Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Umetumwa ee. muunge ww mm kama kijana ninaye mfahamu zito tokea pale UDSM siungi hata jicho kwa mtu mwenye uchu wa madaraka na ww umehaidiwa nafasi ndo maana unapiga debe. Umeliwa gamba ww.

MSIPOTEZE MUDA KUARGUE NA MABWEGE. AYA MAMLUKI YAMETUMWA SIE ROHO KWATU MGOMBEA WETU TUNAE. ZZK HAFAI. WKT AKINA DR WANAKESHA KUTWA WAKIKIJENGA CHAMA YE ANAUOTA URAISI. FARA MKUU WEWE. BUT TIME LL TEL. UYU ZZK NI ***** JAPO ANAJUA VIKAO VYA CHAMA NDO LAST RESORT YA NANI ATASIMAMISHWA NA CHAMA. IN SHORT ZITO AMIA CCM KWA WAUME ZAKO WANAOKUTUMA KUTUVURUGA UKU CDM. PIA KUMBUKA BILA CDM NO ZZk
 
Labda anakutosha wewe na mme/mke wako! Labda awe rais wa TFF. It time for CDM kuondoa magugu maji ambayo ni zitto,shibuda na rose kamili.
 
Labda anakutosha wewe na mme/mke wako! Labda awe rais wa TFF. It time for CDM kuondoa magugu maji ambayo ni zitto,shibuda na rose kamili.

NAUPENDA SANA UONGOZ WA CDM. VIONGOZ AWA V BRIGHT. WAO LA MSINGI NI KUJENGA CHAMA NA WANAFANYA KWEL MPAKA CCM INAWEWESEKA NA ATI KUWATUMIA WAROHO AKINA ZITO. THEY DONT ARGUE WITH FOOLS AKINA ZITO. WAO WANAJENGA CHAMA. VIKAO VYA CHAMA NDO VITAWAACHA AKINA ZITO KABWE MIDOMO WAZI. CHAMA LANGU CDM LIKO V SMART. CDM GOO SLAA GOO MBOWE GOO. MSIFE MOYO TUKO NANYI DAIMA. PEOPLEEES POWERRr
 
Baada ya kutangaza rasmi nia yake ya kugombea urais,, nashawishika kusema kwamba ana sifa zote na anatosha sana. Vijana bila kujali u-CCM au u-CHADEMA tumuunge kijana wmenzetu mkono ili atuongoze. Go Zitto.

kwani wewe hufai?mawazo yako ni upuuzi wako wengine hatuhtaji kuungana nao.
 
Koffie nadhani wa kupashwa ni wewe kwanza kuliko hao unaosema maana wewe ndiye unaabudia vinyago na sanamu kwa kusema kuwa kila kinyago kinafaa kuwa rais. Samahani kwa kutumia lugha ya mafumbo. Kama hukunielewa, basi elewa. Nimeandika kukupasha wewe na mapashkuna wengine wanaomtangaza Zitto.
 
Mzee mtei umekataza, nini! Na wewe unafanya.nini ...??? Mbona ushatangaza nia hapo

Mbona unamwonea huyu Mzee? Mzee Mtei amesema "HUENDA HATA MIMI NIKATAKA". Hajasema anatangaza nia.

Huenda hata wewe au mtu yeyote yule mwenye sifa akatangaza nia ya kugombea u-Rais.
 
Mkuu wangu manneo yako murwa na yanazumgumzia ukweli ambao wengine wanashindwa kuufahamu na pengine hata kuyazingatia.. Lakini pamoja na hayo yote lugha na majibu ya Zitto yameonyesha dharau. hakuhitaji kujibu wala kusema aloyasema na hivyo inatushangaza sana mtu anayetaka kugombea Urais anaweza kuropoka hivyo...

Chama cha CDM sio Mbowe, Zitto, Dr.Slaa, Lissu na sijui Mnyika hawa wote ni wanachama kwanza ambao wanatakiwa kuziheshimu sheria na katiba, kanuni za chama na kisha kama wabunge KUILINDA katiba ya nchi yetu..Haya ndio majukumu walopewa na wananchi hivyo usitake sana kutuaminisha kwamba ikiwa Mbowe, Dr.Slaa na Lissu hawakusema kitu basi watu wengine hawana haki ya kudadisi. Mbona pia hakuna kati yao alotangaza kugombea? kwa nini na yeye ZZK pia alisubiri maana naona unataka kuziweka character kuwa sawa.

