[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo amekataa kabisa, naomba umwambie shunie aje pm kunifanyia cancelling maana mechoka mie, huu ujumbe umenifumbua macho kumbe mie nilikuwa tayari kuolewa lakini mwenzangu naona kama alishinikizwa na ndugu jamaa na marafiki ili aweze kuheshimika katika jamii [emoji26][emoji26],
[emoji23] [emoji23] [emoji23]tena acha kbs ndg yangu unajikuta kila mwezi ngozi ya uso inashuka tu!kuna wanaume wengn hata kubadilish bulb anakuambia anaona uvv yy hawez!had kubrush viatu anaona uvv yaan km taahira hv pyeeee!~ sasa ww hapo ukiangalia msururu wa kazi ulionao uwiiiiiiii!anasubiri jion iingie akaning'inie BAR ! SHENJI GETE
Hakika jando irudishwe tu, kuliko hili balaa.[emoji28][emoji28][emoji28]
Mpaka unajihisi kuchanganyikiwa mechoka mechoka kwakweli, embu hizo jando zirudishwe na wawakumbushe kwamba ndoa is not about kukutanisha miili tuu jamani kuna mambo mengi sana mfyuuuuu nachukia mno.
HahahahaNatafuta mke jamani.
Njoo pm haraka!!!Mnaenda kuamshiana dude eeh