Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Shunie hii ni nondo moja matata sana. Imefika muda Vijana tunaogopa.


Kuna siku mama aliuliza unawowa lini nikaishia tu kucheka.


Ila mungu yupo naimani na miss right yuko karibu kuja
Nakuombea mkuu umpate wa kufanana nae
 
Kitu ambacho huwa nashindwa kuelewa basi ni akili ya baadhi ya wanaume. Huwa wanafikiri wameoa roborts, na hawana huruma kabisaaaa. And just because mwanamke kakua akiaminishwa kuwa yuko kwaajili ya kumplease mume basi anagugumia tu.

Juat emagine unafanya kazi, ila wewe ndio wa kwanza kuamka uandae wote(watoto na baba yao), ukitoka kazini una shughuli kibao, na bado utakuwa wa mwisho kulala.

Ila mwanaume bila hata haya utasikia hataki kupikiwa wala kufuliwa na msichana/kijana wa kazi. Basi anunue hata mshine ya kufulia nehiii, na hajigusi kumsaidia mkewe hata kusogeza viatu vyake.

Mwanaume anyefanyiwa hivyo unamsikia bila aibu akijisifia bila kujali taabu anayoipata mwenzie. Na usipofanya hata kimoja basi ndio kapatiapo na sababu za kuchepuka. Mwanamke nae anaona huo ndio uanamke chaaaah!!!
Duuu, mna picha tofauti sana za wanaume. Labda msiwaongelee hawa ambao wako kwenye extremes. Tupe experience yako na MO11 kwanza, katuwakilisha vibaya nini?
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
Mpaka unajihisi kuchanganyikiwa mechoka mechoka kwakweli, embu hizo jando zirudishwe na wawakumbushe kwamba ndoa is not about kukutanisha miili tuu jamani kuna mambo mengi sana mfyuuuuu nachukia mno.
Neybright nini kinakufanya uwaze kuwa jando watafundisha hayo unayoyataka. Kumbuka watakaofundisha hilo jando ni wanaume hawahawa sio jando la babu zetu tena. Kwa sasa tulichikue jamvi hili kama jando.
 
Shunie labda pia wachamgiaji wangesaidia kujua namna wanaweza kumtambua huyo muoaji na mchapaji, pia kumtambua muolewaji na ambaye bado yupoyupo
Unajua tu mtu uliyenaye kama muoaji au muonjaji
 
Neybright nini kinakufanya uwaze kuwa jando watafundisha hayo unayoyataka. Kumbuka watakaofundisha hilo jando ni wanaume hawahawa sio jando la babu zetu tena. Kwa sasa tulichikue jamvi hili kama jando.
Atleast watakumbushwa yale ya msingi wanayopaswa kufanya kwenye ndoa zao, maana wanajisahau sana mkuu tunaishia kutesana tuu.
 
Atleast watakumbushwa yale ya msingi wanayopaswa kufanya kwenye ndoa zao, maana wanajisahau sana mkuu tunaishia kutesana tuu.
Weka uzi wa jando tu hapa halafu utakuwa umetatua tatizo maana hakuna mapoli ya kuwapeleka sikuhizi. Mitandao inahusika sana kushepu maisha ya watu siku hizi.
 
Back
Top Bottom