Halafu swala la kukivuruga chama sio swala la viongozi bali kuwavuruga wanachama wote, makundi kati ya viongozi yapo na yataendelea kuwepo lakini pamoja na tofauti za makundi bado UMOJA wa wanachama wote hasa pale wanapoungana pamoja kuwa imara, ndivyo chama kinavyoweza kusomeka. Hizi nyufa nyufa za kutoaminiana ndizo zinaweza kuwa sababu ya kukivuruga chama maana kuwepo Mbowe au Dr.Slaa Chadema haina maana wao ndio CHAMA na wala yoyote kati yao ikiwa wananchi watakosa imani nao, chama kitabakia kuwa kama NCCR. Chama hiki kipo toka mwaka 1995 na hakikupata Umaarufu wowote kwa kuwepo viongozi hao hao isipokuwa sera zake na jitihada za pamoja ktk kumkomboa mwananchi ndizo zimewasukuma wengi kujiunga na hata kulipa kura zao. Chama pasipo kura za wananchi hakuna kitu hata kama kingeongozwa na Mandela.

Labda pengine niseme ya kwamba sisi wengine tumejiunga na CDM kwa sababu tumekiona chama hiki ndicho PEKEE chenye mwelekeo wa kuwaondoa MAFISADI ktk utawala na kurudisha mfumo bora, kuwajali wananchi wenyewe kama warithi halali wa maliasili na rasilimali zilizopo. Kama CCM ingeweza toka mwaka 2000 kupambana na wahujumu Uchumi, uwekezaji wa mikataba feki, ikaboresha maisha ya wananchi hasa WAKULIMA na WAFANYAKAZI kwa kuwajengea daraja la maisha wakatoka ktk umaskini na Ujinga kufikia nafasi ya kati middleclass yenye WAFASIRIAMALI wengi kuliko maskini basi bila shaka ingekuwa kazi kubwa sana kwa huyo Mbowe, Dr.Slaa au Zitto kutuvuta Chadema..This is the fact, naomba uipate kutoka upande wa pili..

Sipendi Unafiki na nitaendelea kusema ukweli pale napoona ZZK akijaribu sana kutuvuruga watu akili zetu sisi watu wazima na tuna mapenzi na chama sio Mtu. Na ukimsoma Mzee Mtei kazungumza kwa hekima kubwa sana. Zitto kufikia 2015 miaka atakuwa miaka 39 na katiba ya NCHI inasema wazi mgombea lazima awe na miaka 40. Sasa hapa anaitangaza nia hiyo akiwa na maana gani kuwa ana protect kiapo chake cha katiba vipi au anapingana nayo!. Na unaweza vipi kusema ni haki yake ya msingi ikiwa ni kinyume cha Katiba iliyopo? Mengine jamani hatuhitaji kuyasema ZZK mwenyewe anatakiwa kuyapima.


Ya kwamba yeye ana hakika Katiba ijayo itapunguza miaka? Na yeye kama Mbunge hivi hakuapishwa Bungeni kuilinda Katiba iliyopo hata kama kuna mapendekezo ya kuibadilisha katiba? kwa nini anapingana na katiba iliyopo sasa hivi tena kwa sababu yake mwenyewe kutaka kugombea Urais. Angeweza sana kuyafanya haya nyuma ya pazia la chama chochote kwa kushinikiza mabadiliko huku chama kikimuandaa kama itatokea hivyo. Ni Ubinfasi mkubwa sana maana hata katiba ikibadilika itaonekana imebadilishwa ili kumwezesha Zitto agombee wakati haikutakiwa kabisa watu wafikirie hivyo..

Besides, Zitto anatumia vibaya nafasi hii kwa kusema ya mwaka 2015 wakati uhai wake wa kesho hajui itakuwaje..Kulingana na imani yake haya ni makosa pia. Muumini huwezi kutangaza matakwa yako mbele ya majaaliwa, badala ya kuomba Uzima kila siku kufikia hiyo 2015 maana hajui atakuwa wapi na atakuwa nani. Zaidi ya hayo anajijengea maadui zaidi. Kesho likimpata Jambo Itaonekana CDM wamemkolimba. Na pengine sisi wanachama tulikuwa na imani naye sana lakini kujitokeza kwake tayari CCM wataanza kumtazama kama kikwazo. wataanza mapema kumshughulikia na pengine hata kumkolimba wakijua lawama zote zitakwenda Chadema. Je hajakiweka Chama ktk nafasi mbaya?.. Jamani wengine hayahitaji tuseme hovyo humu aaaaah!

