Unatumia njia gani kuwasaidia ndugu na jamaa zako pale kipato chako kinapokuwa chini ya mahitaji yako ya muhimu?

Unauhakika na usemacho kijana?sasa ni kuambie ndugu zako wa kweli ni wanao tu!!na Mama yako mzazi akiwa bado upo hai!!wadogo zako au kaka au dada wajali kiasi tu LAKINI don't count too much on them!!wanamajukumu na familia zao ndio kipaumbele chao sio wewe!!!Nakuambia with personal experience not with words!!hapa kwangu nimeishi na ndugu wawili kutoka familia yetu na familia ya mke wangu nimeona ni Total mess!!!nasaidia kiasi LAKINI siwekezi nguvu zangu nyingi kwao Sana najali Mama Sana wao watapambana coz sio walemavu na wala sio vichaa!!!Huwa na waambia hakuna cha bure wala cha kupewa mtaji ni afya zao tu wachape kazi!!labda wanafunzi kidogo ndio nawajali kwao matumizi tena madogo ya muhimu tu na hivyo sitarajii makubwa wala fadhila Toka kwao!!!Nimesaidia moja juzi ananitishia Maisha na familia yangu kisa nimemwmbia aende kwake familia yake inamuhitaji yeye anataka akaye kwangu abweteke anachojua ni mitungi na mikasi!!!MISAADA inapumbaza waafrika badala ya kuwasaidia ipo siku utalea watoto wa ndugu zako kisa hawawajibiki ipasavyo!!!!with personal experience not by hate or illusions!!!
Hili andiko Lina ukweli asilimia 💯
 
Kutoa msaada unao mudu hakuna tatizo kabisa. Lakini msaada unatoa wa aina gani?

Nadhani ni pamoja na msaada wa mawazo au ushauri.

Kuna wapokea misaada na kuamini wataishi kwa kupokea misaada.

Nadhani hakuna misaada ya kudumu. Mtu apatapo msaada afikirie pia namna ya msaada utakavyo mfanya ajitegemee.

Sidhani kama ni sahihi kuamini kuwa duniani wameumbwa wa kutoa misaada na wa kupokea misaada.

Kuwaza kwa namna hiyo kunaendekeza jamii kufikiria kuwa wapokea misaada zaidi badala ya kufikiria kuwa watoa misaada.
 
Heshima kwenu Wakuu.

Nimebahatika kuishi Nchi za wenzetu kwa Mabeberu, kiasi fulani nimejifunza mambo kadhaa.

Sisi Wabongo tunaishi maisha ya ujamaa, yaani kugawana kidogo tunachokuwa nacho ili kila mtu apate japo mkate. Hali hii inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya sisi wabongo bado maisha yetu yapo chini sana hivyo idadi ya wategemezi kwenye familia zetu bado ni kubwa sana hivyo tunaishi kwa kutegemeana.

Hata hivyo, hali ni tofauti kwa wenzetu mabeberu. Nadhani hii inatokana na kuwa, wao kiwango cha ukosefu wa ajira ni kiasi kidogo sana, hivyo kila familia ina uwezo wa kujiingizia kipato chake na kumudu gharama za maisha. Jambo lingine ni kuwa, wenzetu hawana maisha ya kijamaa kiviile. Yaani ni yeye na familia yake full stop. Mnaweza kuwa mnaishi nyumba moja ila mkawa mnasalimiana tu hakuna stories zaidi ya hapo. Msamiati wa kukopana pesa sijauona, ukiwa na shida unaweza kuomba msaada kwenye serikali ya jimbo lako. Kwa nchi kama Sweden, serikali ya mahali unapoishi inaweza kugharamia gharama za kuishi kwa vijana wasiokuwa na ajira ama kupoteza ajira. Unaweza kupata pesa ya kujikimu na ukalipiwa rent. Hi ni kwa raia pekee. Siyo kama sie wakuja.

Nirudi kwenye mada sasa.

Vibwagizo kidogo


1. Nilipokuwa nasoma wakati flani, kutokana na maisha yetu ya uduni, nilikuwa nikiomba masaada kwa ndugu yangu (binamu) hapa na pale ili kukidhi mahitaji muhimu. Huyu binamu yangu, kwa maoni yangu, alikuwa na unafuu kidogo wa maisha kwa maana ya kuwa na ajira, nyumba yake na kiusafiri. Hivyo kwa kuwaza kwangu kipindi hicho nikajua atakuwa na maisha bora na ana mpunga wa kutosha. Chakushangaza, wakati mmoja nikamuomba msaada nilikuwa chuoni wakati boom limekata akawa amenitumia kiasi cha pesa kidogo sana kuliko nilivyotarajia. Niwe muwazi kuwa nilifadhaika, nikasema, yaani kweli binamu ananitumia elfu 10 tu kweli? na nimemweleza kuwa nina shida na sina kitu kabisa?

