Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Weeeeh!! Baada ya ndoa ndio unamuangalia mtu mara tatu tatu humsomiiii, yaani kama ndio unakutana nae lao maana humtambui kabisaaaa!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya mambo ni makubwa auntie
 
Weka uzi wa jando tu hapa halafu utakuwa umetatua tatizo maana hakuna mapoli ya kuwapeleka sikuhizi. Mitandao inahusika sana kushepu maisha ya watu siku hizi.
Khaaaaah!! Mitandaoni watu hawachukulii vitu serious!! Mpelekwe maporini hukooo mkafundweee hadi mfundike, ikibidi na viboko mtandikwe kabisa. Mkirudi mrudi na akili zenu timamu.
 
Khaaaaah!! Mitandaoni watu hawachukulii vitu serious!! Mpelekwe maporini hukooo mkafundweee hadi mfundike, ikibidi na viboko mtandikwe kabisa. Mkirudi mrudi na akili zenu timamu.
Hapana, una jambo wewe na wanaume hebu liseme waziwazi. Kwani yeye alikwenda jando la wapi
 
Back
Top Bottom