Muda wote sisi wengine tumekuwa tukimshauri ZZK kwa kutazama mbali sana na ndio maana nasema siku zote ZZK bado hajakomaa kisiasa. najua fika kwamba wadanganyika ni watu wenye fitna, wanafiki na wapenda kurudishana nyuma lakini maajabu ameendelea kuonyesha udhaifu wake ktk kuwajaua watu anaotaka kuwaongoza kwa kutoweza kuliona hata hili dogo.. Mzee Mtei kazungumza vitu ambavyo ZZK alitakiwa kuvisoma na kuvielewa badala ya kutoa majibu ya kihuni. Huyo Mbowe aambaye siku zote wanagombana sidhani kama anaweza kukubalika kugombea Urais.. He is a good Political leader, ni mwanasiasa mzuri sana lakni he is not a Presidential Material. Hivyo hata yeye analijua hili isipokuwa anategemea pengine anaweza kupendekezwa.
- IKULU SII MAHALA PA KUKIMBILIA.

Mkuu Mkandara
Heshima yangu kwako ni kubwa.Andishi lako moja hili lina thamani zaidi ya dhahabu.Asante sana kwa somo hili na Mungu akubariki.
 
Zito mnamuonea. Mbona slaa anafanya kampeni za urais wakati hatatume ya uchaguzi haijatoa ratiba ya kampeni. Kwa sasa slaa hana sifa sa kuongoza nchi hii. Rekodi yake ya uadilifu inatia shaka. Ni mzabizabina na mchonganishi. Akichaguliwa nchi itaingia kwenye machafuko. Zito kaza buti hao maajuza wasikutishe

Kwa taarifa, Mwana JF Almasiomary, Dr Slaa na Freeman Mbowe wanazunguka nchi nzima kuimarisha CHADEMA at the grassroots level. WanaCDM wengine kama Benson Kaigwa, Wenje na Godbless Lema pia wapo sehemu mbali mbali nchini kusimika hiki chama cha ukombozi ktk mtindo wa M4C.

Mzee Mtei alikuwa anajaribu kumridhisha Zitto Kabwe, kama Naibu Katibu Mkuu kushiriki zaidi ktk M4C ili chama kiimarike tayari kwa harakati za Uchaguzi Mkuu wa 2015. CDM ikikaribia wakati wa uchaguzi mkuu, 2015, ndipo mchakato wa kuamua ni nani kati ya wanaChadema atapeperusha bendera yake ktk huo Uchaguzi Mkuu kama mgombea kiti cha u-Rais.
 
Kwa taarifa, Mwana JF Almasiomary, Dr Slaa na Freeman Mbowe wanazunguka nchi nzima kuimarisha CHADEMA at the grassroots level. WanaCDM wengine kama Benson Kaigwa, Wenje na Godbless Lema pia wapo sehemu mbali mbali nchini kusimika hiki chama cha ukombozi ktk mtindo wa M4C.

Mzee Mtei alikuwa anajaribu kumridhisha Zitto Kabwe, kama Naibu Katibu Mkuu kushiriki zaidi ktk M4C ili chama kiimarike tayari kwa harakati za Uchaguzi Mkuu wa 2015. CDM ikikaribia wakati wa uchaguzi mkuu, 2015, ndipo mchakato wa kuamua ni nani kati ya wanaChadema atapeperusha bendera yake ktk huo Uchaguzi Mkuu kama mgombea kiti cha u-Rais.
Mkuu wangu Zitto naye yuko mikoani na vijijini akihamasisha wananchi. Hivyo sio kweli kwamba hayuko ktk harakati hizi isipokuwa tu tunachomuomba ni usikivu wake. Hakuna mtu yeyote atakayeweza kushinda uchaguzi wa 2015 ikiwa wananchi wataondoa matumaini yao kwake au chama. Adui yako hawezi kutoka ndani, na mwanasiasa bora hawezi kupambana ndani ya chama isipokuwa utawala dhalimu..An eye for an eye only ends up making the whole world blind - Mahatma Gandhi.
 
Well said... Kama hali iko hivyo kuna kuvumiliana kwa hali ya juu namna hiyo, sasa hili ZOGO ni la nini au limesababishwa na nini hasa??

Ni ngumu kuwa na majibu yenye uhakika, lakini sioni tofauti ya hili na mengine yote yaliyowahi kuibuliwa, ambayo kwa kiasi kikubwa yanatokana na mambo matatu;

1. Maadui wa CDM wanaitumia kauli yake kuchochea uhasama baina ya wanaoiunga kauli yake mkono na wasioiunga mkono
2. Maadui wa Zitto (ndani ya chama), wanaitumia kauli yake kumnanga
3. Magazeti yanataka kuuza nakala nyingi
 
Mkuu wangu manneo yako murwa na yanazumgumzia ukweli ambao wengine wanashindwa kuufahamu na pengine hata kuyazingatia.. Lakini pamoja na hayo yote lugha na majibu ya Zitto yameonyesha dharau. hakuhitaji kujibu wala kusema aloyasema na hivyo inatushangaza sana mtu anayetaka kugombea Urais anaweza kuropoka hivyo...