2. Huyohuyo binamu yangu, wakati nipo mdogo kwa shangazi yangu, nilikuwa nashangaa, iweje tunaishi maisha magumu pale home pengine pesa ya kula inakata na wakati yeye ana kazi huko Dar na anakula maisha? (mawazo yangu). Na pesa ilipokuwa inakata, binamu alikuwa hatumi pesa mpaka Shangazi apige simu na akipiga alikuwa anatuma kiasi kidogo sana. Kwakweli niliwaza sana nikajisemea kuwa kwanini watu waliofanikiwa kupata vijisenti hawatumi pesa kwa wazazi wao mpaka waambiwe? Ina maana hawajui wajibu wao?

3. Kumbe buana, yale yalikuwa nawazo ya utoto tu. Ukubwani sasa nimegundua kuwa Binamu yangu alikuwa ameajiriwa na pengine kipato chake kilikuwa cha kawaida sana na kutokana na majukumu ya familia yake na maisha ya mjini tena Dar, basi kipato chake si chochote kivile kumudu maisha na kutuma mapesa mengi kwao kama nilivyokuwa nawaza nikiwa mdogo.

4. Mawazo yangu hapo juu, yametokana na ukweli kuwa, pamoja na kipato changu kuongezeka karibia mara mbili ya kipato changu cha awali, nimegundua kuwa hata mie wazazi wangu sijawatosheleza kwa kuwasaidia mahitaji yao kwa kiwango cha kuridhisha sana. Yaani wanaishi maisha yenye unafuu kidogo ila bado wana ganga ganga tu. Pamoja na kujitahidi kutokuwa mbinafsi na kuishi maisha ya kawaida, bado naona kabisa hata msaada wangu wa kwa ndugu na jamaa bado ni kidogo sana pamoja na kipato changu kuongezeka kidogo. Najua huwezi kumfurahisha kila mtu na huwezi kuacha kulaumiwa, ila naamini wapo watu wanaoniona kama mtu niliyefanikiwa na nimeshindwa kuwasaidia. Kumbe bado naganga ganga tu.

Naomba nijielekeze kwenye hoja ya msingi baada ya vibwagizo hapo juu.
Naomba kulizungumzia kundi la wale ambao vipato vyao huweza kugharamia mahitaji ya msingi kama chakula, mavazi na kulipia kodi ya nyumba ama pengine anaishi kwenye nyumba yake. Kundi hili baadhi ya watu huliita kama middle class family. Kwa uchunguzi wangu, kundi hili lina mzigo mkubwa kwenye jamii maana jamii yetu hasa wale wanaotoka kwenye extended families na jamaa zao hawawezi kumudu mahitaji muhimu, hulitazama kundi hili kama kundi lenye unafuu kimaisha, hivyo hutegemea kupata msaada kutoka kwao. Hata hivyo, kutokana na kipato chao kulingana na matumizi, tena yale ya lazima tu, kiukweli kundi hili hujikuta kwenye changamoto kubwa kimaisha na kushindwa kukidhi matarajio ya jamaa zake na kuonekana kama mtu mbinafsi, hivyo hutupiwa lawama kwa kiasi kikubwa ilihali vipato vyao pengine vinatosheleza tu kula chakula na kulipia kodi ya nyumba.

Je, wewe kama kipato chako kina balance na matumizi yale ya lazima pekee, yaani chakula, mavazi na makazi. Huwa unatumia njia gani kusaidia ndugu na jamaa zako ambao wana maisha duni na wana matarajio makubwa kutoka kwako? Kumbuka nazungumzia mtu ambaye akipata kipato chake kinalingana na matumizi kwa mwezi husika na hawezi kufanya hata savings. Nyongeza, namzungumzia mtu ambaye si mbinafsi, ana moyo wa kuwasaidia wahitaji ila uwezo wake upo chini zaidi ya kile anachotakiwa kufanya katika jamii yake. Wahitaji wanaweza kuwa ndugu wa karibu wa tumbo moja, mabinamu, wajomba, mashangazi, baba mkubwa, mama mkubwa, rafiki wa karibu sana n.k.

1) Je, ni sahihi kukubali lawama kwa muda flani ili ubakie kwenye mapambano kwanza na usitoe msaada mpaka utoboe kwanza kufikia hatua ya kipato kuwa juu ya gharama za maisha? Natambua kuwa kadri kipato kinavyoongezeka mtu anaweza kuchagua maisha ya juu zaidi hivyo isifike siku ambapo atabakiza savings na kuwasaidia wahitaji, ila hapa nazungumzia wale ambao wana nia ya dhati ya kuwasaidia jamaa zao na pengine wangependa kuridhika na maisha waliyonayo hasa anapokuwa amefikia kwenye lifestyle inayomwezesha kula na kubakisha savings kila mwezi.

2) Au Je, kama maisha ya swali hapo juu ni ubinafsi, unadhani ni sahihi kupunguza gharama za maisha yako ili ukubali kurudi nyuma kidogo ili kubakiza savings, ziweze kuwasaidia jamaa zako wanaokutegemea? Kama kweli tunataka kutekeleza msemo wa kwamba kutoa ni moyo na si utajiri..?

3) Je, jambo hilo namba 2 hapo juu ni practical in real sense?

