Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Baada ya kutangaza rasmi nia yake ya kugombea urais,, nashawishika kusema kwamba ana sifa zote na anatosha sana. Vijana bila kujali u-CCM au u-CHADEMA tumuunge kijana wmenzetu mkono ili atuongoze. Go Zitto.
Mmemtuma kuleta vurugu mmeshindwa and I tell atakumbwa na aibu ya mwaka yeye na mabwana zake wa siri wa chama cha MABWEPANDE!!
 
kampe chai ZZK hotelini hapo Tabata halafu wakati mnakunywa waweza mweleza hizo sifa unazofikiri anazo pengine mwenzako anajifikiria tofauti.
 
Tumpe kura ya Ndio
images
 
Kama anatosha anakutosha wewe. Yalekea wewe Koffie ni Zitto Kabbwie mwenyewe au kuwadi wake. Siku zote tumemshauri Zitto angalau ajipatie jiko kwanza ili ajifunze kulea watoto na kutunza familia ndiposa afikiri kuongoza nchi. Nani yuko tayari kuchagua mtu ambaye hata hajijui? Tumalizie kwa kusisitiza kuwa Zitto anakutosha wewe kwa kila kitu.
Kwani wengine wote wameoa?
 
Baada ya kutangaza rasmi nia yake ya kugombea urais,, nashawishika kusema kwamba ana sifa zote na anatosha sana. Vijana bila kujali u-CCM au u-CHADEMA tumuunge kijana wmenzetu mkono ili atuongoze. Go Zitto.

Umetumwa ee. muunge ww mm kama kijana ninaye mfahamu zito tokea pale UDSM siungi hata jicho kwa mtu mwenye uchu wa madaraka na ww umehaidiwa nafasi ndo maana unapiga debe. Umeliwa gamba ww.
 
Baada ya kutangaza rasmi nia yake ya kugombea urais,, nashawishika kusema kwamba ana sifa zote na anatosha sana. Vijana bila kujali u-CCM au u-CHADEMA tumuunge kijana wmenzetu mkono ili atuongoze. Go Zitto.

Mkuu umekunywa valeur? au ndo mambo ya inteligento quotinto?
 
Zito hana uzoefu wowote ni tamaa tu inamsumbua au anakimbia kivuli chake baada ya kuona mambo magumu,hivi kutoka shule hadi ubunge kwa miaka 10 ndiyo uzoefu tunaotaka? hajui hata serikali inaendeshwaje hajawahi kuajiriwa zaidi ya hizo siasa,au kuzungumza kwa jazba bungeni ndiyo uzoefu?ajiangalie ajichunguze kama kweli anaweza kuwa kiongozi wetu mkuu.
Ameshauriwa na "KING"S MAKER" aka ROSTAM kuwa atampa URAHISI kama alivyompa JK dhaifu. ZZK na harakati za kuwa karibu na ZOKA na TISS ni mikakati michafu!! ameamua kumwaga unga ili kutimiza vurugu alizoagizwa. ZZK ni kibaraka hatari hafai hata kwa kulumangia!!
 
Afadhali nimpigie mzee mamvi na nirudi tena ccm kuliko huyo kijana mwenzako
 
Kama anatosha anakutosha wewe. Yalekea wewe Koffie ni Zitto Kabbwie mwenyewe au kuwadi wake. Siku zote tumemshauri Zitto angalau ajipatie jiko kwanza ili ajifunze kulea watoto na kutunza familia ndiposa afikiri kuongoza nchi. Nani yuko tayari kuchagua mtu ambaye hata hajijui? Tumalizie kwa kusisitiza kuwa Zitto anakutosha wewe kwa kila kitu.

Una utani na Kibabu Bachela, mi simo subiri wapambe wake waje.
 
Back
Top Bottom