Labda ni wewe tu ambaye hujui kuwa dr. Slaa ndiye raisi mtarajiwa wa jmt, kutinga ikulu kupitia tiketi ya chadema, na wananchi hawababaishwi na propaganda, wamekubali kukitosa chama maarufu na kikongwe kuliko vyote nchini kwa ajili ya chadema tarajio kuu la wananchi ni amiri jeshi mkuu kuwa dr. Slaa, usitarajie kuna kapukumeni na ubinafsi binafsi wake (zito) atawakengeusha freedom fighters. Ya zito ni mashuzi, kavimbiwa migebuka yeye na kufulila wake wanaoota kuifanya migebuka kitoweo cha kitaifa kwa mujibu wa tamasha lao la kibaguzi (kigoma)
Haya tumekusikia....Zitto ndiye alieleta thread hii so najua yuko online hapa....unaonaje ukamuomba uanze kuishinae home wakati ukisubilia hiyo 2015? Maana nyinyi ndiyo vizabinazabina wenyewe mnaosababisha huyu mh.aeleweke vibaya
kwa viongozi wake. shame on u
Awaumbue mara ngapi? Mimi naona Filikunjobe, Nassari na Halima Mdee washapata somo kwamba Zitto ni manipulative.sidhani kama utawaumbua jamaa zake.!
Ni kweli Mkuu wameshindwa ku Imitate sauti ya MdeeBado anashauriana na Bollywood, na Hollywood, kuhusu bei ya kuitengeneza hiyo clip, bado tunaisubiri.
Ni kweli Mkuu wameshindwa ku Imitate sauti ya Mdee
Nilikuwepo uwanjani pale lake Tanganyika Kigoma, kilichoandikwa ndicho nilichosikia pia. Videos zitawekwa hapa na zitathibitisha.
Siwezi kuwaandikia mwananchi kwani mimi silalamiki kuhusu habari hiyo. Wenye kuilalamikia habari wameandika.
Mimi ninaamini gazeti la Mwananchi ndio gazeti pekee huru la kiswahili hapa nchini. Ndio gazeti pekee ambalo umiliki wake hauna maslahi na waandishi na wahariri wake ni mahiri, hawana njaa na hawapindishwi. Ndio maana huandika ukweli muda wote na wanapokosea hawasiti kurekebisha. Ndio maana ni gazeti linasomwa kwa wingi kuliko magazeti yote nchini. Hakuna gazeti linalofikia hata nusu ya mwananchi kwa kusomwa. Hivyo Mwananchi linaaminika na umma.
Najua kuna watu wana chuki binafsi na mwananchi kama gazeti na wahariri wa mwananchi kama binaadamu. Hayo wayamalize wenyewe huko walikochukiana.
Subirini video ndio tutajua habari ile imepikwa au ni ya kweli. Kwa tuliokuwepo uwanjani tunajua nani alisema nini.
Tumeshauri muda mrefu sana kuhusu chama kuunda viongozi wapya ambao sii wabunge, sii viongozi wenye majukumu makubwa nje ya chama. Lakini nadhani makao makuu na viongozi wa chama wanaelewa zaidi kwa nini maoni au mapendekezo yetu hazikuchukuliwa.Nimekuelewa mkuu,Shauri japo kwa kifupi wafanye nini,kwan muda uliobaki ni mchache na maeneo ya vijijini bado ha2oni nguvu ya CHADEMA na huku ndio mtaji mkubwa wa kura ulipo?
Miezi ya nyuma nilileta hii mada hapa jukwaani lakini kwa bahati mbaya MODs waliinyofoa dakika 20 baada ya kuiweka. Sina budi kurudisha hii mada baada ya sakata la Zitto Kabwe, Nassari, Halima Mdee pamoja na gazeti la Mwananchi. Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa katika tasnia ya habari na lazima nikiri kwamba mengine yanayofanyika katika hii tasnia ni ya kukatiza moyo hasa kazi za wanahabari zinapoingiliwa na wanasiasa. Kwetu sisi wanawake inakuwa ni vigumu sana kukataa kutii haya maagizo ambayo mengine unaona kabisa ni za vitisho
Zitto Kabwe, January Makamba, Bernard Membe na hata Ngeleja kwa siku za nyuma alishiriki sana katika kuingilia kazi za waandishi. Kinara wao akiwa Zitto January na Membe. Hawa viongozi hasa Zitto wamezoea sana kujiandikia makala na hata habari kisha kumlazimisha mwandishi kuzichapisha ukurasa wa mbele kwa gharama yoyote ile. Wanatoa hela nyingi sana kwa waandishi na wahariri. Mbaya zaidi ni kwamba hawa viongozi wanajitengenezea kashfa au kutoka ndani ya vyama vyao.
Matokeo yake kesho wanaitisha waandishi tena kukanusha (kashfa) zao za kujipikia wakati ni wao ndio chanzo cha hizo habari. Lengo lao kubwa ni kutafuta huruma kutoka kwa umma wa kitanzania kwa vitu ambavyo havipo.
Kinachonishangaza ni kwa nini mtu ajichafue kwa kujitengenezea kashfa maadui feki ndani ya chama chake heti ndio wanaomchafua kumbe ni yeye mwenyewe alafu kesho yake akane hizo taarifa? Nadhani tunaelekea kubaya hawa watu wakiendelea nah ii tabia. Moja ya habari hizi ni zile zinazomlaumu Mbowe kam mtazikumbuka..
nawakilisha