mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,207
Wakurugenzi wa haya mashirika mawili mnajidhalilisha sana na kudhalilisha nafasi mlizopewa pamoja na taaluma. Yaani mashirika yanafanya kazi kwa style ya kizamani mnoooooo.
Kuna wakati inabidi mjikagaue msome alama za nyakati, anagalieni basi japo wengine wa nchi nyingine wanaofanya mnayofanya nyie wanafanyaje hadi wanafanikiwa kukua na kuvuka mipaka?
Nyie watu wa posta mnakera kweli. Yaani posta leo ukituma barua ya kawaida ulaya unamaliza miezi 2 haijafika? Halafu mkiulizwa mnajibu kirahisi ati "ukitaka barua yako ifike haraka lipia elfu 80 upewe tarcking number"
Niwaulize kitu kimoja, kama mnajua bila tracking number barua hazifiki kwanini mnawaambia watu watume?
Hivi mnajua mnapoteza mapato kiasi gani kwa urasimu wenu usio na maana? Hizo ndege zinazosafirisha barua na parcel za dhl Sio hizohizo zinasafirisha parcel na barua zenu?
Huduma za posta ni Nero jamani. Jiongezeni japo kidogo basi, fanyeni research mjue wenzenu waliowekeza kwenye hiyo sector wanafanyaje halafu mu improve kidogo. Vinginevyo mumshauri Rais abinafsishe au afunge hayo mashirika tuwaachie wageni watupatie huduma.
Kuna wakati kuliko ukubali kuwa kiongozi wa shirika au taasisi inayoenda kukufia mkononi mwako ni heri kuiacha hiyo office ukafanya mambo mengine
Nimeandika kidogo tuu Wacha kuendelea kutunza swaumu yangu kwanza.
Hii kitu nadhani tatizo ni mfumo. Na mfumo wenyewe umesababishwa na matatizo yetu wenyewe. Nitatoa mfano mmoja hasa kuhusu TTCL. TTCL wanafunga Fibre na kwa bahati nzuri wateja tulijitokeza wengi lakini kila siku kutufungia fibre imekuwa ni wimbo.
Nilipouliza nikaambiwa kuwa tatizo ni machine ya kuchomelea walikuwa na mbili, moja imeharibika kwa hiyo wana moja tu. Wateja ni wengi zaidi ya 300. Lakini kuna wakati, zilipatikana machine mbili ambazo ni used kwa gharama ndogo almost 21% ya mpya lakini kikwazo kikawa ni 'Sheria za manunuzi haziruhusu kununua USED'.
Unaweza kudhani ni mpuuzi ambaye aliweka hii sheria, la hasha, hii sheria iliwekwa baada ya kujua watu wanapiga kupitia njia hii. Mfano ukarabati wa kivuko cha kigamboni.
Pamoja na kulaumu, ambayo ni haki yetu, ila tujilaumu kwa kutokuwa WAUNGWANA katika kila tulifanyalo. Wengi ubinafsi umetuzidi. Wizi imekuwa ni dili etc. Angalia jinsi ambavyo katika Daladala makonda wanavyohangaika kucheki tiketi, na mtu anajitahidi sana kukwepa kulipa, na akikwepa anajiona mjanja.
Nenda ujerumani, hakuna konda katika mabasi yao ila kila mtu analipa. Kwao hata mtu akifanya maamuzi ya kununua kitu used hatapata shida kwa vile anajitahidi kufanikisha ila sie hapa, UPIGAJI. Kwa mtaji huu, TTCL haliwezi kushindana na makampuni ya binafsi, hata awekwe nani.
Ref njinjo🙏
Kuna wakati inabidi mjikagaue msome alama za nyakati, anagalieni basi japo wengine wa nchi nyingine wanaofanya mnayofanya nyie wanafanyaje hadi wanafanikiwa kukua na kuvuka mipaka?
Nyie watu wa posta mnakera kweli. Yaani posta leo ukituma barua ya kawaida ulaya unamaliza miezi 2 haijafika? Halafu mkiulizwa mnajibu kirahisi ati "ukitaka barua yako ifike haraka lipia elfu 80 upewe tarcking number"
Niwaulize kitu kimoja, kama mnajua bila tracking number barua hazifiki kwanini mnawaambia watu watume?
Hivi mnajua mnapoteza mapato kiasi gani kwa urasimu wenu usio na maana? Hizo ndege zinazosafirisha barua na parcel za dhl Sio hizohizo zinasafirisha parcel na barua zenu?
