Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

weee..nilishika kichwa mm kuona aibu mm

anamuambia mama unajua mm mwanao naongea nae vipi

ukitaka usikilizwe hebu mpe nnavyompaa
Uwiiiiii! inabidi mama ule kona eti.ila tusemeni ukweli kuna mama wakwe wengine hawafai kabisaa!
 
Back
Top Bottom