Nini maoni yako? Karibu ku-share mawazo ili tuelimishhane..
Hali unayopitia tunapitia wengi wenye moyo wa kuwasaidia wengine, changamoto ndiyo hiyo hiyo! Binafsi naweza kujinyima ama kupunguza standard yangu ya maisha kwa ajili ya mzazi wangu au mkwe wangu tu, hawa wengine itategemea sana na uhitaji alionao, huwa siwapi kipaumbele sana kiasha cha kujinyima na kupunguza mahitaji yangu muhimu kama vile kupunguza kilo za mchele, unga n.k kwa ajili yake. Naamini wao wanazo nguvu kama wakiwa na bidii ya kujishughulisha pasipo kuchagua kazi lazima watapata kipato cha kujikimu. Zaidi ya hapo labda nikipata cha ziada ninachoqeza kufanya saving ama uwekezaji, hicho naweza kumega kidogo nikamsaidia ndugu/jamaa ya karibu mwenye shida yake. Ila kwa mzazi ama mkwe wangu hapo sina namna hata kwa kukopa nitakopa atatue shida yake na mara nyingi hawa huwa hawana anasa kiasi cha kulemea.
 
Kwa upande wangu naona ni vema kusaidia kwa uwezo wako ila si kila saa ili usigeuke tegemezi kwa asilimia 100.

Hili ni jambo ambalo nafanya kwa ndugu wote wanaoniomba pesa. Kuna mida nakupa yote. Kuna mida nakupa nusu. Kuna mida sikupi kabisa.

Nachanganya hivi ili nisije kujulikana kama mtu toatoa hela asiyejua kusema hapana katika ukoo/familia jambo ambalo nasikitika linaleta mzigo sana kwa wengi kwenye familia za kiafrika. Hivyo unakuta nikiingia katika mode ya NO inapita miezi sijatoa hela kwa ndugu labda tu pesa ambayo naitoaga automatically kwa mama kila mwezi kusaidia expenses zake.
Safi sana, kama nafasi inaruhusu sawa kama hairuhusu basi
 
Ukweli mtoa mada nimeuelewa uchambuzi wako!

Hali katika jamii zetu inatisha,
Umeajiriwa/umejiajiri lakini huwezi hata kumudu mahitaji yako yote ya msingi,bado wategemezi.Sasa bado wale waliokusaidia/ndugu zako!

Mwisho simu ikiita roho inaanza kudunda ukidhani ni yule ndugu yako uliyemuahidi kiasi flani cha pesa mwisho wa mwezi,hali inaendaaaa mpaka unasindwa kutimiza ahadi zako zilizonyingi,

Nini kinatokea,unasajili laini mpya ya simu kisha unaitambulisha kwa baadhi tu ya wale wanaokuelewa/wanaoelewa hali yako na kukuvumilia!

Ama unauchuna kabisa lakini huku ukiugulia maumivu ya kukaa mbali na jamaa zako!
 
Ndio muanze kuelewa na kuwafundisha watoto wenu, kuwa ndugu ni wa familia moja tu...
Si cha binamu, wala mjomba....
Mimi nimeishi maisha ya utotoni nikiona ndugu wakipishana kwetu, mpaka inabidi tunalala wawili au tunatandika carpet chini tuwaachie mara ndugu upande wa baba mara wa upande wa mama ili walale kwenye vitanda, mpaka Mama alichoka baadae lakini hawaishi...
Baadae Mdingi alivyostaafu, walipotea kama pata potea ya mazingaombwe, tulijikuta tupo familia moja wenyewe tu na mpaka tulifikia asubuhi ni chai ya rangi tu imetoka hiyo...na msosi ni mmoja kwa siku.
Ndio tukajifunza, na kuelewa, na baadae tukajipanga wote kila mmoja wetu anaendesha familia yake binafsi na kujiweza kimaisha above average na bila kumsahau Mama yetu kipenzi aliyebaki...
Sasa picha linaanza upya...wale waliokuwa wanakuja home na wakapotea baada ya Mzee kustaafu, sasa watoto wao ndio wanatutafuta kuendeleza ule mtindo ule ule, hapo unakuta wanaambiwa na wazazi wao, hao kina fulani ni ndugu zenu wafuateni wawasaidie....
 
Heshima kwenu Wakuu.

Nimebahatika kuishi Nchi za wenzetu kwa Mabeberu, kiasi fulani nimejifunza mambo kadhaa.

Sisi Wabongo tunaishi maisha ya ujamaa, yaani kugawana kidogo tunachokuwa nacho ili kila mtu apate japo mkate. Hali hii inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya sisi wabongo bado maisha yetu yapo chini sana hivyo idadi ya wategemezi kwenye familia zetu bado ni kubwa sana hivyo tunaishi kwa kutegemeana.

Hata hivyo, hali ni tofauti kwa wenzetu mabeberu. Nadhani hii inatokana na kuwa, wao kiwango cha ukosefu wa ajira ni kiasi kidogo sana, hivyo kila familia ina uwezo wa kujiingizia kipato chake na kumudu gharama za maisha. Jambo lingine ni kuwa, wenzetu hawana maisha ya kijamaa kiviile. Yaani ni yeye na familia yake full stop. Mnaweza kuwa mnaishi nyumba moja ila mkawa mnasalimiana tu hakuna stories zaidi ya hapo. Msamiati wa kukopana pesa sijauona, ukiwa na shida unaweza kuomba msaada kwenye serikali ya jimbo lako. Kwa nchi kama Sweden, serikali ya mahali unapoishi inaweza kugharamia gharama za kuishi kwa vijana wasiokuwa na ajira ama kupoteza ajira. Unaweza kupata pesa ya kujikimu na ukalipiwa rent. Hi ni kwa raia pekee. Siyo kama sie wakuja.