Huduma za posta ni Nero jamani. Jiongezeni japo kidogo basi, fanyeni research mjue wenzenu waliowekeza kwenye hiyo sector wanafanyaje halafu mu improve kidogo. Vinginevyo mumshauri Rais abinafsishe au afunge hayo mashirika tuwaachie wageni watupatie huduma.
Kuna wakati kuliko ukubali kuwa kiongozi wa shirika au taasisi inayoenda kukufia mkononi mwako ni heri kuiacha hiyo office ukafanya mambo mengine
Nimeandika kidogo tuu Wacha kuendelea kutunza swaumu yangu kwanza.
Hii kitu nadhani tatizo ni mfumo. Na mfumo wenyewe umesababishwa na matatizo yetu wenyewe. Nitatoa mfano mmoja hasa kuhusu TTCL. TTCL wanafunga Fibre na kwa bahati nzuri wateja tulijitokeza wengi lakini kila siku kutufungia fibre imekuwa ni wimbo.
Nilipouliza nikaambiwa kuwa tatizo ni machine ya kuchomelea walikuwa na mbili, moja imeharibika kwa hiyo wana moja tu. Wateja ni wengi zaidi ya 300. Lakini kuna wakati, zilipatikana machine mbili ambazo ni used kwa gharama ndogo almost 21% ya mpya lakini kikwazo kikawa ni 'Sheria za manunuzi haziruhusu kununua USED'.
Unaweza kudhani ni mpuuzi ambaye aliweka hii sheria, la hasha, hii sheria iliwekwa baada ya kujua watu wanapiga kupitia njia hii. Mfano ukarabati wa kivuko cha kigamboni.
Pamoja na kulaumu, ambayo ni haki yetu, ila tujilaumu kwa kutokuwa WAUNGWANA katika kila tulifanyalo. Wengi ubinafsi umetuzidi. Wizi imekuwa ni dili etc. Angalia jinsi ambavyo katika Daladala makonda wanavyohangaika kucheki tiketi, na mtu anajitahidi sana kukwepa kulipa, na akikwepa anajiona mjanja. Nenda ujerumani, hakuna konda katika mabasi yao ila kila mtu analipa. Kwao hata mtu akifanya maamuzi ya kununua kitu used hatapata shida kwa vile anajitahidi kufanikisha ila sie hapa, UPIGAJI. Kwa mtaji huu, TTCL haliwezi kushindana na makampuni ya binafsi, hata awekwe nani.
Hii kitu nadhani tatizo ni mfumo. Na mfumo wenyewe umesababishwa na matatizo yetu wenyewe. Nitatoa mfano mmoja hasa kuhusu TTCL. TTCL wanafunga Fibre na kwa bahati nzuri wateja tulijitokeza wengi lakini kila siku kutufungia fibre imekuwa ni wimbo.
Nilipouliza nikaambiwa kuwa tatizo ni machine ya kuchomelea walikuwa na mbili, moja imeharibika kwa hiyo wana moja tu. Wateja ni wengi zaidi ya 300. Lakini kuna wakati, zilipatikana machine mbili ambazo ni used kwa gharama ndogo almost 21% ya mpya lakini kikwazo kikawa ni 'Sheria za manunuzi haziruhusu kununua USED'.
Unaweza kudhani ni mpuuzi ambaye aliweka hii sheria, la hasha, hii sheria iliwekwa baada ya kujua watu wanapiga kupitia njia hii. Mfano ukarabati wa kivuko cha kigamboni.
Pamoja na kulaumu, ambayo ni haki yetu, ila tujilaumu kwa kutokuwa WAUNGWANA katika kila tulifanyalo. Wengi ubinafsi umetuzidi. Wizi imekuwa ni dili etc. Angalia jinsi ambavyo katika Daladala makonda wanavyohangaika kucheki tiketi, na mtu anajitahidi sana kukwepa kulipa, na akikwepa anajiona mjanja.
Nenda ujerumani, hakuna konda katika mabasi yao ila kila mtu analipa. Kwao hata mtu akifanya maamuzi ya kununua kitu used hatapata shida kwa vile anajitahidi kufanikisha ila sie hapa, UPIGAJI. Kwa mtaji huu, TTCL haliwezi kushindana na makampuni ya binafsi, hata awekwe nani.
Ref njinjo🙏