Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Hahaa shem hataki moyo wa kupondeka




Hilo amekataa kabisa, naomba umwambie shunie aje pm kunifanyia cancelling maana mechoka mie, huu ujumbe umenifumbua macho kumbe mie nilikuwa tayari kuolewa lakini mwenzangu naona kama alishinikizwa na ndugu jamaa na marafiki ili aweze kuheshimika katika jamii

,