Nirudi kwenye mada sasa.

Vibwagizo kidogo


1. Nilipokuwa nasoma wakati flani, kutokana na maisha yetu ya uduni, nilikuwa nikiomba masaada kwa ndugu yangu (binamu) hapa na pale ili kukidhi mahitaji muhimu. Huyu binamu yangu, kwa maoni yangu, alikuwa na unafuu kidogo wa maisha kwa maana ya kuwa na ajira, nyumba yake na kiusafiri. Hivyo kwa kuwaza kwangu kipindi hicho nikajua atakuwa na maisha bora na ana mpunga wa kutosha. Chakushangaza, wakati mmoja nikamuomba msaada nilikuwa chuoni wakati boom limekata akawa amenitumia kiasi cha pesa kidogo sana kuliko nilivyotarajia. Niwe muwazi kuwa nilifadhaika, nikasema, yaani kweli binamu ananitumia elfu 10 tu kweli? na nimemweleza kuwa nina shida na sina kitu kabisa?

2. Huyohuyo binamu yangu, wakati nipo mdogo kwa shangazi yangu, nilikuwa nashangaa, iweje tunaishi maisha magumu pale home pengine pesa ya kula inakata na wakati yeye ana kazi huko Dar na anakula maisha? (mawazo yangu). Na pesa ilipokuwa inakata, binamu alikuwa hatumi pesa mpaka Shangazi apige simu na akipiga alikuwa anatuma kiasi kidogo sana. Kwakweli niliwaza sana nikajisemea kuwa kwanini watu waliofanikiwa kupata vijisenti hawatumi pesa kwa wazazi wao mpaka waambiwe? Ina maana hawajui wajibu wao?

3. Kumbe buana, yale yalikuwa nawazo ya utoto tu. Ukubwani sasa nimegundua kuwa Binamu yangu alikuwa ameajiriwa na pengine kipato chake kilikuwa cha kawaida sana na kutokana na majukumu ya familia yake na maisha ya mjini tena Dar, basi kipato chake si chochote kivile kumudu maisha na kutuma mapesa mengi kwao kama nilivyokuwa nawaza nikiwa mdogo.

4. Mawazo yangu hapo juu, yametokana na ukweli kuwa, pamoja na kipato changu kuongezeka karibia mara mbili ya kipato changu cha awali, nimegundua kuwa hata mie wazazi wangu sijawatosheleza kwa kuwasaidia mahitaji yao kwa kiwango cha kuridhisha sana. Yaani wanaishi maisha yenye unafuu kidogo ila bado wana ganga ganga tu. Pamoja na kujitahidi kutokuwa mbinafsi na kuishi maisha ya kawaida, bado naona kabisa hata msaada wangu wa kwa ndugu na jamaa bado ni kidogo sana pamoja na kipato changu kuongezeka kidogo. Najua huwezi kumfurahisha kila mtu na huwezi kuacha kulaumiwa, ila naamini wapo watu wanaoniona kama mtu niliyefanikiwa na nimeshindwa kuwasaidia. Kumbe bado naganga ganga tu.

Naomba nijielekeze kwenye hoja ya msingi baada ya vibwagizo hapo juu.
Naomba kulizungumzia kundi la wale ambao vipato vyao huweza kugharamia mahitaji ya msingi kama chakula, mavazi na kulipia kodi ya nyumba ama pengine anaishi kwenye nyumba yake. Kundi hili baadhi ya watu huliita kama middle class family. Kwa uchunguzi wangu, kundi hili lina mzigo mkubwa kwenye jamii maana jamii yetu hasa wale wanaotoka kwenye extended families na jamaa zao hawawezi kumudu mahitaji muhimu, hulitazama kundi hili kama kundi lenye unafuu kimaisha, hivyo hutegemea kupata msaada kutoka kwao. Hata hivyo, kutokana na kipato chao kulingana na matumizi, tena yale ya lazima tu, kiukweli kundi hili hujikuta kwenye changamoto kubwa kimaisha na kushindwa kukidhi matarajio ya jamaa zake na kuonekana kama mtu mbinafsi, hivyo hutupiwa lawama kwa kiasi kikubwa ilihali vipato vyao pengine vinatosheleza tu kula chakula na kulipia kodi ya nyumba.

Je, wewe kama kipato chako kina balance na matumizi yale ya lazima pekee, yaani chakula, mavazi na makazi. Huwa unatumia njia gani kusaidia ndugu na jamaa zako ambao wana maisha duni na wana matarajio makubwa kutoka kwako? Kumbuka nazungumzia mtu ambaye akipata kipato chake kinalingana na matumizi kwa mwezi husika na hawezi kufanya hata savings. Nyongeza, namzungumzia mtu ambaye si mbinafsi, ana moyo wa kuwasaidia wahitaji ila uwezo wake upo chini zaidi ya kile anachotakiwa kufanya katika jamii yake. Wahitaji wanaweza kuwa ndugu wa karibu wa tumbo moja, mabinamu, wajomba, mashangazi, baba mkubwa, mama mkubwa, rafiki wa karibu sana n.k.

