Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,293
- 6,901
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu! Mwacheni ang'ang'anie hicho anachong'ang'ania!
Ila najua, Zitto anapenda kutawala katika maongezi ya kisiasa kwa kuibua hoja zitakazofanya ajadilike na sehemu kubwa ya majadiliano ya kiasiasa, huwezi kutaka Urais huku ukiwa huna sifa ya umri!
Naamini hana nia ya kugombea Urais kama anavyodai, ila najua anataka kuhama katika jimbo la Uchaguzi kwenye kiti cha Ubunge, na nasikia anataka kuja kwenye Jimbo la Kinondoni.
Pia, kingine ninachofahamu ni kuwa Zitto anautaka Uenyekiti wa Chadema, hivyo anachokifanya sasa kuongeza umaarufu wake kwa hoja ya kuzuga ya kutaka kugombea Urais.
Tukiacha kujadili hoja yake hii ambayo siku zote amekuwa akilitumia gazeti la Mwananchi (hapo nyuma alikuwa akimtumia Ramadhani Semtawa wa Mwananchi, ila sasa kabadilisha mwandishi), tutakuwa tumefanya jambo zuri sana.
Kwa maana nyepesi ni kujaribu kuamua kumpuuza kwa hizi porojo zake za kujiongezea umaarufu kwa kulitumia gazeti la Mwananchi.
Ila najua, Zitto anapenda kutawala katika maongezi ya kisiasa kwa kuibua hoja zitakazofanya ajadilike na sehemu kubwa ya majadiliano ya kiasiasa, huwezi kutaka Urais huku ukiwa huna sifa ya umri!
Naamini hana nia ya kugombea Urais kama anavyodai, ila najua anataka kuhama katika jimbo la Uchaguzi kwenye kiti cha Ubunge, na nasikia anataka kuja kwenye Jimbo la Kinondoni.
Pia, kingine ninachofahamu ni kuwa Zitto anautaka Uenyekiti wa Chadema, hivyo anachokifanya sasa kuongeza umaarufu wake kwa hoja ya kuzuga ya kutaka kugombea Urais.
Tukiacha kujadili hoja yake hii ambayo siku zote amekuwa akilitumia gazeti la Mwananchi (hapo nyuma alikuwa akimtumia Ramadhani Semtawa wa Mwananchi, ila sasa kabadilisha mwandishi), tutakuwa tumefanya jambo zuri sana.
Kwa maana nyepesi ni kujaribu kuamua kumpuuza kwa hizi porojo zake za kujiongezea umaarufu kwa kulitumia gazeti la Mwananchi.