Chama cha CDM sio Mbowe, Zitto, Dr.Slaa, Lissu na sijui Mnyika hawa wote ni wanachama kwanza ambao wanatakiwa kuziheshimu sheria na katiba, kanuni za chama na kisha kama wabunge KUILINDA katiba ya nchi yetu..Haya ndio majukumu walopewa na wananchi hivyo usitake sana kutuaminisha kwamba ikiwa Mbowe, Dr.Slaa na Lissu hawakusema kitu basi watu wengine hawana haki ya kudadisi. Mbona pia hakuna kati yao alotangaza kugombea? kwa nini na yeye ZZK pia alisubiri maana naona unataka kuziweka character kuwa sawa.

Halafu swala la kukivuruga chama sio swala la viongozi bali kuwavuruga wanachama wote, makundi kati ya viongozi yapo na yataendelea kuwepo lakini pamoja na tofauti za makundi bado UMOJA wa wanachama wote hasa pale wanapoungana pamoja kuwa imara, ndivyo chama kinavyoweza kusomeka. Hizi nyufa nyufa za kutoaminiana ndizo zinaweza kuwa sababu ya kukivuruga chama maana kuwepo Mbowe au Dr.Slaa Chadema haina maana wao ndio CHAMA na wala yoyote kati yao ikiwa wananchi watakosa imani nao, chama kitabakia kuwa kama NCCR. Chama hiki kipo toka mwaka 1995 na hakikupata Umaarufu wowote kwa kuwepo viongozi hao hao isipokuwa sera zake na jitihada za pamoja ktk kumkomboa mwananchi ndizo zimewasukuma wengi kujiunga na hata kulipa kura zao. Chama pasipo kura za wananchi hakuna kitu hata kama kingeongozwa na Mandela.

Labda pengine niseme ya kwamba sisi wengine tumejiunga na CDM kwa sababu tumekiona chama hiki ndicho PEKEE chenye mwelekeo wa kuwaondoa MAFISADI ktk utawala na kurudisha mfumo bora, kuwajali wananchi wenyewe kama warithi halali wa maliasili na rasilimali zilizopo. Kama CCM ingeweza toka mwaka 2000 kupambana na wahujumu Uchumi, uwekezaji wa mikataba feki, ikaboresha maisha ya wananchi hasa WAKULIMA na WAFANYAKAZI kwa kuwajengea daraja la maisha wakatoka ktk umaskini na Ujinga kufikia nafasi ya kati middleclass yenye WAFASIRIAMALI wengi kuliko maskini basi bila shaka ingekuwa kazi kubwa sana kwa huyo Mbowe, Dr.Slaa au Zitto kutuvuta Chadema..This is the fact, naomba uipate kutoka upande wa pili..

Sipendi Unafiki na nitaendelea kusema ukweli pale napoona ZZK akijaribu sana kutuvuruga watu akili zetu sisi watu wazima na tuna mapenzi na chama sio Mtu. Na ukimsoma Mzee Mtei kazungumza kwa hekima kubwa sana. Zitto kufikia 2015 miaka atakuwa miaka 39 na katiba ya NCHI inasema wazi mgombea lazima awe na miaka 40. Sasa hapa anaitangaza nia hiyo akiwa na maana gani kuwa ana protect kiapo chake cha katiba vipi au anapingana nayo!. Na unaweza vipi kusema ni haki yake ya msingi ikiwa ni kinyume cha Katiba iliyopo? Mengine jamani hatuhitaji kuyasema ZZK mwenyewe anatakiwa kuyapima.


Ya kwamba yeye ana hakika Katiba ijayo itapunguza miaka? Na yeye kama Mbunge hivi hakuapishwa Bungeni kuilinda Katiba iliyopo hata kama kuna mapendekezo ya kuibadilisha katiba? kwa nini anapingana na katiba iliyopo sasa hivi tena kwa sababu yake mwenyewe kutaka kugombea Urais. Angeweza sana kuyafanya haya nyuma ya pazia la chama chochote kwa kushinikiza mabadiliko huku chama kikimuandaa kama itatokea hivyo. Ni Ubinfasi mkubwa sana maana hata katiba ikibadilika itaonekana imebadilishwa ili kumwezesha Zitto agombee wakati haikutakiwa kabisa watu wafikirie hivyo..

