako watu wakikusifia kuwa unaweza kuwa rais, ndiyo maana unataka kuweka video ku-prove jinsi unavyofaa. Unajiharibia. Ingekuwa mimi ni wewe ningewakemea hao waheshimiwa palepale jukwaani, kwani muda wa hayo mambo bado na taratibu za chama haziruhusu. Kwa kukaa kwa ko kimya Mh!!!!!!! sijui maana yake ni nini.
Alimrudi usiwe umechakachuliwa.
Mkuu, Mwasiti nae kaongea lake kasema alijulishwa tu ujio wa hao wabunge, tutajua ukweli tu badae kama aliwaalika yeye ama Zitto, ama walijipeleka?Mwananchi wanasema lao
Halima Mdee anasema lake
Joshua Nassari anasema lake na
Zitto nae anasema lake. Sasa tumwamini nani kati yenu?