1) Je, ni sahihi kukubali lawama kwa muda flani ili ubakie kwenye mapambano kwanza na usitoe msaada mpaka utoboe kwanza kufikia hatua ya kipato kuwa juu ya gharama za maisha? Natambua kuwa kadri kipato kinavyoongezeka mtu anaweza kuchagua maisha ya juu zaidi hivyo isifike siku ambapo atabakiza savings na kuwasaidia wahitaji, ila hapa nazungumzia wale ambao wana nia ya dhati ya kuwasaidia jamaa zao na pengine wangependa kuridhika na maisha waliyonayo hasa anapokuwa amefikia kwenye lifestyle inayomwezesha kula na kubakisha savings kila mwezi.

2) Au Je, kama maisha ya swali hapo juu ni ubinafsi, unadhani ni sahihi kupunguza gharama za maisha yako ili ukubali kurudi nyuma kidogo ili kubakiza savings, ziweze kuwasaidia jamaa zako wanaokutegemea? Kama kweli tunataka kutekeleza msemo wa kwamba kutoa ni moyo na si utajiri..?

3) Je, jambo hilo namba 2 hapo juu ni practical in real sense?

Nini maoni yako? Karibu ku-share mawazo ili tuelimishhane..
We jamaa unaonekana unamoyo na malengo mazuri ya kuwasaidia ndugu zako na unaonekana unalaumiwa sana na ndugu yaani kiufupi ulichokiandika kinakuelezea wewe. Pole sana.
Tutafute pesa ayseee kazi za kuajiliwa ni kwa ajili ya mahitaji ya nyumbani tu zaidi ya hapo ni majanga.
 
Unauhakika na usemacho kijana?sasa ni kuambie ndugu zako wa kweli ni wanao tu!!na Mama yako mzazi akiwa bado upo hai!!wadogo zako au kaka au dada wajali kiasi tu LAKINI don't count too much on them!!wanamajukumu na familia zao ndio kipaumbele chao sio wewe!!!Nakuambia with personal experience not with words!!hapa kwangu nimeishi na ndugu wawili kutoka familia yetu na familia ya mke wangu nimeona ni Total mess!!!nasaidia kiasi LAKINI siwekezi nguvu zangu nyingi kwao Sana najali Mama Sana wao watapambana coz sio walemavu na wala sio vichaa!!!Huwa na waambia hakuna cha bure wala cha kupewa mtaji ni afya zao tu wachape kazi!!labda wanafunzi kidogo ndio nawajali kwao matumizi tena madogo ya muhimu tu na hivyo sitarajii makubwa wala fadhila Toka kwao!!!Nimesaidia moja juzi ananitishia Maisha na familia yangu kisa nimemwmbia aende kwake familia yake inamuhitaji yeye anataka akaye kwangu abweteke anachojua ni mitungi na mikasi!!!MISAADA inapumbaza waafrika badala ya kuwasaidia ipo siku utalea watoto wa ndugu zako kisa hawawajibiki ipasavyo!!!!with personal experience not by hate or illusions!!!
😂😂😂😂😂
 
Watu tupunguze kuomba omba pia waweza mwona mtu yuko safi kumbe naye ana budget zake Kali na mengineyo Mimi wakati nasoma nilikuwa Hadi najilipia ada kwa bumu langu na sikuwahi kusumbua mtu tena saa nyingine nilikuwa Nampa mwenye uhitaji, kuliko kuomba omba hela ni heri ubuni wazo uombe kamtaji uanze kujishughulisha hyo itaondoa umaskini
Hongera sana
 
Heshima kwenu Wakuu.

Nimebahatika kuishi Nchi za wenzetu kwa Mabeberu, kiasi fulani nimejifunza mambo kadhaa.

Sisi Wabongo tunaishi maisha ya ujamaa, yaani kugawana kidogo tunachokuwa nacho ili kila mtu apate japo mkate. Hali hii inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya sisi wabongo bado maisha yetu yapo chini sana hivyo idadi ya wategemezi kwenye familia zetu bado ni kubwa sana hivyo tunaishi kwa kutegemeana.

Hata hivyo, hali ni tofauti kwa wenzetu mabeberu. Nadhani hii inatokana na kuwa, wao kiwango cha ukosefu wa ajira ni kiasi kidogo sana, hivyo kila familia ina uwezo wa kujiingizia kipato chake na kumudu gharama za maisha. Jambo lingine ni kuwa, wenzetu hawana maisha ya kijamaa kiviile. Yaani ni yeye na familia yake full stop. Mnaweza kuwa mnaishi nyumba moja ila mkawa mnasalimiana tu hakuna stories zaidi ya hapo. Msamiati wa kukopana pesa sijauona, ukiwa na shida unaweza kuomba msaada kwenye serikali ya jimbo lako. Kwa nchi kama Sweden, serikali ya mahali unapoishi inaweza kugharamia gharama za kuishi kwa vijana wasiokuwa na ajira ama kupoteza ajira. Unaweza kupata pesa ya kujikimu na ukalipiwa rent. Hi ni kwa raia pekee. Siyo kama sie wakuja.