Besides, Zitto anatumia vibaya nafasi hii kwa kusema ya mwaka 2015 wakati uhai wake wa kesho hajui itakuwaje..Kulingana na imani yake haya ni makosa pia. Muumini huwezi kutangaza matakwa yako mbele ya majaaliwa, badala ya kuomba Uzima kila siku kufikia hiyo 2015 maana hajui atakuwa wapi na atakuwa nani. Zaidi ya hayo anajijengea maadui zaidi. Kesho likimpata Jambo Itaonekana CDM wamemkolimba. Na pengine sisi wanachama tulikuwa na imani naye sana lakini kujitokeza kwake tayari CCM wataanza kumtazama kama kikwazo. wataanza mapema kumshughulikia na pengine hata kumkolimba wakijua lawama zote zitakwenda Chadema. Je hajakiweka Chama ktk nafasi mbaya?.. Jamani wengine hayahitaji tuseme hovyo humu aaaaah!

Muda wote sisi wengine tumekuwa tukimshauri ZZK kwa kutazama mbali sana na ndio maana nasema siku zote ZZK bado hajakomaa kisiasa. najua fika kwamba wadanganyika ni watu wenye fitna, wanafiki na wapenda kurudishana nyuma lakini maajabu ameendelea kuonyesha udhaifu wake ktk kuwajaua watu anaotaka kuwaongoza kwa kutoweza kuliona hata hili dogo.. Mzee Mtei kazungumza vitu ambavyo ZZK alitakiwa kuvisoma na kuvielewa badala ya kutoa majibu ya kihuni. Huyo Mbowe aambaye siku zote wanagombana sidhani kama anaweza kukubalika kugombea Urais.. He is a good Political leader, ni mwanasiasa mzuri sana lakni he is not a Presidential Material. Hivyo hata yeye analijua hili isipokuwa anategemea pengine anaweza kupendekezwa.
- IKULU SII MAHALA PA KUKIMBILIA.

Mkubwa Chief Mkwawa anakupa tano.
Endelea kumshauri ZZK inawezekana anaweweseka, mwambie arudie akili zake ambazo alishauriwa na hao wazee anaowadharau leo, walimlea sana na walimsaidia kumfikisha hapo alipo. Mwambie ZZK hao anaowadharau leo wangekuwa wamimi na wachoyo, wangekuwa na uchu wa madaraka leo CDM ingekuwa TPP maendeleo. Kukuza chama cha siasa kunahitajika kazi, busara, hekima na kuona mbali kuliko kujifikira mwenyewe.

Raisi gani ambaye anakiri uwezo wa kuendeleza jimbo moja tu umefika mwisho??? Si mpingi ZZK wala simkatishi tamaa kwa nia yake hiyo. Ila kama anajua mabadiliko ya katiba ni kushusha tu umri ila yeye agombee basi tunasafari ndefu. Katiba inamatatizo mengi na makubwa kuliko umri wa mtu kugombea au kutogombea.

Vijana wenzangu tusidharau ushauri kwa kuamini wazee hawana la kutuambia, na kumuumbua mtu mzima aliyekushauri kwa busara; sio hekima. Unaweza kuukubali au kuukata ushauri kwa busara na hekima na mambo yasiwe mabaya.

2015 tunahitaji mgombea anayekubalika TZ na asiye na makundi wa hila ndani ya chama, kama tulivyoweza kukikuza chama kwa nguvu zetu tutampigia kampeni mgombea mwenye busara, hekima, uelewa , uvumilivu na mwenye uchungu wa dhati na maisha duni ya mtanzania. ZZK usiwe na haraka ukifit kwenye patern usijali utapeperusha bendera na wote tutakuunga mkono, usipofit usiwe na hasira. Ila kwa sasa unatuchanganya sana unatukwaza na unatusikitisha. Wenzako tupo porini huku usiku na mchana tunafungua matawi, njoo kwanza tung,atwe na mbung.o na ndorobo mbu na nzi, njoo huku site uone kazi ilivyo. ZZK kwanini wewe unawahi magogoni na kutusubiria na kazi ya site huitaki??

ZZK sie makamanda hatuhitaji nyie majemaderi muharibu kazi zetu tunaomba sana mtuache tufanye kwanza kazi ya kujenga chama, ukifika wakati wenu wa kugombania kula tutakaa pembeni tuangalie mechi ya magogoni. Nia yetu kubwa sasa sio nani anakwenda magogoni ila ni kuhakikisha tunatengeneza mtandao imara ili ndege yetu ifike magogoni bila kipangamizi.

Cief Mkwawa wa Kalenga
Uchungu na watanzania wenzangu masikini unaniuma sana, mlioshiba msituchanganye.
 
Sipendi Unafiki na nitaendelea kusema ukweli pale napoona ZZK akijaribu sana kutuvuruga watu akili zetu sisi watu wazima na tuna mapenzi na chama sio Mtu. Na ukimsoma Mzee Mtei kazungumza kwa hekima kubwa sana. Zitto kufikia 2015 miaka atakuwa miaka 39 na katiba ya NCHI inasema wazi mgombea lazima awe na miaka 40. Sasa hapa anaitangaza nia hiyo akiwa na maana gani kuwa ana protect kiapo chake cha katiba vipi au anapingana nayo!. Na unaweza vipi kusema ni haki yake ya msingi ikiwa ni kinyume cha Katiba iliyopo? Mengine jamani hatuhitaji kuyasema ZZK mwenyewe anatakiwa kuyapima.


