Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?


Hilo amekataa kabisa, naomba umwambie shunie aje pm kunifanyia cancelling maana mechoka mie, huu ujumbe umenifumbua macho kumbe mie nilikuwa tayari kuolewa lakini mwenzangu naona kama alishinikizwa na ndugu jamaa na marafiki ili aweze kuheshimika katika jamii ,


hahahaaha hamna akikua ataacha ingawa inachosha!
 
Madam Shunie umetoa somo mjarabu sana lakini ni mabinti wachache sana watakaokuelewa. Wasichana wa siku hizi ni vigumu sana kuelewa nini wanataka. Mwanaume anaweza kujitokeza akiwa na nia ya dhati kabisa kumuoa binti lakini binti akawa hasomeki. Mabinti wa siku hizi wamekaa kichunaji na kichangudoa zaidi. Mtu ukitaka mke mzuri wa kuoa nenda kijijini. Hapa mjini pamejaa vyangudoa tupu. There are so many actors and it is extremely difficult to sort material wifes to be from latent harlots.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Hao wa mjini uliwadate wote hadi ukaja na hiyo conclussion?
Au unakutana na unaofanana nao!!!
 

Hilo amekataa kabisa, naomba umwambie shunie aje pm kunifanyia cancelling maana mechoka mie, huu ujumbe umenifumbua macho kumbe mie nilikuwa tayari kuolewa lakini mwenzangu naona kama alishinikizwa na ndugu jamaa na marafiki ili aweze kuheshimika katika jamii ,
Taabu sana pale ambapo upande mmoja ndio unakuwa uko tayari. Hili somo i think liliwafaa zaidi wanaume maana huko ndiko taabu kubwa ilipo.
Jando irudi tu.
 
Back
Top Bottom