Rwegarulila
Member
- Mar 13, 2013
- 26
- 50
Pascal Mayalla ili kuondoa hii sintofahamu ni kwa Serikali kuuweka huo mkataba hadharani kwa umma kwa kuupeleka kwenye Bunge kama sheria inavyotamka! Hiyo taarifa ya BBC iwe kichocheo au changamoto ya kufanya hivyo!