Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
Nimeishia kucheka tu
Kushare mswaki? Ili iweje sasa? mswaki 300 tu, halafu tutumie mmoja, hata kama umaskini hii no! mswaki una zama ndani ya meno na kutoa hadi vyakula ya mwaka juzi. Hiyo ni BIG NO.
Dah...ninakumbuka mbali sana.
Nimeishia kucheka tu
umewahi share
Mara kibao tu
umewahi share
Mara kibao tu
a piece of advice my friend....FOLLOW YOUR HEART..........but take your brain with you......
Mbona denda ndio balaa zaidi maana kama ulimi ulikuwa una rangi nyeupe kutokana na kula wali au ugali baada ya denda ulimi unatoka mwekundu na kurudi kwenye hali yake ya kawaida na chembe chembe zote nyeupe zinatokaKushare mswaki? Ili iweje sasa? mswaki 300 tu, halafu tutumie mmoja, hata kama umaskini hii no! mswaki una zama ndani ya meno na kutoa hadi vyakula ya mwaka juzi. Hiyo ni BIG NO.
a piece of advice my friend....FOLLOW YOUR HEART..........but take your brain with you......
I find sharing a toothbrush very appalling
in that case am always keeping my brain in my pocket