Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,911
- 183,311
Unakuwa na mzigo wa kulea mtoto mkubwa na wanao wadogo khaaah!!!Irudishwe tuu jamani wapate somo maana wanatuzeesha watoto wa watu [emoji57][emoji57]
Unakuwa na mzigo wa kulea mtoto mkubwa na wanao wadogo khaaah!!!Irudishwe tuu jamani wapate somo maana wanatuzeesha watoto wa watu [emoji57][emoji57]
Okey ngoja niendelee kumkuza mtoto wa mwanamke mwenzangu huwenda nikapata neema ya peponi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umkuze na uwe na moyo uliopondeka.
Unakuwa na mzigo wa kulea mtoto mkubwa na wanao wadogo khaaah!!!
Hivi mtoto anapokosea si kuna wakati inabidi ukoromee kidogo ili akili imkae vizuri? Sasa mbona hawa huwa hawataki wanataka hata kama kakosea yeye wewe ujinyenyekeze ikibidi uombe na msamaha!!!hhahahahha espy bwana najihis kuumwa bas nimejikuta nacheka tu hapa lol!argh
Kitu ambacho huwa nashindwa kuelewa basi ni akili ya baadhi ya wanaume. Huwa wanafikiri wameoa roborts, na hawana huruma kabisaaaa. And just because mwanamke kakua akiaminishwa kuwa yuko kwaajili ya kumplease mume basi anagugumia tu.tena acha kbs ndg yangu unajikuta kila mwezi ngozi ya uso inashuka tu!kuna wanaume wengn hata kubadilish bulb anakuambia anaona uvv yy hawez!had kubrush viatu anaona uvv yaan km taahira hv pyeeee!~ sasa ww hapo ukiangalia msururu wa kazi ulionao uwiiiiiiii!anasubiri jion iingie akaning'inie BAR ! SHENJI GETE
Umeona point za mke[emoji41]
Yaan acha kabisa tena sio kupondeka tuu now waenda sagika [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umkuze na uwe na moyo uliopondeka.
EwaaaaaaaahUmeona ujumbe ama unatoa shikamoo tuu kwa antie zako [emoji41]
[emoji28][emoji28][emoji28]Unakuwa na mzigo wa kulea mtoto mkubwa na wanao wadogo khaaah!!!
Ahahahaaaaaa uwiii wewe kiboko [emoji119],nashnagaaga ndoa kila siku tunalea sijui y hazikui! hehehehe eti neema ya peponi!kwakweli leeni tu tutakutana njia pandaaaa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji10]tena acha kbs ndg yangu unajikuta kila mwezi ngozi ya uso inashuka tu!kuna wanaume wengn hata kubadilish bulb anakuambia anaona uvv yy hawez!had kubrush viatu anaona uvv yaan km taahira hv pyeeee!~ sasa ww hapo ukiangalia msururu wa kazi ulionao uwiiiiiiii!anasubiri jion iingie akaning'inie BAR ! SHENJI GETE
Mkuu hata apa mjini wa kuolewa wapo jamaan sio huko vijijiniMadam Shunie umetoa somo mjarabu sana lakini ni mabinti wachache sana watakaokuelewa. Wasichana wa siku hizi ni vigumu sana kuelewa nini wanataka. Mwanaume anaweza kujitokeza akiwa na nia ya dhati kabisa kumuoa binti lakini binti akawa hasomeki. Mabinti wa siku hizi wamekaa kichunaji na kichangudoa zaidi. Mtu ukitaka mke mzuri wa kuoa nenda kijijini. Hapa mjini pamejaa vyangudoa tupu. There are so many actors and it is extremely difficult to sort material wifes to be from latent harlots.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app