Nirudi kwenye mada sasa.

Vibwagizo kidogo


1. Nilipokuwa nasoma wakati flani, kutokana na maisha yetu ya uduni, nilikuwa nikiomba masaada kwa ndugu yangu (binamu) hapa na pale ili kukidhi mahitaji muhimu. Huyu binamu yangu, kwa maoni yangu, alikuwa na unafuu kidogo wa maisha kwa maana ya kuwa na ajira, nyumba yake na kiusafiri. Hivyo kwa kuwaza kwangu kipindi hicho nikajua atakuwa na maisha bora na ana mpunga wa kutosha. Chakushangaza, wakati mmoja nikamuomba msaada nilikuwa chuoni wakati boom limekata akawa amenitumia kiasi cha pesa kidogo sana kuliko nilivyotarajia. Niwe muwazi kuwa nilifadhaika, nikasema, yaani kweli binamu ananitumia elfu 10 tu kweli? na nimemweleza kuwa nina shida na sina kitu kabisa?

2. Huyohuyo binamu yangu, wakati nipo mdogo kwa shangazi yangu, nilikuwa nashangaa, iweje tunaishi maisha magumu pale home pengine pesa ya kula inakata na wakati yeye ana kazi huko Dar na anakula maisha? (mawazo yangu). Na pesa ilipokuwa inakata, binamu alikuwa hatumi pesa mpaka Shangazi apige simu na akipiga alikuwa anatuma kiasi kidogo sana. Kwakweli niliwaza sana nikajisemea kuwa kwanini watu waliofanikiwa kupata vijisenti hawatumi pesa kwa wazazi wao mpaka waambiwe? Ina maana hawajui wajibu wao?

3. Kumbe buana, yale yalikuwa nawazo ya utoto tu. Ukubwani sasa nimegundua kuwa Binamu yangu alikuwa ameajiriwa na pengine kipato chake kilikuwa cha kawaida sana na kutokana na majukumu ya familia yake na maisha ya mjini tena Dar, basi kipato chake si chochote kivile kumudu maisha na kutuma mapesa mengi kwao kama nilivyokuwa nawaza nikiwa mdogo.

4. Mawazo yangu hapo juu, yametokana na ukweli kuwa, pamoja na kipato changu kuongezeka karibia mara mbili ya kipato changu cha awali, nimegundua kuwa hata mie wazazi wangu sijawatosheleza kwa kuwasaidia mahitaji yao kwa kiwango cha kuridhisha sana. Yaani wanaishi maisha yenye unafuu kidogo ila bado wana ganga ganga tu. Pamoja na kujitahidi kutokuwa mbinafsi na kuishi maisha ya kawaida, bado naona kabisa hata msaada wangu wa kwa ndugu na jamaa bado ni kidogo sana pamoja na kipato changu kuongezeka kidogo. Najua huwezi kumfurahisha kila mtu na huwezi kuacha kulaumiwa, ila naamini wapo watu wanaoniona kama mtu niliyefanikiwa na nimeshindwa kuwasaidia. Kumbe bado naganga ganga tu.

Naomba nijielekeze kwenye hoja ya msingi baada ya vibwagizo hapo juu.
Naomba kulizungumzia kundi la wale ambao vipato vyao huweza kugharamia mahitaji ya msingi kama chakula, mavazi na kulipia kodi ya nyumba ama pengine anaishi kwenye nyumba yake. Kundi hili baadhi ya watu huliita kama middle class family. Kwa uchunguzi wangu, kundi hili lina mzigo mkubwa kwenye jamii maana jamii yetu hasa wale wanaotoka kwenye extended families na jamaa zao hawawezi kumudu mahitaji muhimu, hulitazama kundi hili kama kundi lenye unafuu kimaisha, hivyo hutegemea kupata msaada kutoka kwao. Hata hivyo, kutokana na kipato chao kulingana na matumizi, tena yale ya lazima tu, kiukweli kundi hili hujikuta kwenye changamoto kubwa kimaisha na kushindwa kukidhi matarajio ya jamaa zake na kuonekana kama mtu mbinafsi, hivyo hutupiwa lawama kwa kiasi kikubwa ilihali vipato vyao pengine vinatosheleza tu kula chakula na kulipia kodi ya nyumba.

Je, wewe kama kipato chako kina balance na matumizi yale ya lazima pekee, yaani chakula, mavazi na makazi. Huwa unatumia njia gani kusaidia ndugu na jamaa zako ambao wana maisha duni na wana matarajio makubwa kutoka kwako? Kumbuka nazungumzia mtu ambaye akipata kipato chake kinalingana na matumizi kwa mwezi husika na hawezi kufanya hata savings. Nyongeza, namzungumzia mtu ambaye si mbinafsi, ana moyo wa kuwasaidia wahitaji ila uwezo wake upo chini zaidi ya kile anachotakiwa kufanya katika jamii yake. Wahitaji wanaweza kuwa ndugu wa karibu wa tumbo moja, mabinamu, wajomba, mashangazi, baba mkubwa, mama mkubwa, rafiki wa karibu sana n.k.