Ya kwamba yeye ana hakika Katiba ijayo itapunguza miaka? Na yeye kama Mbunge hivi hakuapishwa Bungeni kuilinda Katiba iliyopo hata kama kuna mapendekezo ya kuibadilisha katiba? kwa nini anapingana na katiba iliyopo sasa hivi tena kwa sababu yake mwenyewe kutaka kugombea Urais. Angeweza sana kuyafanya haya nyuma ya pazia la chama chochote kwa kushinikiza mabadiliko huku chama kikimuandaa kama itatokea hivyo. Ni Ubinfasi mkubwa sana maana hata katiba ikibadilika itaonekana imebadilishwa ili kumwezesha Zitto agombee wakati haikutakiwa kabisa watu wafikirie hivyo..

Besides, Zitto anatumia vibaya nafasi hii kwa kusema ya mwaka 2015 wakati uhai wake wa kesho hajui itakuwaje..Kulingana na imani yake haya ni makosa pia. Muumini huwezi kutangaza matakwa yako mbele ya majaaliwa, badala ya kuomba Uzima kila siku kufikia hiyo 2015 maana hajui atakuwa wapi na atakuwa nani. Zaidi ya hayo anajijengea maadui zaidi. Kesho likimpata Jambo Itaonekana CDM wamemkolimba. Na pengine sisi wanachama tulikuwa na imani naye sana lakini kujitokeza kwake tayari CCM wataanza kumtazama kama kikwazo. wataanza mapema kumshughulikia na pengine hata kumkolimba wakijua lawama zote zitakwenda Chadema. Je hajakiweka Chama ktk nafasi mbaya?.. Jamani wengine hayahitaji tuseme hovyo humu aaaaah!

Muda wote sisi wengine tumekuwa tukimshauri ZZK kwa kutazama mbali sana na ndio maana nasema siku zote ZZK bado hajakomaa kisiasa. najua fika kwamba wadanganyika ni watu wenye fitna, wanafiki na wapenda kurudishana nyuma lakini maajabu ameendelea kuonyesha udhaifu wake ktk kuwajaua watu anaotaka kuwaongoza kwa kutoweza kuliona hata hili dogo.. Mzee Mtei kazungumza vitu ambavyo ZZK alitakiwa kuvisoma na kuvielewa badala ya kutoa majibu ya kihuni. Huyo Mbowe aambaye siku zote wanagombana sidhani kama anaweza kukubalika kugombea Urais.. He is a good Political leader, ni mwanasiasa mzuri sana lakni he is not a Presidential Material. Hivyo hata yeye analijua hili isipokuwa anategemea pengine anaweza kupendekezwa.
- IKULU SII MAHALA PA KUKIMBILIA.


Nimekusoma sana mkuu. Ninachoungana mkono na watu wengi humu ni kuwa mara nyingi Zitto anatoa kauli au misimamo kwenye mambo ambayo yanamfanya awe very vulnerable politically, na hapa namaanisha mengine ana-win, mengine ana-loose. Ninachopingana na watu wengi humu, ni kuwa Zitto anatoa kauli hizi 'kwa kutumiwa' au kwa nia yeyote mbaya. Udhaifu wa ZZK, kama wengine pia walivyo na ya kwao, ni kuwa anajiamini kupitiliza kuwa yeye ndiye best politician and leader alive in Tanzania. Naamini kuwa ZZK hana mshauri wa kisiasa, wala haamini ushauri anaopewa.
Mimi siamini kama udhaifu huu wa ZZK utaivuruga CDM, au utasimamisha progress ya CDM hata kwa sekunde moja. Na pia ZZK bado namuweka kwenye kundi la highly potential leaders wa chama sasa na baadae, pamoja na madhaifu yake hayo...
 
