Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
mawazo yake potofu ndio yanayomfanya awaze upumbavu wake lakini wewe kama binaadamu una roho njema na akili zilizo sawa.mwambie ukweli kama haelewi tupa huko kwanini kukaa na mtu ambae haelewi.
Unathubutu kuita mawazo potofu na upumbavu wakati wenzio wanshinda kwa njia kama hizo hizo??
Naona wewe hutaki kumsaidia ED!!
Babu DC!!