Pascal Mayalla (Njaa) ni yuleyule na Njaa bado ipo palepale maana hakupata uteuzi licha ya jitihada kubwa za kuunga mkono juhudi akaambulia kurudishiwa Press Card yake ambayo bado haijapunguza Njaa. Baada ya Uchaguzi mgombea wa nyumbani akishindwa kutakuwa na teuzi kibao lazima kuanza mapema kuunga mkono juhudi asije akakosa hata UDAS kama alivyopata Mwandishi wa Habari mwenzake wa Clouds sasa hivi anatamba VX8. Try the other side, Pascal, this year's elections are unpredictable!Hivi nani anamkumbuka Pascal Mayalla aliyemuliza JPM maswali hadi JPM akamwambia maana ya jina mayalla kwakisukuma ni njaa kapotelea wapi, akikutana na Pascal Mayalla huyu wa JF siwanaweza kupigana vibaya natamani sikumoja wakutanishwe
Sasa umefurahi BBC kusema uongo? Kama sio kutumiwa ni nini? Sisi watanzania ndo tunajua tunataka nini, wao na propaganda wataisoma namba! Kwanza issue ya makinikia hamkuianzisha nyie na mliapa tutashitakiwa MIGA sasa huo uchungu mnautoa wapi?Watu wa Aina yako ndio uwa wanadhan kila mtu mweupe ni mzungu
Unafahamu kama Deo Mwanyika anagombea ubunge Njombe Mjini kwa tiketi ya CCM?
Sasa umefurahi BBC kusema uongo? Kama sio kutumiwa ni nini? Sisi watanzania ndo tunajua tunataka nini, wao na propaganda wataisoma namba! Kwanza issue ya makinikia hamkuianzisha nyie na mliapa tutashitakiwa MIGA sasa huo uchungu mnautoa wapi?
Hapo sasa. Labda hawara ya bibi yako mzaa babu yako anaweza kutufafanuliaKWA NINI SIKU IZI BAROZI ZA ULAYA BAADA YA KUONA VYAMA FLANI VINAFANYA KAMPENI KWENYE MISURURU YA WATU, HAZITOI NYO JUU YA KUENEA NA UWEPO WA KORONA TANZANIA, KAMA KIPINDI KILEE? AU NAO WANAKUBALI KORONA IMEISHA??
Aaah, aaah, Duh, umenifurahisha!KWA NINI SIKU IZI BAROZI ZA ULAYA BAADA YA KUONA VYAMA FLANI VINAFANYA KAMPENI KWENYE MISURURU YA WATU, HAZITOI NYO JUU YA KUENEA NA UWEPO WA KORONA TANZANIA, KAMA KIPINDI KILEE? AU NAO WANAKUBALI KORONA IMEISHA??
Huyu Mhutu apuuzwe tu kama kaka yakeUmeng'ang'ania kipindi cha kampeni, kipindi cha kampeni, ulitaka waitoe hii habari wakati gani?
Mbona hukemei jiwe kutoa pesa za barabara kipindi hiki cha kampeni?
Unforgetable
HAAA HAAAAAA. WAZUNGU NAO WALIKUBALI KUTUMIWA NA MATAPELI WA KISIASA ZA BONGO, MPAKA WAKAMGARIMU MAMA YULE WA AMERIKA AKAPOTEZA KIBARUA CHAKE KIZEMBEEE. HAAAAAAAA HAAAAAAA.Aaah, aaah, Duh, umenifurahisha!
Hawa Jamaa wanafikiri watu wote ni wajinga watakuwa mateka wa 'lugha zao za kitaalamu'!
TANZANIA TUKO HURU, HATUTA AMLIWA MADALAKA NA MABEBERU. KAMA NDO NIA ZENU NATUNAZIFAHAMU. WAAMBIENI WATANZANIA SIO WAJINGA, NA IKULU HAMTOIONA HADI MWISHO WA DUNIA.Wacheni BBC itusaidie kuling'oa hili janga
Thubutuu!! ARVs zisipoletwa utatengeneza weye?TANZANIA TUKO HURU, HATUTA AMLIWA MADALAKA NA MABEBERU. KAMA NDO NIA ZENU NATUNAZIFAHAMU. WAAMBIENI WATANZANIA SIO WAJINGA, NA IKULU HAMTOIONA HADI MWISHO WA DUNIA.
Hicho kibaraka cha huyo anayejiita MWENDAWAZIMU kitaandika chochote humu ili kionekane na labda kipate TEUZI na hivyo kuweza kuganga njaa. MUJINI hapakaliki madeni hata kwenye KOPE.
Hilo linashugulikiwa na WHO. Pamoja nahayo, siyosababu ya kuwagawia tawala, na pia hats sisi tunachangia dawaa hizooo. Waaaaambieni mabeberu wanaotaka madini hawatapata ata kijiko cha makinikia cha bureee.Thubutuu!! ARVs zisipoletwa utatengeneza weye?
Tusaidiane bandugu tumtoe jiwe madarakani mimi nijuavyo wana CCM wengi hawana hamu nae