Nimekusoma sana mkuu. Ninachoungana mkono na watu wengi humu ni kuwa mara nyingi Zitto anatoa kauli au misimamo kwenye mambo ambayo yanamfanya awe very vulnerable politically, na hapa namaanisha mengine ana-win, mengine ana-loose. Ninachopingana na watu wengi humu, ni kuwa Zitto anatoa kauli hizi 'kwa kutumiwa' au kwa nia yeyote mbaya. Udhaifu wa ZZK, kama wengine pia walivyo na ya kwao, ni kuwa anajiamini kupitiliza kuwa yeye ndiye best politician and leader alive in Tanzania. Naamini kuwa ZZK hana mshauri wa kisiasa, wala haamini ushauri anaopewa.
Mimi siamini kama udhaifu huu wa ZZK utaivuruga CDM, au utasimamisha progress ya CDM hata kwa sekunde moja. Na pia ZZK bado namuweka kwenye kundi la highly potential leaders wa chama sasa na baadae, pamoja na madhaifu yake hayo...
Hapa nakubaliana na wewe 100%, naamini kabisa ZZK hatumiwi na CCM isipokuwa ZZK kweli anautaka Urais yeye na anajiamini kupitiliza. navyomtazama ZZK najua fika tuna kiongozi mwenye uchungu na nchi yetu lakini kisiasa anashindwa kucheza karata hizi inavyotakiwa na CCM wanatumia makosa kama haya kuwavuruga zaidi Chadema. Sijui ninam- Overestimate ZZK maanake anakuwa kama sii wa mujini kushtukia vitu hivi kutumiwa kama chambo halafu anataka watu wamuelewe. Anajimaliza mwenyewe kupambana na wapiga kura badala ya kupambana na CCM kama anavyofanya Bungeni..
 
Mimi namchukulia Zito kama mwanasiasa anayeamini anaweza kuwa kiongozi na kufanya vyema kwenye uongozi huo. Si jambo baya ni jambo zuri. Kwa upande mwingine ZZK ni mtu asiyekuwa na busara ya kutosha. Hii ni hatari kubwa. Mtu kutangaza nia wakati huu ni kukosa busara. Mara nyingi tumemwona ZZK akijibu hata hoja zinazoelekezwa kwake humu ndani kwa lugha isiyokuwa ya staha na lugha ya mtu asiyekuwa kiongozi. Kwa maana nyingine Zitto anataka uongozi lakini hajui majukumu ya kiongozi. Anaweza kuwa kiongozi mzuri na kufanya kazi yake kwa bidii lakini kwa kukosa busara inaweza kuwa tatizo kubwa. Utulivu wa nchi unaweza kuwa hatarini kwa mtu mwenye tabia kama hizi kuwa kiongozi. Binafsi ningependa awe kiongozi natamani angekuwa bora kuliko alivyo sasa hivi. Natamani kwa nia anayoonyesha ya kubadilisha mustakabali wa nchi angekuwa mtu makini, mtulivu, mwenye busara zaidi ya kuwa tu mpiganaji asiyejua aseme kipi, wakati gani na sehemu gani.
Mimi simuhofii ZZK kuwa mwanachama wa dhati wa CDM. Naamini si mamluki kama wengi wasioweza kusoma haiba za watu wanavyopayuka humu ndani. Lakini naamini sumu ya Zito ni tabia na hulka aliyoumbwa nayo. Kwa jinsi ambayo utata mwingi umeibuka juu ya uaminifu wa Zito kwa CDM kama angekuwa mtu makini angekuwa keshabadilika.
Mtu ambaye ana haiba ya kiongozi hawezi kutekwa na hisia za jukwaani na kuanza kupayuka vitu kwa wakati usiotakiwa. Kiongozi lazima ujue unaongea wakati gani na muda gani. Kama ZZK hawezi kujua ni wakati gani anaongea katika swala dogo la chama cha CDM akikabiliwa na mitihani ya uongozi itakuwaje akiwa Rais?
Utamwambiaje mtu anayekupa ushauri kama aliopewa Zito kuwa wazee wanatakiwa kupumzika wawaache vijana waongoze chama? Unajenga nini kwa maneno haya? Haya ni maneno ya kuzungumzwa na naibu katibu mkuu wa chama?
Ngoma ikilia sana hupasuka. ZZK utambue watanzania wa sasa wako tofauti. Hawawezi tena kufanya kosa walilotaka kufanya la kutaka kumweka Mrema kuwa Rais. Tunawachunguza ni vizuri ukajipima kama kweli una haiba ya kuwa kiongozi mkuu. Kama hauna si lazima ulazimishe. Bado una nafasi ya kuwepo kwenye historia kama mmoja wa viongozi waandamizi walioleta ukombozi wa awamu ya pili nchini Tanzania. Ukilazimisha kufanya usiyokuwa nayo uwezo hiyo historia itakuwa historia.
 
naungana na mzee mtei asilimia mia moja kwa kweli zitto wakati mwingine mimi binafsi silewi msimamo wake ukoje wakati mwingine namuona mtu mjuaji japo nakiri kuna mambo mengiine na mengi mazuri ameyafanya zitto ni akatulia wakati ukifika chama kitafanya utaratibu wa kumpata mgombea ni hayo tu.
 
zt k.hawezi White house .tatizo la jamaa ananunulika...mbinafsi.ye hajengi chama.wenzake wako huko na huko.ye yupo kinyume....upeo huenda anao ila haumfikii mbowe au slaa...sidhani kama kuna mtu anayewalisiliana na watu wa gvt kama huyu jamaa.usishangae katangaziwa bonge la benja...lets say trilion...au mabilioni...apasue chama....samahani ila jamaa ni kirusi....asa kirusi kuna nini?ukifika wakati temameni nae tuu....
 