1) Je, ni sahihi kukubali lawama kwa muda flani ili ubakie kwenye mapambano kwanza na usitoe msaada mpaka utoboe kwanza kufikia hatua ya kipato kuwa juu ya gharama za maisha? Natambua kuwa kadri kipato kinavyoongezeka mtu anaweza kuchagua maisha ya juu zaidi hivyo isifike siku ambapo atabakiza savings na kuwasaidia wahitaji, ila hapa nazungumzia wale ambao wana nia ya dhati ya kuwasaidia jamaa zao na pengine wangependa kuridhika na maisha waliyonayo hasa anapokuwa amefikia kwenye lifestyle inayomwezesha kula na kubakisha savings kila mwezi.

2) Au Je, kama maisha ya swali hapo juu ni ubinafsi, unadhani ni sahihi kupunguza gharama za maisha yako ili ukubali kurudi nyuma kidogo ili kubakiza savings, ziweze kuwasaidia jamaa zako wanaokutegemea? Kama kweli tunataka kutekeleza msemo wa kwamba kutoa ni moyo na si utajiri..?

3) Je, jambo hilo namba 2 hapo juu ni practical in real sense?

Nini maoni yako? Karibu ku-share mawazo ili tuelimishhane..
Uliyo yasema karibu yote yamenigusa direct ....in real life ....unajua wakati mwingine unaweza inekana una maisha mazuri kulingana na familia zetu zinavyo ishi kule kijijini lakini katika uhalisia siyo kweli ..... mmi kwa upande wangu kuna mda najinyima kiasi flani kisha namtumia maza siyo rahisi sana ila walau kila mwezi namyumiaga walau kidgo na huwa ananishukuru sana japo huwa naona ni kidgo ..... kutoa ni moyo tujitahidi kujinyima walau kwa kiasi tukumbuke ndugu au wazazi
 
Heshima kwenu Wakuu.

Nimebahatika kuishi Nchi za wenzetu kwa Mabeberu, kiasi fulani nimejifunza mambo kadhaa.

Sisi Wabongo tunaishi maisha ya ujamaa, yaani kugawana kidogo tunachokuwa nacho ili kila mtu apate japo mkate. Hali hii inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya sisi wabongo bado maisha yetu yapo chini sana hivyo idadi ya wategemezi kwenye familia zetu bado ni kubwa sana hivyo tunaishi kwa kutegemeana.

Hata hivyo, hali ni tofauti kwa wenzetu mabeberu. Nadhani hii inatokana na kuwa, wao kiwango cha ukosefu wa ajira ni kiasi kidogo sana, hivyo kila familia ina uwezo wa kujiingizia kipato chake na kumudu gharama za maisha. Jambo lingine ni kuwa, wenzetu hawana maisha ya kijamaa kiviile. Yaani ni yeye na familia yake full stop. Mnaweza kuwa mnaishi nyumba moja ila mkawa mnasalimiana tu hakuna stories zaidi ya hapo. Msamiati wa kukopana pesa sijauona, ukiwa na shida unaweza kuomba msaada kwenye serikali ya jimbo lako. Kwa nchi kama Sweden, serikali ya mahali unapoishi inaweza kugharamia gharama za kuishi kwa vijana wasiokuwa na ajira ama kupoteza ajira. Unaweza kupata pesa ya kujikimu na ukalipiwa rent. Hi ni kwa raia pekee. Siyo kama sie wakuja.

Nirudi kwenye mada sasa.

Vibwagizo kidogo


1. Nilipokuwa nasoma wakati flani, kutokana na maisha yetu ya uduni, nilikuwa nikiomba masaada kwa ndugu yangu (binamu) hapa na pale ili kukidhi mahitaji muhimu. Huyu binamu yangu, kwa maoni yangu, alikuwa na unafuu kidogo wa maisha kwa maana ya kuwa na ajira, nyumba yake na kiusafiri. Hivyo kwa kuwaza kwangu kipindi hicho nikajua atakuwa na maisha bora na ana mpunga wa kutosha. Chakushangaza, wakati mmoja nikamuomba msaada nilikuwa chuoni wakati boom limekata akawa amenitumia kiasi cha pesa kidogo sana kuliko nilivyotarajia. Niwe muwazi kuwa nilifadhaika, nikasema, yaani kweli binamu ananitumia elfu 10 tu kweli? na nimemweleza kuwa nina shida na sina kitu kabisa?

2. Huyohuyo binamu yangu, wakati nipo mdogo kwa shangazi yangu, nilikuwa nashangaa, iweje tunaishi maisha magumu pale home pengine pesa ya kula inakata na wakati yeye ana kazi huko Dar na anakula maisha? (mawazo yangu). Na pesa ilipokuwa inakata, binamu alikuwa hatumi pesa mpaka Shangazi apige simu na akipiga alikuwa anatuma kiasi kidogo sana. Kwakweli niliwaza sana nikajisemea kuwa kwanini watu waliofanikiwa kupata vijisenti hawatumi pesa kwa wazazi wao mpaka waambiwe? Ina maana hawajui wajibu wao?

