Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

hahahahahahahahah! walah ndoa hizi khaaa!nilifanya bwana ile ya kupokea had koti siju nkumvua viatu,i kufungua vishikizo aliniuliza oya UMETUMWA NA CHADEMA EH???yaan niliishia kucheka hatari kwakwel kila mtu na ndoa yake
 
Mkao wa kuolewa unakuweje? Weka hata mambo 3 tu anayopaswa kuyafanya.
 
Hao "wadada wa humu" wanaochamba waume zao unawajua wangapi? Au ilimradi tu nawe umechangia mada!!!

wakunielewa wamenielewa lakini kwa kuwa wewe ni kichwa maji huwezi kunielewa. ngoja ifike saa 12 akili ikukae sawa.
 
Wanawake kwa midomo hatujambo...some wanahitaji msaada wa kiroho kbs... Sijuo km kuna mwanaume mpenda kelele nyumbani
IMG-20170622-WA0000.jpg

Nature 😀
 
Back
Top Bottom