Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
sitii neno.....
Tia japo neno kidogo
sitii neno.....
Mbona denda ndio balaa zaidi maana kama ulimi ulikuwa una rangi nyeupe kutokana na kula wali au ugali baada ya denda ulimi unatoka mwekundu na kurudi kwenye hali yake ya kawaida na chembe chembe zote nyeupe zinatoka
Jamaa ameona kinyaa kwa kuwa unaokuwa kwenye situation ya kupiga denda akili yote umeielekeza pale issue ya risk na sijui uchafu huwaziSio denda tu mkuu,kuzama chumvini nako itakuwaje km kushare mswaki tu ni hatari
Dah...ninakumbuka mbali sana.
Sio denda tu mkuu,kuzama chumvini nako itakuwaje km kushare mswaki tu ni hatari
Tia japo neno kidogo
Je! Unaweza kushare mswaki na mpenzi wako jibu langu:Japoo denda nakula mswaki hapana
Sijui nyie wenzangu.
Kushare mswaki? Ili iweje sasa? mswaki 300 tu, halafu tutumie mmoja, hata kama umaskini hii no! mswaki una zama ndani ya meno na kutoa hadi vyakula ya mwaka juzi. Hiyo ni BIG NO.
tatizo sio bei
vitu wanavyoshare wapenzi vingi havina gharama
Sio denda tu mkuu,kuzama chumvini nako itakuwaje km kushare mswaki tu ni hatari
mswaki noo