3. Kumbe buana, yale yalikuwa nawazo ya utoto tu. Ukubwani sasa nimegundua kuwa Binamu yangu alikuwa ameajiriwa na pengine kipato chake kilikuwa cha kawaida sana na kutokana na majukumu ya familia yake na maisha ya mjini tena Dar, basi kipato chake si chochote kivile kumudu maisha na kutuma mapesa mengi kwao kama nilivyokuwa nawaza nikiwa mdogo.

4. Mawazo yangu hapo juu, yametokana na ukweli kuwa, pamoja na kipato changu kuongezeka karibia mara mbili ya kipato changu cha awali, nimegundua kuwa hata mie wazazi wangu sijawatosheleza kwa kuwasaidia mahitaji yao kwa kiwango cha kuridhisha sana. Yaani wanaishi maisha yenye unafuu kidogo ila bado wana ganga ganga tu. Pamoja na kujitahidi kutokuwa mbinafsi na kuishi maisha ya kawaida, bado naona kabisa hata msaada wangu wa kwa ndugu na jamaa bado ni kidogo sana pamoja na kipato changu kuongezeka kidogo. Najua huwezi kumfurahisha kila mtu na huwezi kuacha kulaumiwa, ila naamini wapo watu wanaoniona kama mtu niliyefanikiwa na nimeshindwa kuwasaidia. Kumbe bado naganga ganga tu.

Naomba nijielekeze kwenye hoja ya msingi baada ya vibwagizo hapo juu.
Naomba kulizungumzia kundi la wale ambao vipato vyao huweza kugharamia mahitaji ya msingi kama chakula, mavazi na kulipia kodi ya nyumba ama pengine anaishi kwenye nyumba yake. Kundi hili baadhi ya watu huliita kama middle class family. Kwa uchunguzi wangu, kundi hili lina mzigo mkubwa kwenye jamii maana jamii yetu hasa wale wanaotoka kwenye extended families na jamaa zao hawawezi kumudu mahitaji muhimu, hulitazama kundi hili kama kundi lenye unafuu kimaisha, hivyo hutegemea kupata msaada kutoka kwao. Hata hivyo, kutokana na kipato chao kulingana na matumizi, tena yale ya lazima tu, kiukweli kundi hili hujikuta kwenye changamoto kubwa kimaisha na kushindwa kukidhi matarajio ya jamaa zake na kuonekana kama mtu mbinafsi, hivyo hutupiwa lawama kwa kiasi kikubwa ilihali vipato vyao pengine vinatosheleza tu kula chakula na kulipia kodi ya nyumba.

Je, wewe kama kipato chako kina balance na matumizi yale ya lazima pekee, yaani chakula, mavazi na makazi. Huwa unatumia njia gani kusaidia ndugu na jamaa zako ambao wana maisha duni na wana matarajio makubwa kutoka kwako? Kumbuka nazungumzia mtu ambaye akipata kipato chake kinalingana na matumizi kwa mwezi husika na hawezi kufanya hata savings. Nyongeza, namzungumzia mtu ambaye si mbinafsi, ana moyo wa kuwasaidia wahitaji ila uwezo wake upo chini zaidi ya kile anachotakiwa kufanya katika jamii yake. Wahitaji wanaweza kuwa ndugu wa karibu wa tumbo moja, mabinamu, wajomba, mashangazi, baba mkubwa, mama mkubwa, rafiki wa karibu sana n.k.

1) Je, ni sahihi kukubali lawama kwa muda flani ili ubakie kwenye mapambano kwanza na usitoe msaada mpaka utoboe kwanza kufikia hatua ya kipato kuwa juu ya gharama za maisha? Natambua kuwa kadri kipato kinavyoongezeka mtu anaweza kuchagua maisha ya juu zaidi hivyo isifike siku ambapo atabakiza savings na kuwasaidia wahitaji, ila hapa nazungumzia wale ambao wana nia ya dhati ya kuwasaidia jamaa zao na pengine wangependa kuridhika na maisha waliyonayo hasa anapokuwa amefikia kwenye lifestyle inayomwezesha kula na kubakisha savings kila mwezi.

2) Au Je, kama maisha ya swali hapo juu ni ubinafsi, unadhani ni sahihi kupunguza gharama za maisha yako ili ukubali kurudi nyuma kidogo ili kubakiza savings, ziweze kuwasaidia jamaa zako wanaokutegemea? Kama kweli tunataka kutekeleza msemo wa kwamba kutoa ni moyo na si utajiri..?

3) Je, jambo hilo namba 2 hapo juu ni practical in real sense?

Nini maoni yako? Karibu ku-share mawazo ili tuelimishhane..

1. Kwenye Maisha usifanye kitu Kwa kuogopa lawama.
Fanya kitu moyo ukiwa unataka/penda kufanya.
Utumwa wa maisha ni Mbaya.

2. Kuwa tegemezi pekee ni ubinafsi namba moja. Hao wanaosema MTU Fulani ni mbinafsi Kwa sababu hawasaidii wao ndio wabinafsi Square.

3. Saidia pale unapoweza na vile upendavyo na sio vinginevyo.
Kusaidia ni hiyari sio lazima. Ni ishu ya upendo.
Wanaolazimisha kusaidia ni wabinafsi
 
Back
Top Bottom