Nimekusoma sana mkuu. Ninachoungana mkono na watu wengi humu ni kuwa mara nyingi Zitto anatoa kauli au misimamo kwenye mambo ambayo yanamfanya awe very vulnerable politically, na hapa namaanisha mengine ana-win, mengine ana-loose. Ninachopingana na watu wengi humu, ni kuwa Zitto anatoa kauli hizi 'kwa kutumiwa' au kwa nia yeyote mbaya. Udhaifu wa ZZK, kama wengine pia walivyo na ya kwao, ni kuwa anajiamini kupitiliza kuwa yeye ndiye best politician and leader alive in Tanzania. Naamini kuwa ZZK hana mshauri wa kisiasa, wala haamini ushauri anaopewa.
Mimi siamini kama udhaifu huu wa ZZK utaivuruga CDM, au utasimamisha progress ya CDM hata kwa sekunde moja. Na pia ZZK bado namuweka kwenye kundi la highly potential leaders wa chama sasa na baadae, pamoja na madhaifu yake hayo...

Kama kweli nia yetu ya dhati ni kumpata kiongozi mzuri ni lazima tuangalie ni yapi viongozi waliopita bila kujali vyama yaliwafanya washindwe na kuangamiza Taifa na yapi yaliwafanya waweze kuongoza na kuliendeleza taifa kama limeendelea.

Uzoefu unaonyesha tatizo kubwa la viongozi wetu wengi ni kukataa sio tu kufuata ushauri bali hata kusikiliza. Sasa kila mmoja ampe kijana mwenzetu ZZK anayetaka kwa udi na uvumba kwenda ikulu je ana fit wapi.
Anashaurika
anasikiliza ushauri wa kitaalamu
ana busara na hekima
anaweza kutumia elimu yake kutatua matatizo yetu au kujikweza na kudharau kila mmoja
anaweza kufanya kazi na wengine hata pale wanapotaofautiana kwa personal issues?
anaweza kuvumilia wenzake
anaweza kutoa maamuzi magumu
je ni kigeugeu kwa asilimia ngapi unaweza kuamini anachosema ndicho ? kumbuka amesha sema zaidi ya mara moja kuwa hata gombea ubunge nk
Je ni mwadilifu wa kweli au ngonjera tu
Je ni mfitini na mchonganishi
Je anaweza kweli kutoka rohoni kushinda vishawishi hasa vya rushwa nk nk

Hapa nakubaliana na wewe 100%, naamini kabisa ZZK hatumiwi na CCM isipokuwa ZZK kweli anautaka Urais yeye na anajiamini kupitiliza. navyomtazama ZZK najua fika tuna kiongozi mwenye uchungu na nchi yetu lakini kisiasa anashindwa kucheza karata hizi inavyotakiwa na CCM wanatumia makosa kama haya kuwavuruga zaidi Chadema. Sijui ninam- Overestimate ZZK maanake anakuwa kama sii wa mujini kushtukia vitu hivi kutumiwa kama chambo halafu anataka watu wamuelewe. Anajimaliza mwenyewe kupambana na wapiga kura badala ya kupambana na CCM kama anavyofanya Bungeni..

mkubwa Mkandara
Je ZZK ataingia ikulu akijua fika team ya kumwingiza ikulu anaichafua na kuitibua kila kukicha
Je wote tunaamini ushindi wa kisiasa ni team work ?
Je ZZK hata kama ni mzuri vipi ni kweli anaweza kushinda mwenyewe??
Je ni nani yuko tayari kufanya kazi na kiburi cha ZZK
Kutumiwa au kutotumiwa hilo analijua mwenyewe kwa nini ZZK hataki kwenda vijijini kujenga Chama ila anasubiria tu safari ya Ikulu
Kama ni swala la kutumikia chama anajifananisha na nani???
Je ZZK anaona kutoka moyoni nafasi ya mwanachama wa kawaida au anawaona kama vyombo tu vya kumpeleka ikulu
Kwa kauli zake mwenyewe anajenga chama au anakivuruga??
Kama ni elimu ni wangapi wamesoma ndani ya CDM?
Je ZZK anakumbuka kuwa amelelewa na kukuzwa kama wengine.


Tujijenge kama viongozi na kuomba hekima kama suleiman ya kuongoza watanzania.
 
Back
Top Bottom